Wakenya ni wajinga sana! Haki mimi siezi iibiwa! Eti finya what? Eti *......# 😂
@kevinskyes7058
10 күн бұрын
Msee si unyamanzee tuskizeee story
@Princeradiib
8 күн бұрын
Mwizii unajieleza mwenye guoka
@lucyruto2008
13 күн бұрын
@ati you are saying they cant be coned They took mshwari loan admitted in hospital
@kingkong21458
16 күн бұрын
sauti ya amateur huyu hawezi con ata fala wa kisii
@Emmanuel-rq9po
15 күн бұрын
aki😢😢 was kisii necessary
@RoseMutua-x4y
21 күн бұрын
💯💯
@perezanyango7689
17 күн бұрын
Hizo pesa zilikusaidiaje....bado utahangaika tu
@LucyWambui-qr1pw
16 күн бұрын
Shenzitype ivo ndio mlibia rafiki yangu mshahara yote hata rent hakulipaga all 6k hadi mshwari 2 k yani 8k yenye hamjachokea😢
@mueketv7512
15 күн бұрын
Kindly note that Derick reformed kitambo even before atoke jela
@gerkim3046
18 күн бұрын
iko wapi hiyo link unasema umepin
@eldkibeh
13 күн бұрын
Hebu tueleze vizuri hapo pa ukiwa na code ya mpesa na number ya simu unaweza toa pesa
@mueketv7512
12 күн бұрын
Nakuona sana wewe😂
@eldkibeh
11 күн бұрын
@@mueketv7512 hiyo kitu sijawai elewa,wana semanga bila hata pin pesa inatolewa,wueeh 🫢
@sultanmswahilitv4864
7 күн бұрын
Mimi waliwai jaribu hiyo trick kwa line yangu ya airtel but hawakufaulu...it was back in 2018,,,,😅😅😅they end up kunitusi😅😅😅😅
@methu-sella
21 күн бұрын
Who came up with all this ideas 😂😂😂😂
@mueketv7512
21 күн бұрын
Prison accomodates everyone.. From phd owners to nomal people
@Siasa-k7v
17 күн бұрын
@@mueketv7512Sheria ni msumeno 🤣🤣
@Bigmedia055
11 күн бұрын
Mimi huwezi nicon hivyo
@FelixOchieng-ue6cn
20 күн бұрын
Mjinga mwingine àliniambia hivo nikamtusi
@mueketv7512
20 күн бұрын
Na kukaenda aje
@wallacelestiff2629
18 күн бұрын
Story za jaba
@mueketv7512
18 күн бұрын
And other stories
@annetikasian662
9 күн бұрын
Hiii ubwa ndio imeibia mtoto wa sister 214k kumbavu kabisaaa😢😢😢😢😢😢
@tusmokinana3836
9 күн бұрын
Eti unanyanganywa customer
@davidmuriithi7021
11 күн бұрын
Hii
@jacklyneangaya5966
15 күн бұрын
À
@janecharo1196
5 күн бұрын
Kwani huyu na drick ñi watu moja😂😂😂 wàjinga sana huyu 2018 July 11750 ikaenda 😢😢😢
@AJK69693
6 күн бұрын
maximum withdrawal instantaneously at mpesa is Ksh150,000 not 40,000. whatever this guy is saying does not make any sense. ati weka sim kwa line ingine na utoke karibu na watu 🤣huyu fala ako imaginary world
@lucyruto2008
13 күн бұрын
@nkkkkdf wewe kumbe ni wewe uli kopa pesa na mshwari na simu yangu lipa
@annaachola8866
17 күн бұрын
Kumbe wewe ndio uliibiwa 6k..yangu kwa simu😢😢 unarudishie najiskia vibaya sana!!!
Пікірлер: 83