All along I knew all these are being acted until Steve met this couple wenye nawajua. This thing is real my good people
@Esther-lf9bl
17 күн бұрын
Me too nilidhani ni script
@Frank_Musa
15 күн бұрын
BMS doesn't script his videos. Namjua tangu enzi za UoN
@arodiboyi
21 күн бұрын
Soon that bestie will be like 'Did I ask you to leave your husband?"
@edinahimali
20 күн бұрын
True😊😊😊😊
@BKuria
20 күн бұрын
To every word¡¡ Damn😕
@bakariomari24omar21
20 күн бұрын
Exactly
@beatriceokello9047
20 күн бұрын
Haki😂😂😂😂😂
@kingsterlegends6817
20 күн бұрын
Bestie looks more desperate 😅
@chrismutua1634
20 күн бұрын
Beware of fake friends! They are like actors, they play their part until curtain falls.
@rosenyangolo8009
21 күн бұрын
Mwenye anapeana mabwana anakaa shida tupu😮 ni wivu anataka tu kuharibu ndoa ya mwenzake
@IvineAlumasa-oc8kf
21 күн бұрын
Aki, anavaa nguo za 350, hajatengeneza nywele, kanakaa kakienyeji fulani , lakini mtu ako na matoi na anapewa everything na bwana anafuata advise za mtu kama huyo, mm kivyangu mtu ako chini yangu kimaisha haezi niadvise, ukitaka kunijenga advise kuwa level ya juu kuniliko, lakini watu hufikiri na matako😢
@Josephineonyango-cl6ql
17 күн бұрын
Anaka mbao ya kutengeneza sanduku za wafu
@claremasmoraa1974
9 күн бұрын
@@Josephineonyango-cl6ql😂😂😂
@mbogowinston
21 күн бұрын
See how peer pressure and pressure to fit in causes lots of problems. Boychild run and never look back.
@eunicekagwi500
16 күн бұрын
Beastie anakaa tu njaa,nywele inakaa ndengu na anapeana advice
@mjjulius2158
20 күн бұрын
That girl deserves a very good lesson, she will never have that nonsense of destroying people's marriage,
@linahemmie3098
21 күн бұрын
Hyu dame wa kuintroduciana she is jelous aliona beshteake akiwa na maisha poa..shindwe kabsaa
@HappyChameleon-xm7gs
21 күн бұрын
An open Truth 👊
@edinahimali
20 күн бұрын
Fear friends 😊
@Josephineonyango-cl6ql
17 күн бұрын
Huyo ni snack 🐍🐍🐍
@Christinah301
21 күн бұрын
We're heading to the wrong direction aki 😔 ladies lets be loyal to the good guys we met out there
@richardkorir4234
21 күн бұрын
That girl on the right side is a home breaker who is misleading a married woman and she still has the audacity to continue wrecking havoc in that family.
@maryannwaweru5623
21 күн бұрын
Kwani how stupid is this wife ati kile anaambiwa na besty yake anafanya??is she a kid??huyu wife amebreak marriage yake mwenyewe I can't blame the other woman
@annewanjiru8659
19 күн бұрын
mjinga ni mwenye anakubali kudanganywa
@user-ih4ps5po9o
21 күн бұрын
Bro you're still young and handsome run your wife is somewhere
@AfricanTheory
21 күн бұрын
Wachana na yeye "ndio nyi nyote muwe single"
@risperondiba7347
20 күн бұрын
😂😂😂😂
@mansoordelfuenzo
8 күн бұрын
Great job BMS 👏 👍 keep going on and growing 👏
@calebmumo7414
21 күн бұрын
She is making sure her friend will be single..she is even asking the friends husband to marry her😂
@contentinmotion
20 күн бұрын
Nani anaweza oa mtu anaongea hivyo
@kalaini
20 күн бұрын
I'm sure her friend can think for herself.
@duncanyoung9045
20 күн бұрын
Choose your friends wisely..
@marthakimanzi812
20 күн бұрын
Look who is advising and helping the wife...
@philicemaradi
20 күн бұрын
Uyu amebebewa Akili na bestie bestie
@tafadhalijiheshimu6229
20 күн бұрын
😂😂Wacha tucheke leo
@edithwalusaka5933
17 күн бұрын
Kanyangarika
@RisperBwire
21 күн бұрын
Once had a very close friend,akanidanganya nikacheat na kumbe alikua anadai tuachane aende huko,,,have never healed...Niliogopa wanawake including myself😢
@Greatdma
21 күн бұрын
Woi Ali chukua ur ex.? That's y I say ladies should never tell ur friends kwanza the single ones how good ur man is. Ata sabotage ama aku ibie out of jealousy 😢
@maryannwaweru5623
21 күн бұрын
So you were that silly unaambiwa ucheat naukacheat surely??stop blaming your friend blame yourself alah vitu zingine nizakutumia common sense 😂
@levinemuhanji3881 Can you just imagine 😅stupid woman then ako hapa blaming her friend as if alimshikia gun akamwambia acheat cha lazima
@RisperBwire
21 күн бұрын
@@maryannwaweru5623 you just called me stupid?? ona huyu mwanamke.Peleka makasiriko na huko ,thats my comment and it doesnt require ur reply.Usijaribu kuniita ivo tena wewe
@mainajoseph9939
18 күн бұрын
Dame ni sura mbaya na kuharibu maneno, bado ako na tabia mbaya
@asikointl5059
21 күн бұрын
Madam problem solver ,nywele inakaa savannah bush shrub 🤣🤣🤣🤣🤣arg! She even looks hungry Mailod!!!!
@mrsimon2620
20 күн бұрын
Well done stevo for painting the HOT seat👏👏👏
@beckymaria2125
20 күн бұрын
The bible say only foolish wemen will break there home wth there own hands may God give us wisdom 🙏
@Steposhina
21 күн бұрын
Blame it on the woman, she should have a mind of her own.
@GloriaWanjiru-v5t
20 күн бұрын
Yeah juu c mtoi😢
@richardlyimo7529
7 минут бұрын
Stivoo what you doing is right and hope one day you will be blessed. Mtu anahaso na kulea mtoto si wako au kulisha mke au kuwa na mume anafanye ushenzi si poa ni ufala.
@CROWNMEDIAKE
21 күн бұрын
Dem ni less than 24hrs ashachapaa ivi
@musukus1
4 күн бұрын
All said and done, it's very encouraging that this lady has accepted her mistakes and she's still committed to her marriage. This other girl is just a spoiler who is recruiting people in her team. She deserves to be ignored.
@user-cp6mg8we7i
21 күн бұрын
Huyo mwanamke ndiye alikuwa mjinga one have power in decision making coz alijua hiyo ni vimbaya na ameolewa
@maryannwaweru5623
21 күн бұрын
Thank you was looking for this comment sijui kwanini watu wanablame huyu rafiki yake kwani huyu bibi alikua mjinga aje alifanya kile aliambiwa na besty😅
@lexusone1284
20 күн бұрын
there is a way bestie looks at issues, she is proving to be a problem solver as quick as possible😂😂😂😂
@vdjkingsly254
21 күн бұрын
Acha niende kwa my teacher Andrew Kibe to get some wisdom i'll be back shortly 😂😂
@petermutua9838
21 күн бұрын
If your friends look and sound like this…
@EmmahOgera
20 күн бұрын
Hawa waliacha brains hospitali
@WycliffeStan
18 күн бұрын
Saw Me Your Pals......
@hansstephenotomchief6815
21 күн бұрын
She is not a friend to keep, it's good to stay away from such kind of people as far as the east is from the west
@MisanyaMusava
10 күн бұрын
I thought BFF anakaa fty ...huyu dem hana akili how can such lady convince you ...anakaa product ya shida na ukame
@jina253
21 күн бұрын
Married women shud stay away from their frnds who r not married ju hapo ndio tama uanza
@Gatwiri213
17 күн бұрын
The one advising the wife😂😂😂
@humphreymakori7264
8 күн бұрын
Bestie anakaa young kuliko wife! Aim ya bestie ni kuharibu ndoa ya wenyewe juu ya wivu😂
@mansoordelfuenzo
8 күн бұрын
BMS you used to share links to part1 which was very helpful what's happening these days men
@wilfredshoghosho0017
20 күн бұрын
Yule shetani huwa mnasema na hatumuoni, leo ndo huyo amekuja kwa miguu kuvunja ndoa
@EmeldahOminde-gc3nt
17 күн бұрын
Uyu aliona tu this is the only person anaeza mu advice na kumwambia mambo ake surely 😭😭
@GloriaWanjiru-v5t
20 күн бұрын
Wenye hutoka Kwa wazee na madharau....ndio maisha huwa chapa proper,,,na wanaume wenye hutesa wanawake kwa ndoa wanatoka,,,hao wanaume pia hua wanahangaika,,, welkm to street gal
@abneroluchimba274
20 күн бұрын
Fanya genuine content na God ataqam through
@hanningtonkubwa4329
20 күн бұрын
Tuned in from 🇶🇦 🇰🇪
@nyokskinyah8246
21 күн бұрын
Waaaa wuuuiyee marafiki hupotezana aki. Frd us a wicked one ana wivu ndio alitaka kuvunja ndoa
@DavidOmboke
20 күн бұрын
Single women often mislead women in relationships to end up single like them. Like the old saying goes, misery loves company.
@anniekuria4303
20 күн бұрын
Her friend anajiskia sukari na vile amechapa😂😂 alafu pang'ang'a..
@MisanyaMusava
8 күн бұрын
Si tulisema pressure tuachie BIEN huyu dem mwingine naskia kumueka baree nkt
@abneroluchimba274
20 күн бұрын
Chekii,,,mr Flavour,,,shortcuts hazitasaidia,,,uyu boy n Arif wa myn apa Dando na Dem namjua,,,acha kulipa wasee wafanye script u won't go far na izo shortcuts,,,ipo siku.
@philicemaradi
20 күн бұрын
Weee ujui Nairobi Bora upate place pa kutoa pesa mengine baadaye
@NashWangechi
19 күн бұрын
We so ni script
@Thekid254rhumba
19 күн бұрын
So he is a genius in scripting banaa
@RuthKanyi-b8t
16 күн бұрын
Enda u script yako
@fridahnkatha8066
21 күн бұрын
Aka kasichana kana ringa na hakana nyama. Nywele ni kama tule tudengu twa green
@munamuna3921
20 күн бұрын
😂😂😂😂
@philicemaradi
20 күн бұрын
😂😂Was ndegu twa green nessesary 🤣🤣
@fridahnkatha8066
20 күн бұрын
@@philicemaradi wee huoni Ivo my friend
@Jesuslastborn58
20 күн бұрын
Huyu mama wa dress (bestie) i can see jealousy in her. 🤔🤔🤔🤔
@rosemaryqueen1181
20 күн бұрын
Ukweli
@jenifferKimeu
18 күн бұрын
Just see the dress of 350 from toe toe head less than KSH 500 hooking people to get money ,is this how rich girls look like 😞
@erickimla8222
21 күн бұрын
Just waiting! Maajabu tu! Will Wonders ever end!?
@fanmuthura4844
20 күн бұрын
Avoid friends who disrespect your husband to the extent of kukutafutia mtu nje...
@fridahndungenzaumi6591
20 күн бұрын
Choose your friends wisely
@sametoo8108
18 күн бұрын
Ume sema hii show yetu I endelee, na sisi wanaume tusi kose pesa period , 🤗👌👌👊✊😊 mungu tu saidie tusi Wai kosa pesa amen
@de-mariasantos8378
18 күн бұрын
Friends and family keep them off your family as much as you can
@trevjarmaine2874
21 күн бұрын
This is called SOD's LAW in my language.🤣
@Meloh879
18 күн бұрын
this girl confidence iko juu sana..kanajiamini
@claremasmoraa1974
9 күн бұрын
Is this the pimp ama😂😂😂😂 dayyyyyuuuummmm!!!!
@dosaman5488
21 күн бұрын
Huyu dame ako mavitu nini!!
@Leoh270
21 күн бұрын
Naona pia mm
@nabbaaleclaire57
21 күн бұрын
Imagine ladies u get good people u mess up😢 y
@edinahimali
20 күн бұрын
Here is peer pressure
@nabbaaleclaire57
20 күн бұрын
@edinahimali true but she will regret
@kiri5807
20 күн бұрын
she will regret later , Nigeria man will take her kidneys . Ukimwi loading .........
@emmanuelouma8207
20 күн бұрын
Bestie hana afya💔😂
@user-gz2bs7fj7y
20 күн бұрын
Bestie bestie wivu tu😏no wonder sina bestie idont even have a friend🥰
@labannjoya2898
20 күн бұрын
huyo dem ako dating app kutafta dooh but nywele yake hata ni ya mtu amesota😂
@user-cp6mg8we7i
21 күн бұрын
Huyu msichana ako na mission na mnija over this lady
@JacklineWilliam-bi6nz
20 күн бұрын
Nkiwaambia dreadlocks hazina ndoa,,,mnanishika mnanipeleka jela juu ya mauaji ya shakakhola,,,🤣🤣🤣🤣,,sorry sna lawyer
@jenifferkosgei9152
20 күн бұрын
Hizi ni gani jameni?? I love the guys' voice though
@jonathanmutiso1474
21 күн бұрын
Good men we meet the worst , Am a witness
@user-ih4ps5po9o
21 күн бұрын
Pole hata good wifes tunapatana na wabaya😢
@shamalalycious
20 күн бұрын
the one giving out looks even more desperate than the friend🤣🤣🤣🤣🤣
@Josephineonyango-cl6ql
17 күн бұрын
Mke bonoko sna wewe ni yule alisemwa kwa bible mwenye anavunja nyumba yke mwenywe mke malaya ni malaya ata umpe ndege
@everlynegati6000
21 күн бұрын
Sasa haka kanakaa Steve amekaokota huko namanga😂😂😂kanakaa aje
@peninahwemali2021
21 күн бұрын
Waaaa na kifua n kiwete huyu dem
@dinahmuhonjalagat5417
21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😢
@AnnmaryWawira
21 күн бұрын
Huyu ndiye anasaidiana akieee munguu😂😂😂😂😂 hii nayoo ziiii
@Greatdma
21 күн бұрын
Ladies ur female friends are the worst enemies. Huyu sabina Ata ku derail then akuwache kwa mataa.😂
@tewendehome
20 күн бұрын
Her name says it's all 😅
@mosesmuiga7918
17 күн бұрын
I hate cheating women but for sure this one imeniguza..may God keep this couple
@muthonigithui6882
20 күн бұрын
Thanks!
@jina253
21 күн бұрын
Sabina dsnt want to see her frnd married and the frnd pia apunguze tama ju if e site had serious men Sabina wud be married to a rich man,tumieni akili before u trip
@tonnyndundahse69
15 күн бұрын
Huyu bestie ni malaya, solution na yeye amebeat hivi
@BrianChitiavi-dv9kg
21 күн бұрын
Uyo ndio besti😢😢😢😢enyew watu Tunia imeish
@nalvic77
20 күн бұрын
Na huyo demu ...hupigwa kuni buree...si hata ashukwe kiasi 😅😅😅
@janetwangari440
20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@BrianChitiavi-dv9kg
21 күн бұрын
Mbona bestie akuenda majuu 😢😢😢
@LucyWambugu-qi1hl
21 күн бұрын
Huyu Dem anacheck mwenzake aje anafurahiya hii family ikiisha
@philipmwendo9331
21 күн бұрын
@lucyWambugu-qi 1hl. hakuna watu wenye wivu kama madem wakiona wengine wakiwa poa kwa ndoa zao
@donovanfriday3489
21 күн бұрын
Misery loves company
@user-ih4ps5po9o
21 күн бұрын
Bado hamwogopi wanaigeria mtakatwa katwa😂
@gracembuthia1378
18 күн бұрын
The adviser needs advice herself.
@frednyabuto7334
5 күн бұрын
Eti pesa😂😂 aka kasichana ni London sana yeye mwenyewe sura ningumu nywele mbaya ghai😢
@johnnganga3087
21 күн бұрын
mkiambiwa muache kutembea na watu hawaja olewa hamskii
@IvineAlumasa-oc8kf
21 күн бұрын
Thats a person's stupidity i dont understand venye unatembea na watu wako singke na uko na married na pia uko na mtoi,mwenye amemuadvise nae ni kakienyeji, nkt, huyu anafikiria na matako
@johnnganga3087
21 күн бұрын
@@IvineAlumasa-oc8kf to imagine juu nime kuja kugundua watu we call friends wana angusha ndoa za watu 😥 wivu wako nayo hawa taki kuona uki make it bana
@mwakamwatsimu
21 күн бұрын
Kweli kabisa ni waaribifu na wako na wivu na roho mbaya uwa wanataka tu uaribikiwe
@AzizaIsmael-i9c
20 күн бұрын
Ameitikia poa stevo😂😂😂😂 akimuta bbygal, r yy mwenyewe ni shida kulikobthe friend
@Skating-Queen3
20 күн бұрын
huyu friend hakai tinder na hao wanaija bana ameparara oneni hio kichwa mafuta kwa miguu hajapaka🤣🤣🤣waschana wenye wanafanya hookup na ma foreigners wako very smart sio kama huyu
@januarismaingi5531
20 күн бұрын
Nikiskia tu mse wa mariiiiiiii mari mari mariiiiiiii....najua its going down hehe.
@Njeri24
20 күн бұрын
Boy child you’re very cute to be with that kinyagarika hadi niki mzee kukuliko na hana adabu aki cheat na manaija shame on her!!
@kevinoyugi4324
17 күн бұрын
Msichana nywele dengu ,anaharibia watu ndoa na Hana bwana..mbwa
@mansoordelfuenzo
8 күн бұрын
Bestie is a black widow spider 🕷 😢
@hawababy120
14 күн бұрын
Hako kademu nikashetani tu🤧huyo alitaka tu kubomoa ndoa yao mjinga
@Nyaboke58
20 күн бұрын
Ndio maana sinanga rafiki hataaaa nakaa mwenyewe
@bellaolum9768
20 күн бұрын
The friend is cheating her na hana ata mtu, eti besty achanana na yeye. Woiii i feel for the dude!😢
@masabamissomaduhu7896
18 күн бұрын
Sorry guys, am from Tanzania, United Republic of. I want to ask what is MARE MARE?
@obizeobizebize6097
4 күн бұрын
Hawa wasee huuliza stevo ama nkuachie uyu dem, nkama stevo Hananga mtu nini?..😂😂
@eveeddah6310
20 күн бұрын
The reason I keep a small circle, some friends hapana....
@robertmalfa8509
20 күн бұрын
Shallow minds, will put you to the shallowest level of mind
@JohnKariuki-ih3jm
20 күн бұрын
Huyo dym hata siyo type ya huyo bro, she seems to be older, sijui bro aliona nini hapo kwa huyo wife
@user-dp8xe4zj8j
20 күн бұрын
Stivo Huyu BB nafikiri Ni gbola tu alikuwa anamiss but c pesa.
@kimutaitonny199
20 күн бұрын
Stevo ungekubali kuwajiwa hawa madem ungekuwa na over 800 ladies for free kwa hii show yako😂😂😂😂
Пікірлер: 400