Mkongwe wa mziki wa Bongo fleva Khalid Mohamed 'TID' amewaasa vijana wa kiTanzania kutokimbilia kwenye mziki badala yake wafanye kazi zingine kwani wanaharibu mziki wa Bongo Fleva.
Sambamba na hayo amesema hana taarifa yoyote juu ya tuzo alizopokea Diamond Platnumz hivi karibuni.
#tid #diamondplatnumz #harmonize #alikiba @VeritasTz24 @Wasafi_Media @millardayoTZA @azamtvtz @SimuliziNaSauti @mbengotv @CLOUDSMEDIA @SautiKuutv @RickMediatanzania
Негізгі бет Ойын-сауық TID ASEMA HAZITAMBUI TUZO ZA DIAMOND PLATNUMZ | AWAASA VIJANA WASIKIMBILIE KUIMBA MZIKI, WANAUHARIBU
Пікірлер: 34