Mapenzi yamezidi hamjawatendea haki majirani, poleni sana vipenzi vya Dida, Mungu awatie nguvu
@MengiMeng-fd7sq
4 күн бұрын
Sio aki kabisa namimi naunga mkono❤❤❤❤nyumbani ni nyumbani
@Anamika-w1h
4 күн бұрын
Kweli kabisa 😢
@fatmaismaily-qp7ek
3 күн бұрын
Polen San mungu amuwek nahal pem😢😢😢😢😢@@Anamika-w1h
@hawakazimoto2949
4 күн бұрын
Kweli jamanii jeneza lingeingizwa kwao hata nusu saa tuu watoe jeneza kwenda msikitini jamanii
@zainabmapezi5730
3 күн бұрын
@@hawakazimoto2949 Sasa Ana kwake pia alikojenga Goba pia Ana majirani. Sasa wangepeleka wapi?
@RahmaOmar-c2d
4 күн бұрын
Mmh sijawahi ona uchizi kama huu haki ipi hiyo munataka kifo ni amri ya Allah kuzikwa ni sheria ya Allah tena kwa haraka kuagwa ndo nini muombeeni maghfira anapoenda niparefu mno hayo hayahitajiki kunahitajika dua sadaka na vilio vyakuomuombea msamaha kwa Allah kwani anapoenda nipazito sana sana😢😢
@alsam4881
4 күн бұрын
Hapo ndiyo utawajuwa watu kwa matamshishi na matendo yao kuwa, elimu ya dini hawana kabisa na ndiyo maana wanapiga kelele hivyo.
@kassimchuo5290
4 күн бұрын
ALLAHUMMA GFRLLAHA WA ARHAMMAHA WA ASKANNAHA FII JANNAH YAA RABBAL AAALAMIN 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲😭🙏🙏😭😭🙏🙏😭🙏😭🙏😭😭😭😭😭😭😭
@ChengulaHassan
3 күн бұрын
Huwezi kuelewa kama nawewe nichizi
@ibnhassan9980
3 күн бұрын
Wewe ni mwanamke mwenye akili
@ibnhassan9980
3 күн бұрын
@@alsam4881ukosefu wa Dini ndio ugonjwa zaidi
@suleimanaloufy3638
3 күн бұрын
Hii Inaonesha jinsi watu wasivyojua dini, kazi kubwa inahitajika kuelimisha umma wa kiislamu
@YasminaMkali
4 күн бұрын
Jamani Islamu hatuagi, Bali kumuombea Dua! Subhanallah! Subhanallah! Subhanallah!
@StevenSanga-n3n
3 күн бұрын
Iyo sheria inasaidia nn sasa
@mwanakwetu6472
3 күн бұрын
Majirani wanataka Kuona hata Hilo jeneza linaingia ndani kwao, sio Kuona maiti.
@SophiaAsma-x1l
3 күн бұрын
Likisha ingia
@ramadhanikhalfan848
4 күн бұрын
Kwa mjibu wa Qur'an tukufu kitabu Cha Mwenyezi Mungu hakuna ulazima wa kuona maiti sijui Mara ya mwisho Wala ya Kwanza ,kuzaliwa sehem flani na kuzikwa sehem nyengine haihusiabi hata angefariki nje ya mkoa angezikwa hukohuko lazima tuheshim muongozo wa Mafundisho ya bwana Mtume Mohammad s.w.
@Shdy2569
3 күн бұрын
Mzee anayo haki ya kumuona mwanawe dini haijakataza watu wasimuine maiti yao
@AziziKasimu-u4y
3 күн бұрын
Aisee anaezikwa juu kwa juu niyulee asiyejulikana kwao sijui umeisoma dini vzr ww ama yulee mtu ambayee lbda hali yakee siouh nzur kwamb yupo mbl na nyumbn lkn hawez kufikishwa nyumbn kwasabb hali yake ishachange ndoo maan inabidii azikwe popotee ilii kumstirii asa huyoo anatatiz gan
@AzizSalumu
3 күн бұрын
Baraka llahu fii umrika umenena
@Sakina-mg6gr
4 күн бұрын
😢😢😢😢Subhanallah nyinyi mnalilia yy kuletwa nyumbani, maiti yuko katika Hali mgumu nahitaji dua zenu na mkamswalie swala la maiti 😢😢😢
@marymmasi-u2w
3 күн бұрын
Ata kumuaga kwa mara ya mwisho hata kama humuoni sura ni dua pia
@ibnhassan9980
3 күн бұрын
Ukosefu wa Dini ndio hujitpkeza hayo
@LatifaMatayo-sz2cb
3 күн бұрын
Sawa uciku wa kwanza wa kaburi yaraby munkar na nakir😭😭😭😭
@jovithngaiza1020
3 күн бұрын
Hizo ni stori tu za tamaduni za watu wa ghuba,Waafrika tuna tamaduni zetu,funguka akili,stuka,achana na mila za Wazungu na Waarabu
@nasirhamadi8027
3 күн бұрын
Ayo miwanawake wote wajinga mtu kafa labda wakamuombea Dua hiii michizi kweli Sasa Aage wakati mtu ameshakufa
@EuniceJames-z2t
3 күн бұрын
Raha sana kuwa mkristo kuagwa na majirani familiar ndugu ndo ukristo amina
@jumamaulid9462
3 күн бұрын
Inawezekana taaluma yako haijakufikisha kuelewa kinachoendelea. Wangapi ktk waislamu wamefariki na msiba kufanyika makwao walipozaliwa?? Familia na ukoo wake Dida wapo. Wao ndio walipaswa kulalamika na sio watu baki. Na kama wapo kimya nindhahiri kwamba wameridhia juu ya ratiba hiyo. Sasa wewe nani ulalamike na hali hujui hata usia aliouacha marehemu kama ipo.
@OmaryMasambiro
3 күн бұрын
Ukristo sio dini,nijina la mtu,anaitwa yesu kristo
@MymunaUlaya
3 күн бұрын
Kwenye familia hakukosi migongano ht use mkristo ndugu half sio vzr kufurahia ugomvi kwa jiran especially msiba kweli unacoment HV unaakili timamu au umelewa
@Allymzaki
3 күн бұрын
.marehemu huwa anakujibu unapomjag? Au anajuA kinachoendelea?
@Deloveally-o8g
3 күн бұрын
Akuna raha yyt Ile kuwa mkrixto iyo kuwekwa kwenye friji kuzungushwa wiki mzm bila kuzikwa ndio raha iyo akuna llt upumbavu t mtu ukifa inabidi ukazikwe co matangazo ayo mpk uonekane Kwan urembo uwo
@amrikaghembe7205
4 күн бұрын
Msiba juu ya msiba.... Subhaanallah Mungu atuongoze tu kwa kweli.... si kila mwanamke anafaa kuwa mke
@AshuuuBakari
3 күн бұрын
Kabisa Allah awasamehe
@AishaBakari-g1u
3 күн бұрын
Haswaaa wala hujakosea walah
@AishaBakari-g1u
3 күн бұрын
Lakn hapo utaoneka unakosea
@AishaBakari-g1u
3 күн бұрын
Allah awasemeh ana awaongoze hawajui hata wanacho kiongea yote hayo ni kukosa dini
@hassanyusuph9446
3 күн бұрын
Tusomen dini ya Allah tutoke kwenye ujinga
@samiamohammad6686
18 сағат бұрын
Subhanallah Allah atupe mwisho mwema yarabby 😢😢
@mamafetty8778
4 күн бұрын
Ni kweli hao wanamjua dida kuliko hao wasanii wao wamlete marehemu dida hapo😢😢
@Pascaltz
4 күн бұрын
Kabisa
@samwa9496
2 күн бұрын
Ina maana Alisha waeleza familia yao ikoje ndio maana wamefanya ivyo na muhimu ni mtoto ndugu hawahusiki tena
Kweli kabisa mie mkristo lakini naelewa hizo taratibu, mbona kaoshewa msikitini na kwao kupo. Mombasa sijaona haya, unless ni mtu ambaye hana kwao. So sad 😭
@IsmailJuma-zb5ni
3 күн бұрын
Katika sheria ya kiislam hilo halipo na halihusiani kabisa
@laliaelulu1815
3 күн бұрын
Watu wanaongea kwa uchungu kweli sijapenda 😢😢😢😢😢 Mrudisheni Dida azikwe na watu wake !!!
@muzafarsharif9465
4 күн бұрын
Wapo sahihi sio kuaga kuona mwili yaani wangepitisha hata jeneza majirani walione 😢
@m.mmarckus6298
4 күн бұрын
Naunga mkono wangepeleka aingie huko ndani wakamtoà basi
@wardamohamed3179
3 күн бұрын
Huwezi jua Mungu kaepusha nn ukute angeenda nyumbani Kuna watu wangeanguka
@AishaBakari-g1u
3 күн бұрын
Lakn kishelia mtu akifa anatakiwa kuwahishwa kuzikwa maana hata wangepitia nyumbani hawezi amka akawaga lakn yote hayo ni kutojua dini Allah tungoze kwenye dini yoko
@BakaryOmally
3 күн бұрын
Jamani tusomeni dini tusomeni dini tusomeni dini tusomeni dini alafu tutoe tofauti ya dini yake na dini nyengine katika uisilamu hizo taratibu hazipo ila ndio Tena jamii imechanganyika lakini kubwa ni Dua na kumtakia maghafira eti Aage dah
@KalundesaidiKalunde
3 күн бұрын
Mmmmm 😢 huyo mdada mkali mwenye kibuibui 😮
@Amba2024-ti2dc
3 күн бұрын
Dini wengi hatuijuw lkn muislamu akifa tuu azikwe jaman mungu atutangulie
@PatrickDavid-l3p
3 күн бұрын
Ata kama wangeleta kwa mama yake japo marehemu
@AminaMwanga-f4q
3 күн бұрын
Hajawatendea hali kabisa mhy Imani zingine izi...!!!!
@darajalakidatukilomgi2362
4 күн бұрын
Msiba umezidiwa nguvu na umaarufu, ndugu wamekosa nguvu ya kupanga, poleni sana maajirani, Mungu awatie nguvu
@mashamasha-de5xz
3 күн бұрын
Sisi sio waikristo kwahy wasituingilie kwenye Iman zetu ,waislamu huwa hatuagi miili naomba tuelewane hapo 🙌🙌🙌😐
@Mghaza-m16
3 күн бұрын
Poleni sanaa
@EveliusDominick
4 күн бұрын
Ata mm sijapenda kabsa ataangekuwa mm naongea
@catherinenenula7450
3 күн бұрын
Nanilicho waelewa sio waone mwili wampungie tyu mkono ukouko kwenye jeneza ila hawajawatendea haki😢😢😢
@Ajijji12
4 күн бұрын
Ni vizuri mwili ungefika nyumbani
@zainabmapezi5730
4 күн бұрын
Si mngekwenda msikitini basi
@SheikhomariKhamis-bx2ed
3 күн бұрын
Subhana llah hizo kelele ingali kua munamuombea dua ingekua nimutakkabal mzuri sana
@nelsonmakoye1788
4 күн бұрын
Wangemleta nyumban kwanza,,kuridhisha upendo wa wakina mama ambao hawapati nafas ya kwenda msibani!hapo kuna kasoro
@mwanashaali1109
4 күн бұрын
Hakuna Upendonwa kuridhishwaa hapa ni Amal yake last respect badala ya kupiga makelele ni wamuombee Dua xaxa hivii azikwaa
@ShufaaRamadhan-hz5kf
4 күн бұрын
Kawaida maiti inatakiwa kuondokea nyumbani kuelekea msikitini na mwisho kuelekea makaburini hapo wamekosea sana
@BilaliHemedi
3 күн бұрын
Huu ndo uislamu na Sheria ya Allah imetimiza
@KalundesaidiKalunde
3 күн бұрын
Subhannallah 😢
@RoseGeofrey
4 күн бұрын
Kweli iswahili una kazi sana wakipewa maiti walale nayo wote hapo watakimbia si waende msibani shida ipo wapi tuna majonzi wote wasituchoshe🕊️💔💔😭😭
@mwanashaali1109
4 күн бұрын
Wacha kutia uswahilinwachana nao Hawa ,hawajui wasema Nini na wengine Wana maabaya
@agnessima5032
3 күн бұрын
Elimu nayo ni shida😢
@bakheribabu9384
3 күн бұрын
SUBHANNALLAH
@halimashaban7038
3 күн бұрын
Jamani Dida anahitaji dua zenu zaidi hata kuliko Kitu chengine chochote,Allah amsamehe madhambi yake na amueke pema na palipo na wema peponi🙏
@kadijaa7771
3 күн бұрын
Kabisa😢😢😢 yani hata hwana huruma waje wamseme tuu kumuongezea majukumu yarabi mungu mfanyie wepesi maiti huyu
@halimashaban7038
2 күн бұрын
@@kadijaa7771 Allahumma Ameen yaarab🤲
@CROSYJWENTY
3 күн бұрын
Innalilah
@RashidiMalik
3 күн бұрын
Sahihi..
@BabySheni
3 күн бұрын
Lahaula Allah kuwata illah billah
@TausiAlly-d8e
4 күн бұрын
Sawa muombeeni dual ayo mengine siyo ya muhimu😢😢😢
@AminaIssa-ee6kl
3 күн бұрын
Alafu hawa wengine hawawezi kuongea kwa utaratibu na nidhani, hizo kelele hazisaidii maana utaumwa na koo mwisho wa cku. Subhannah Allah. Ni kweli hawajatenda haki lkn kelele hazisaidii.
@IbniAbbas-yz3kt
4 күн бұрын
Sheria ya Iman yake hairusiwi kuaga hata uwe nan!!
@@TeddylameckTeddy-q5ohairusiwi kuagwa ni kumuombea t dua
@denishaule6314
4 күн бұрын
Kuaga maana yake kumuaga nyumbani sio kuona maiti
@israelkisaila8401
3 күн бұрын
@@CharifaRachiditofauti maneno tu, maana ni ileile
@dismasmushi9328
3 күн бұрын
Mm naomba niulize unasema imanii yake hairusiwi agwee ata iwe jee swal lang mbona maalim self wa Zanzibar aliagwa ,,,
@BraniceNafula-vd2bi
3 күн бұрын
Ingekuwa Kenya mwili ungefika haraka sana mwaogopa kushusha
@HildaMhando-g3p
2 күн бұрын
Sio haki kabisa
@aubreykasoyaga1665
3 күн бұрын
Si wakasome dua kwenye Kaburi lake
@LindaMbilinyi-n3n
4 күн бұрын
Nimeamin maisha ya dunian namna unavyoishi na utakavyokufa utasindikizwa hvyo hvyo,,yaan dida wa mipasho na yeye anaagwa kwa mipasho dah,,hyo dada wa mbele km chiz😂😂😂😂😂😂😂😂
@ThomasBenedicto
4 күн бұрын
😂😂😂😂 aiseee
@nikrahayubu-sz3pw
3 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 astaghafiruallah laadhiim sii mtaani kwao so walikuwa wakipashana😂
Alhamdulillah nasubir shekh wangu kishk aamin msiba hauwish atatoa neno alhamdulillah allah kwa kutuma shekh wetu anayeuna mbali na kukemea maovu na mqbaya❤❤
@MwashaMwash
4 күн бұрын
Jmn wampelek kwako iyo nibahati binadamu kupendw ivo maashallah bil Shaka uko alipo yupo na neema
@mariambarkat2251
4 күн бұрын
Kiislam hakuna kuona mwili, kafia muhimbili, kapelekwa Maamur kaoshwa na kuswaliwa kisha kaanza safari ya makaburini, waislam hawana kuonyesha hata picha haifai, mgetaka mngekwenda msikitini mkamswalia na kumuaga jeneza lake likitoka. Acheni fujo muwe na respect na msiba. Muombeeni mungu allah amlaze mahali pema peponi na amsamehe mapungufu yake. Na sie atupe mwisho mwema ya rabby
@TeddylameckTeddy-q5o
4 күн бұрын
Sio kuonyesheshwa elewa mtu ananyumba yake lazima aletwe jeneza tu na picha inatosha
@emmadora7848
4 күн бұрын
Hao kuwaelewesha ni kazi ngumu sana @@TeddylameckTeddy-q5o
@Sandra39823
4 күн бұрын
@@TeddylameckTeddy-q5o kiislamu hairuusiwi, ikifika ni vitu za ibada ya kiislamu inafanyika vile Mungu amesema na sio vile binadamu anasema hata mzazi wake aseme au shekhe hairuusiwi kabisa, respect kwa maiti,
@leokamil6284
3 күн бұрын
@@Sandra39823Sio kweli ilitakiwa aletwe tu jeneza liingie sio afunuliwe hapana ila kuingia na kutoka kwao
@hamadmakame6040
3 күн бұрын
WAISLAM HATUNA KUAGA NA MWANAMKEE HAIRUHUSIWI HESHIMU DINI
@muhidinsuleiman4315
4 күн бұрын
Dah kwa kwli
@SLVESTA07
4 күн бұрын
Sema yote n love tuh but r.i.p dida 🙌🔥💥
@rockmusic6275
4 күн бұрын
Ni kwel kbxaa nyumban ni nyumban akin uyu dada mwenye miwan cja penda ana ongea ad cm yng imejaa mate yake kweny screen touch yng😂😂😂
@Iceefilmstv
4 күн бұрын
Sasa. Hao madada mbn kama wanatafta kiki😂😂😂😂😂
@LindaMbilinyi-n3n
4 күн бұрын
Kwenye msiba😂😂😂😂😂
@Iceefilmstv
3 күн бұрын
@@LindaMbilinyi-n3n 😂😂😂
@MosesSimbila
3 күн бұрын
Daah kama hiko kyembamba utafikiri kina majini hivi
@AbediMziria
3 күн бұрын
Kikubwa dua kuaga sio milazetu hawatawapenden mpaka mfwate milazao
@KamilaAbana
3 күн бұрын
😢😢dah!!
@Wastara001
4 күн бұрын
Tushaambiwa tayari kuwa tutafuata mila na desturi za mayahidi na manasara hata wakiingia ndani ya pango la mburukenge mtaingia humo. Haya wakali wa matusi nawasubiri
@ibrahimabdallah-e8j
4 күн бұрын
Habari
@BakaryOmally
3 күн бұрын
Hakuna Sheria hiyo ila ungesema kuswaliwa nije ya msikiti ningekuelews lkn hayo ktk uisilamu ya kuletwa kwa waliochexa nao hayapo mnatupigia kelele tuu
@Yangaone-h8j
2 күн бұрын
Kweli kabisa nyiye mliyeandaa mazishi ya Dida hamjafanya vizuri kuwadhurumu haki yao yakumuaga mpendwa wao hatua yamwisho yakumuaga
@Verochanel123
4 күн бұрын
True kabisa
@Keyjop
3 күн бұрын
Upendo gani huu jmn 😢😢😢 poleni saana jmn kwelii dida katuumiaza hata sie asotujua nawaelewa saana hawa watu , upendo wa hali ya juu
@happinessmwanguo8200
3 күн бұрын
Duuuh watu wakiona camera wanavurugwa balaa
@Zahra-dn9wh
3 күн бұрын
Dua zenu kwa maiti jamni
@HadirialssaShund
3 күн бұрын
Subhanallah nyinyi mnalalama dida kutozikwa kwao ikiwa mwenzenu yupo katika hali ngumu kipindi kigumu hapo mlipo badala kumuombea eeeh kwenda kuungana nawenzenu mkamswalia mkamsindikiza ktk safari yake ya mwisho katika uso wa dunia ila chaajabu mpo biz mnalalama na kigombana kabisa Allah awasamehe 😢😢😢😢
@JUU-lw2je
3 күн бұрын
Usislamu kazi sana jaman hata taarifa kama duda amefariki ndo nimepata sa h na mtu keshazikwa mtakuja zika mtu bado hajafa mnakimbiliaga nini huko makaburini
@BarakaNestory-w7n
3 күн бұрын
Mambo ya kiswahili sana! Hata msiba!!!! Au Kuna jingine!!
@maryamsuleiman6340
3 күн бұрын
Tutaondoka na Amali zetu jamani ,Subhana llah ,Innalillah
@grolia2379
Күн бұрын
Du poleni sana
@HamisShaweji
3 күн бұрын
Kilichofanyika hata Marehem mwenyewe hajapenda,kwani wameshindiwa nini kuupeleka kwanza Mwili kwao?watazidi kuwafanya watu wawazanie vibaya Vibaya Imani za Kishirikina mwisho zihusishwe
@ThomasMmary-r7w
4 күн бұрын
Uyo dada mwembamba anabwabwaja tu 😢dida pumzika
@zainabmapezi5730
4 күн бұрын
Ndugu woote wako msikitini. Nyie kwa nini hamkwenda? Hapo mama yake hayupo wamletee nani?
@NasraNyakunga
3 күн бұрын
Na mnafurahi kuona maiti seriously 😢😢😢 uo sio upendo kama mnampenda muombeeni dua innalilahi wainnallilahi rajun
@AishaMnyandwa
Күн бұрын
Ss ht akija inasaidia nn?
@STARBORNHB
4 күн бұрын
DAAAH INASIKITISHA SANAA 😅😅😅😅
@rugeyaali7268
2 күн бұрын
Jamani 😂 hata mkimuona mtapata nn?
@angle3600
4 күн бұрын
Ukifa tu upendo unazidi,Mungu amrehemu
@MozarySeyouMozarySeyou
4 күн бұрын
Amna lolote sifaa muonekane kwenye TV alokufa kafaa achaguliw pakuzikwaa😢😢iyo kufruuuhuu
@PriscaLekando
3 күн бұрын
Mwenyezi MUNGU akulaze mahala pema pepon dida
@saidbakari7998
2 күн бұрын
Ila hii dunia 😂 inalillah waina lillah lajuun hak gan
@NasraNyakunga
3 күн бұрын
Jamani mbona mna complete maisha hapo kwao yupo nani .basi muombeeni dua tuu jamani
@RamadhaniKitala-gx6wc
3 күн бұрын
Poleni majirani kikubwa kama wanafamilia wamekosea mkiwa kama majirani wema msomeeni dua
@AbdulwahedTariq
4 күн бұрын
Sasa Shido iko wapi??
@SaumuShaima
4 күн бұрын
Kweli wame fanya vibaya alipo fariki wange mleta nyumbani wamuone mara y mwisho alaf wamuoshe ndo wamupeleke msikitin 😭😭😭😭😭😭😭😭
@MwanalimaMwalimu-c4m
4 күн бұрын
Lakini ukweli nikwamba mtu akifa analetwa nyumbani atakama hutaona mwili lakini ukiona ata ile jeneza rohoni utajua hayupo tena mbona mwafanyie hivi wenzenu sasa mnaleta umarufu kwa watu,mimi pia ni Muslim lakini hii naikataa kabisa
@GatekaFatma
4 күн бұрын
Kweli kbs
@hemedishekivuli3746
3 күн бұрын
Una hadithi au aya inayotaka hilo
@MwanalimaMwalimu-c4m
3 күн бұрын
@@hemedishekivuli3746 hivi wewe ingekua ni dadaako ungekubali sina hadithi ila kwetu Kenya sijaona mambo kama kwani nyinyi ndio mnajua sana dini
@hemedishekivuli3746
3 күн бұрын
@@MwanalimaMwalimu-c4m hayo n mapenz yenu kwa mpendwa wenu na sheria haisem n lazma bal akifa mtu awahishwe kuzikwa
@SahimSalim-l5f
3 күн бұрын
@@hemedishekivuli3746kabisa awo wengine wanatak kufanya ni dini ya ifate wakristo, Maanake ayo mambo ya kikristo ya kuagwa
@shakirashakira-gc2yw
3 күн бұрын
Watanzania tunaupendo sana alhamdulilah😭😭
@Abdul-nb3jl
4 күн бұрын
Majirani wapo sahihi kwaupande Fulani
@mkongwijudith8457
4 күн бұрын
Nkweli
@JoyJack-x5x
4 күн бұрын
Ndyo majilani wako sahihi tukiweka pembeni udini hapa hawajafanya vizuri ata kama Imani ya wenzetu hawaagi wangempitisha tu waone ata hilo jeneza wajisikie vzr ukizingatia Iman ya wenzetu wanawake hawaendi makabulini wangemleta tu jaman😢
@MsAggie5
4 күн бұрын
Lakini kwani si alikuwa na kwake? Msiba ulikuwa wapi? Atapitishwa nyumba ngapi? Au msiba ulikuwa hapo?
@mkongwijudith8457
3 күн бұрын
@@MsAggie5 tatizo ht maelezo yao hayajitoshelezi km anakwake maanake watampitisha watoto wake wamuone huko kwingine mbwembwe zamtaaI
@MsAggie5
3 күн бұрын
@@mkongwijudith8457 aaaah kwenye wengi kuna mengi, kumbe msiba ulikuwa hapo Kwao nyumbani Kwa mama ake ndo maana wanamzengo wamekuja juu, alizaliwa na kukulia hapo so waliona na wao Wana haki ya kumuona au kuliona jeneza lake japo kidogo ndo maana wanagomba. Lakini yote kheri kashapumzika Kwa amani
@RamadhanRamadhan-l9y
3 күн бұрын
INNAA LILLAH WA INNAA ILAIHI RAAJIUUN kwa mujibu wa dini ya kiislamu maiti hatakiwi kuagwa ila anatakiwa kuombewa Dua hakuna ulazima wa kuletwa sehemu aliyo zaliwa wala kukulia
@Anamika-w1h
4 күн бұрын
Yashangaza sana hii😢😢pia yauma sana leteni dida nyumbani 😢😢
@PrudenceMuyambango
3 күн бұрын
Subuhaanalla
@chikumuya8063
4 күн бұрын
Kiukweli wamekosea sana ilitakiwa baada ya msikitini ni nyumbani akaagwa kwa mara ya mwisho Kisha makaburini ndiyo taratibu😢
@WinnieMsuya-f2m
4 күн бұрын
Awo watu wako sahihi jamani wasikilizwee
@BakariHassan-b1k
3 күн бұрын
lililo Baki muombeeni duwa mungu amsamehe makosa yake mungu amsamehe hilo ndilo la muhimu
@ashahusein6620
3 күн бұрын
Waswahili ni kazi kweli
@upendogreutert199
3 күн бұрын
😮😮😮 never Ona hii staili jameni
@MonahAbdull
4 күн бұрын
Makubwa haya alafu akatae kuzikwa yy mwenye before aingie kwao😮😮😮
@IddiHaji-b1j
2 күн бұрын
Mama anaongea sahihi kwamaana ya mtu akifa anapotaka kuzikwa lazima wazee au jamii iagwe au imuage marehemu
@chikujuma18
4 күн бұрын
😢😢😢 Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman majiran
@nacmentodanca6498
2 күн бұрын
Kama kweli munampenda dida msomeni dua wacheni upuzi huyo😏
@loner_wolf
2 күн бұрын
Kwani Dida alikuwa anaishi wapi ? Hapo kwao kweli , je alikuwa anaishi wapi ? Na msiba ulitengwa kwake au kwao ? Katk dini ya kislam kuaga maiti kwa kufunuliwa kumtazama hakuna utaratibu huo . Kuzaliwa mnamuona sidhani kama ni sababu ya maana . Na makaburini sio kwamba wnawake hawaruhusiwi lahasha , wasichoruhusiwa ni kuingia ndani ya mwili kupokea mwili . Msipotoshe .
@kimocodigital
4 күн бұрын
Last resfect 😂😂
@noelmusa3502
3 күн бұрын
Kumbe dida alijifunza kuchamba huku mmmmmh😂😂😂😂😂😂😂
@SubiraLuhanga
3 күн бұрын
Hee huyu dada anaongea sana mwishoni ataumwa jamani hee😢😢
@Asma-l8n
4 күн бұрын
Baada ya kumuombea dua kazi kelele tu,hata mkimuona ndo hataamka,pumzika kwa amani dida mungu akupe kauli dhabiti
@saidmbarouk3553
3 күн бұрын
WACHENI UJINGA NYINYI WATU WAZIMA MJA KATANGULIA MBELE ZA HAKI NI KUZIKWA NA NYINYI SIO WANAFAMILIA WACHIVI HAO
Пікірлер: 838