None of us chose islam but Allah subhanahu wata'ala chose us to be Muslims..Alhamdulillah for the gift of islam
@josemu870
8 ай бұрын
Allahamdulillah kwa neema ya waislamu
@yahyaali3951
8 ай бұрын
Shukran mashekh wetu kwa Kazi kubwa sana, Allah awape kheri kubwa
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@guyogalora2736
8 ай бұрын
Masha Allah barakallahu feek
@hassanmpemba5747
8 ай бұрын
Alhamdulillah ashukuriwe Allah muumba wa mbingu na ardhi na kutuletea dini nzuri ya kiislam yenye maadili mazuri
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Alhamdulillah kwa neema ya uisilamu
@Nora-v1m3p
7 ай бұрын
Alhamdulillah nshkr pia kw kua muislam
@andallaathman3856
8 ай бұрын
Mashaa llah kazi Safi ila twaomba sheikh Ali awache kugejeli maswali ya jamaa wanao uliza na kuwakatiza hawa hawajui wamekuja kusoma sheikh salim Yuko ndio mwenye kujibu ww msomaji bc mpe sheikh salim nafasi ajibu
@hodhanmusa7224
8 ай бұрын
Kweli kabisa.
@dominicwafula3997
8 ай бұрын
Kweli Ali awape time ili Salim awapr dozi waje kwenye dini ilio ya kweli, ukiwakashif watachukia tuwafanye waone uzuri wa Uisilamu
@Mzalendo-n8q
8 ай бұрын
Mm namuelewa huyu Ali,wajua hii kazi sio rahisi..yataka moto sana..we wadhan ni rahisi mtu wamueleza hivi na yeye anasema hivi..ww wamuinyesha njia yeye anajiona sawa
@andallaathman3856
8 ай бұрын
@@Mzalendo-n8q hata kma kwani ni yy anao onyesha kimya yy WA kusoma maneno mingi hata unao waonyesha wanachukia mbona Salim na Hassan hawafanyi hivyo yy apunguze mdomo mwingi kukasirika haraka
@Mzalendo-n8q
8 ай бұрын
@@andallaathman3856 hio n tabia ya mtu..huwezi mrekebisha..ni yeye mwenyewe aamue
@MuhanguziHakim-eo6cb
7 ай бұрын
Asanteni sana mungu abalike, inshaallah
@bahsansheikh6042
8 ай бұрын
Alhamdulillah kwa neemah ya uislamu
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Alhamdulillah
@Nora-v1m3p
7 ай бұрын
Alhamdulillah
@fatimahrashid2356
8 ай бұрын
Masha Allah Alhmdulilah najivunia kwa uslam kuwa dini yangu Quraan ni kiboko ikisomwa yanipa Raha zaidi nikisikiza najiona tajir hatakama sinakitu inasema waslamu niwenye nyoyo thabiti mbele ya makafiri 😂😂 Tena ss tuna amini tusivyo viona sio mambo Yamiujiza 😂😂
@isahbarasa
8 ай бұрын
Na wapongeza kwa dawah safi mwenyezi Mungu atupea nguvu zaidi ya kueneza haki yake
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@TabuOdhiamboOmiya
8 ай бұрын
Nikiona wakristo nashukuru sana Allah kwa kuniokoa
@NathanielNathan-m4o
8 ай бұрын
Kuokolewa na nini? Soma sura Mariam 71 -72. Halafu soma Yohana 14:6
@Jingajinga64
8 ай бұрын
@@NathanielNathan-m4o 😅😂 sindano nyengine kali mno. Panadol mbili mara tatu kwa siku itakupunguzia ukali.
@Jingajinga64
8 ай бұрын
@@NathanielNathan-m4o😂😅
@Jingajinga64
8 ай бұрын
@@NathanielNathan-m4o😂😅😂😅
@Jingajinga64
8 ай бұрын
@@NathanielNathan-m4o😂😅😂😅
@alidafala9981
8 ай бұрын
Aslm alkm.NASEMA HIVI.KUNA WALE WAKRISTO HAWAJUI UKWELI NA WANATAKA KUJUA.NA KUNA WALE KAMA KINA NDACHA.WANAJUA UKWELI NA WANAPINGA.KAMA HUYO KAKA AMEKASIRIKA AMESEMA HATARUDI HAPO.ANGEPELEKWA POLE POLE
@everlynechepkoech5649
8 ай бұрын
Assalam aleykum warahatullahi wabarakatu....allahdulliah kwa mafundisho mema ya uislamu...am always blessed day by day and learn alot being amuslim is a blessing 🙌 🙏..I wish I new this earlier
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh it's never too late
@mwangimuhammad-sx9hb
8 ай бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu.. Maa Shaa Allah...Allah awahifadhi nyote na awalalipe....huyo jamaa ni mmoja wa waliokabidhiwa injili ya wasio tahiri
Ustadh tafadhi kama itawezekana kuna mtu anauponda uislam utalia ukimsikia. Nuru Masihi tv
@salimdaawah123
7 ай бұрын
Hao jamaa ni wa S.D.A huwa wanalipwa na kanisa kufanya hivyo
@Hi_20206
8 ай бұрын
😂😂😂😂jamani. Ati wanaume watembee na sweater zao😂😂😂😅
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Hahaaaaaaa 😂🤣😂😂
@SalmanMughal-lq5lt
3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣aise..hataarii.nahizo.sweta
@loner_wolf
8 ай бұрын
😮Anataka MAMBO YA WALAWI 19:28 ..... msichanje miili yenu wala........ Huu mstari ndio ulimfanya Bob Marley akatae kufanyiwa UPASUAJI ktk kidole gunda cha mguu wake ili kundoa cancer , hata akapoteza maisha.
@fatimahrashid2356
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 ina onekana Yuko nakifumbu 🤪🤪🤪
@attainingallroundexcellenc6992
8 ай бұрын
71: Wala hapana yeyote katika nyinyi ( BINADAMU) ila ni mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe. 72: Kisha tutawaokoa wale walio mchamngu; na tutawaacha madhaalimu humo wamepiga magoti. 71: And there is none of you ( MANKIND) except he will come to it. This is upon your Lord an inevitability decreed. 72: Then We will save those who feared Allah and leave the wrongdoers within it, on their knees. QURAN CHAPTER 19 MARYAM
@NathanielNathan-m4o
8 ай бұрын
Eleza inamaanisha nini?
@Jingajinga64
8 ай бұрын
@@NathanielNathan-m4oukweli unaumiza. Panadol mbili mara tatu kwa siku itakupunguzia maumivu
Пікірлер: 53