Hongera sana una moyo mzuri Mungu akubariki kukumbuka mfanyakazi wa ndani tunavozalauliwa kazi za ndani ubarikiwe sana
@minaelnathanael1846
10 ай бұрын
Wafanya kazi wa ndani wenye roho mbaya mnajopotezea. thamani. Huyu dada anathamani kubwa sana kwa hawa vijana wawili
@kyuneshila6750
10 ай бұрын
Too Emotional, nimelia 😭kwa furaha, hongera sana dada Ikollina kwa upendo, wewe ni wa.dhamani sana kwa hawa vijana na kwa Mungu pia, ubarikiwe
@ChristopherDaniel-zk1lx
10 ай бұрын
Nimesikia raha mno mpaka nimelia kwa furahaa❤❤❤
@africandarling6925
Жыл бұрын
HONGERA Sana dada wa kazi kuishi vizuri na maboss wako na kulea watoto kwa upendo mungu hakubariki Dada
@malaikajabali-oj2fh
9 ай бұрын
Asante kwa kuwalea hawa ndugu wawili. Tuning from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@hegikibaby1120
10 ай бұрын
upendo wa kweli uliojaa hisia za furaha .....Mungu awabariki sidhan kama kuna mtu ataangalia na asitoe chozi. Mungu azidi kumbariki huyo mama na kizazi chake kwa upendo mkubwa aliowaonyesha hao watoto
@anithasimon2830
3 ай бұрын
Hakika inahisia kali jamani
@rehemakenethi-tu2co
10 ай бұрын
Hongera sana Mungu akubariki kwa kumkumbuka dada wakaz si. Kitu rahisi kihivo
@beathagabriel8438
9 ай бұрын
Kuna wasichana wengi wanajitoa kwa kazi. Nzuri saana ila hapajapatikana mahali hadharani pa kuwashukuru. Wengine wanasomeshewa watoto wao na misaada. Mbalimbali.. Rai yangu ni kuwa. Mtu yeyote si msichana wa kazi tuuu unapoishi popote , ishi kwa upendo , uaminifu, chapa kazi , Hakika kuna siku Mungu wa Sirini atakuinua mpaka ushangae..Hongera sana Mikolina uliyejaa upendo wa asili bila kuigiza. MUNGU AKUTUNZE SAAANA.
@BeibyBonny
9 ай бұрын
Daaaaah hongeleni Sana mwenyezi mungu azidi kuwatia nguvu man moyo wakipekeee 👏👏👏👏👏
@user-oc7pc2db6f
9 ай бұрын
Pia mm nimelia sana ikollina mungu akubariki kwakuwale watoto haoo vzuri mungu akupe herí na Baraka matamanio ya moyo wk akupe god bless mama❤❤❤
@jacintatheuri5372
9 ай бұрын
This is the best gift may the heavens bless protect you thanks 🙏🏿
@shufaahmmmohamed1833
7 ай бұрын
Nimelia sana mana mie nimelea wa ndugu zangu na nimeambulia maneno makali ya kuvunja moyo wangu
@AgredaMoyo-ni2jp
Жыл бұрын
Kaka ana Upendoooo huyu Mungu akubariki nimrpenda
@user-xc4or2vp6l
8 ай бұрын
Sijawai ona upendo kama huu❤, mpka nimelia dah. Wenye nyumba, pamoja na watoto mjifunze kuishi na wadada kwa upendo. Na wadada muache jeuri na kiburi. Siku zote zote wenye kiburi na jeuri kufanikiwa kwao ni kwa shida Sana. Wanyenyekevu huwa wanafika mbali. Dada hongera my dear kwa kunyenyekea. Sio Siri you deserved🎉❤
@nuratawadh1028
28 күн бұрын
Mungu ambariki sana uyu dada kwa malezi mungu akuzidishie sana sana
@aloyceponela3249
3 ай бұрын
Safi sana huyo dada mungu ampe maisha marefu
@evematinya6027
9 ай бұрын
Dahhh😢😢😢😢!!nimeliaaa lakini machozi yenye furaha sana!!dada Mikolina Mungu akubariki sana kwa upendo
@firmakisika5073
4 ай бұрын
Mwenyezi Mungu nakusihi wabariki vijana hawa wametii ile amri aliyetuachia Yesu Kristo ... Pendaneni
@monicambuya-sq9ms
Жыл бұрын
Nimependa vijana wana shukrani mno na ukarimu pia
@deedee3614
10 ай бұрын
Very beautiful. Couldn’t hold my tears back ♥️
@naomindulu2306
8 ай бұрын
Me too my tears come out.❤
@mwazanimnyamani8493
9 ай бұрын
Dada nikolina alikuwa na upendo wa wa kweli kwa watoto aliokuwa anawalea mungu akubariki sana dasa nikolina
@mwazanimnyamani8493
Ай бұрын
Dada aqwilina hongera sana mungu akubariki sana
@emmykishindo2852
10 ай бұрын
Daaaaah! Yaaani,huyu dada napata Mume, Mwenyezi Mungu akubariki uingiapo na utokapo
@lydiawanjiru1259
6 ай бұрын
Tenda wa uende zako.May God help these young men for their appreciation.God will surely reward you for the blessings this mother has given you today
@BAYINAVALENTINE-lu3vl
Жыл бұрын
AMAZING STORRY
@joankhalumi2564
7 ай бұрын
This so wonderful mungu awabariki siwengi wanakumbuka madada wa kazi
@naomindulu2306
8 ай бұрын
Wow. This is what we call real love. Yeah Jesus Christ Love . May God keep you and have Abraham,s grace to stay two hundred years for God, s glory ❤ guys listening 🎧🙏🙏🙏
@agneskaseya8473
Жыл бұрын
Daaah wadada zetu wa kazi ni watu wa kuwaheshim Sana hasa sisi tulio na shift kama hizo watoto zetu wanapitia magumu Ila ukiwa na dada mwene Iman, jamani tuwa thamini Sana kwani ni watu MUHIMU Sana Sana nsana hata Mimi machozi yamenitoka tena mbele ya binti yangu wa kazi,,,,,
@mellenondieki6329
6 ай бұрын
You are wonderful guys to remember the one who was babysitting you,may God asidi,kuaongoza, kabisa you are best worldwide to remember your house maid,mungu,awaonekanee,kabisa,and awasaidie kill munacho taka,ndua hii...mungu awabariki na Familia yenu...l IN USA 🇺🇸
@hannahtembo8280
2 ай бұрын
Baraka nikumbuke nami❤❤❤
@marycelestin6586
10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ Hakika Mungu helipa kwa kadri ya matendo yk ila Aidan na mdogo wk mna moyo wa shukran ❤
@simphrosaclavery4719
7 ай бұрын
Ooooo nimelia sana nakufikiri mbali sana ni kitu kimepita muda lakini kwanza kabisa wanangu vijana wangu kwa kukumbuka hiki kitendo Mungu awapiganie sana kwenye ndoa zenu mdumu kama nyie mlivyotunzwa hasa ni washing weza wenu wanapotaka kubadilika usimazibu mkumbushe tu hii siku ya Arusi yenu na umwMbie alijifunza nini ile siku mlipokuwa mkimzawadia mlezi wenu zawadi Mungu awatunze na amtunze mlezi wenu pia nami kupitia shuhuda hii ninaamini binti niliyenaye atakuwa.kama mlezi wenu aliyewakuza nami ninaamini itakuwa hivyo soma zaburi ya 23 yote na 2 4yote mbarikiwe sana ❤❤❤❤❤❤❤x7
@heriethmozes8151
11 ай бұрын
Mungu atawalipa zaid yalio mema kwaupendo juu yadada wakaz niwachache sana kukubuka mema nimependa sana mungu awabariki
@agnesspaul1866
16 күн бұрын
Safi sana hakuna kitu kizuri Kama shukuran
@edwardwangombe2358
9 ай бұрын
So nice, i respect this lady and the family.
@bokomapesa
2 ай бұрын
Hakika mungu Ana lipa hapa hapa duniani alicho kitenda ndio Leo mungu kampa mwanga inshallah Allah akupe umri mrefu Sana dada Niko lina
@zuhurasaid
2 ай бұрын
Hongera sana, wanakukumbuk pia katika Sala zao, Mungu akutunze sana
@user-um2wn9rm4i
7 ай бұрын
Its good to appreciate may God bless you
@elizabethmvumu1881
11 ай бұрын
Safi sana , familia.inaupendo, Mungu awatunze.
@FurahaMajilanga-ny8xj
4 ай бұрын
Asante Mungu kwa ajili ya fundisho zuri nimechukua, hongereni Sana sana❤❤🎉🎉🎉
@user-eq1xh3so2j
Жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kukumbuka fadhila
@elisantemrita9490
Жыл бұрын
Safi. Sana jamani mungu akawape machozi yafuraha ktk ndoa yanu
@user-id6fk9hr9q
26 күн бұрын
Nimelia machoz ya furahaaa sanaaa
@anithasimon2830
3 ай бұрын
Aseee kulia ni nje nje too emotional 🙏
@raysoneustace6359
2 ай бұрын
Wema hauzi nikwer❤
@user-dm4zn3ry6n
10 ай бұрын
Mungu akubariki sanaa endelea namoyo huohuo niwachache wanao jali wafanyakazi wandani
@shuwekhaabdalla7533
15 күн бұрын
Dada mungu ayakulipa kwa wema wako
@user-wu7dn6fb9x
8 ай бұрын
Nawapenda jmn mmelelewa Kwa upendo wa Hali ya juu saan, mbarikiwe na mungu
@itikamlagalila1911
Жыл бұрын
Mungu na awabariki thoughtful kids❤
@HadijaZabroni-pu1lt
Жыл бұрын
Asante sana mdogo wangu uejua kunifurahisha
@kamgishaisaya4763
8 ай бұрын
DADA ASANTE KWA MBEGU ULIYO IPANDA HAKIKA MATUNDA YANAONEKANA KWA MACHO NA NIMFANO KWA WAMAMA WENGINE WELEENI WATOTO KWAUPENDO ILI IWE LAISI KWAKO NA KWA WATOTO WAKO MUNGU, AKUBALIKI SANA DADA,PIA ASANTENI NYIE VIJANA WAWILI KWA IMANI NA KUMBUKUMBU MLIYO NAYO KWA UYO MAMA, MUNGU,WA MBINGUNI AWABARIKI KWAKIWANGO KIKUBWA AMINA.
@joycesamweli1219
10 ай бұрын
She did take good care of them God bless you Dads
@user-mi6dn2ez3f
10 ай бұрын
Mungu awabariki❤
@EsterMbukwa
2 ай бұрын
Mungu akubariki sana niwachache wenye roho kama yako
@FELISTAKAIMBI
2 ай бұрын
Mungu akubariki sana kwa moyo wako wa upendo
@user-iz5uq8qo6r
Жыл бұрын
❤❤ bila shaka aliwalea Kwa upendo wa kweri
@liannsambu7264
5 ай бұрын
Great surprise and this is unique
@beatricefredilick1646
Жыл бұрын
Uliwalea vizuri sana
@nancychiboi7133
5 ай бұрын
Wow God bless u mum
@Stephaniealphonce
2 ай бұрын
Daah nimejikuta nalia wallah
@RaysMerige-cn6xg
4 ай бұрын
Mmh hongera kaka Kwa kukumbuka aliekuosha
@malangwandekeja6116
8 ай бұрын
Duuh Mungu ambariki huyo Dada maradufu kwa moyo huo mzuri.
@marysona9999
10 ай бұрын
Hayo ndiyo matunda ya kusoma seminari kujengewa moyo wa upendo na kuwa kioo chema ktk jamii. Hongera kwa kumuibua Nicolina.
@verobecamfipa8655
10 ай бұрын
Ni kweli ata nilikuwa na boyfriend alisoma shule za seminali alikuwa na upendo xana na imani ya kupitiliza na ustarabu wa hali ya juuu aixeee
@AnnoyedCrow-kt8lq
5 ай бұрын
Just respect❤❤
@stanleymsenga2436
4 ай бұрын
Ni wachache sana wenye kuweza kukumbuka shukrani kama hizi vjn kwa hali hii MUNGU ata wavusha mbali
@salomekwilasa3892
10 ай бұрын
brought me to tears... lovely 🥰
@khadijatanzania7817
Жыл бұрын
Hii ndo raha ya kuishi vzr na watu
@magrethlucas5505
9 ай бұрын
Mmenifanya nimelia jmn ni binti yangu Eliza Mungu amtunze tu kwa kweli kasimama vyema katika kulea wanangu
@NafisaJumanneMwanzalima
2 ай бұрын
Mungu amtuze huyu dada😊😊
@NeemaStephanomjengi-xq4dg
8 ай бұрын
Kaka NDOA yako owe ya baraka sana kwa kukumbuka dada aliyewalea
@dorsaonyari9124
4 ай бұрын
Beautiful
@herriethchamuriho5289
10 ай бұрын
Imani huzaa upendo wa kweli
@PauloKasimu
3 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@user-xy5nc7hp7j
4 ай бұрын
Mungu andelee kuwabariki sana sana
@ruthmukami7573
8 ай бұрын
Mbona wazazi kama hawafurai kumpongeza this great sister. Something doesn't look right.
@rehemakanyere4188
2 ай бұрын
Walifurahi tu,ila hawakutegemea kama watoto wao wanajua kushukuru kwa kiasi kikubwa saana
@DaudiSita-rg3us
2 ай бұрын
Ni wachache sana watu hivi mbarikiwe sana
@IsabelaLeonard
5 ай бұрын
sanaaa nimependaaa
@user-gj6mv4ko4h
7 ай бұрын
Jamani madada wa kazi jifunzeni, wema ni akiba....waleeni bila manung'uniko watoto mnaopewa kuwalea hamjui kesho
@ElizabethOmutanyi
10 ай бұрын
Be blessed❤
@EmanueliBoi
2 ай бұрын
Anastazia muema
@user-ql7to3rm3p
9 ай бұрын
Tuwapate wapi watu kama hawa jamani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Stephaniealphonce
2 ай бұрын
Ilinga
@user-nh9ql5fx7s
9 ай бұрын
Kwa marayakwanza kuona mungu akubariki.
@user-tq3cf9rg8s
4 ай бұрын
Hakika mungu awabariki
@user-jg9nd9jd9n
7 ай бұрын
Mungu awabariki kwa fadhila mliofanya
@anithawidambe7543
5 ай бұрын
HONGERA SANA DADA NI WACHACHE WENYE MOYO KM HUO WADADA TUJIFUNZE KUWA WEMA NI AKIBA. LEO UTAMFANYIA VIBAYA MTOTO HUKUMBUKI NA WEWE NI MZAZI WA LEO AU WA BAADAYE
@user-lb9ek2qf7d
7 ай бұрын
Mungu awabalik😂😂😂💓💓💓
@raniy0262
Жыл бұрын
Ni wachache wanaokumbuka fadhila
@ShamsiaMuhagama
3 ай бұрын
Ni wachache sana kukumbuka fadhira
@shukurusyriack3504
5 ай бұрын
Nimelia mno jamani kwa furaha,Mungu nipatie binti wa kunilelea wanangu kama mim nilivyolea wa wenzangu vizuri
@rosebarasa8456
11 ай бұрын
Bi harusi iyo heshima usivunje tafadhali ❤❤❤❤❤
@brianoduor1118
7 ай бұрын
What kanitoa machozi Mungu ambariki mwanadada huyo
@JullianaBoaz
2 ай бұрын
Namfananisha na marry
@marymwandandila9327
5 ай бұрын
Hawa vijana ni wa peke Sana ,wengine tumelea ndugu zetu tunaambulia matusi tuu
@user-di3pd9lw3k
7 ай бұрын
Asante santeee sana
@fidelisluvanda3585
Жыл бұрын
Kuna watu wanajua kushukuru ase😭too emotional
@israelkisaila8401
10 ай бұрын
Yani ni shukrani inatoka kwenye Vilindi vya moyo kabisa
@user-fv9bx5ct7b
9 ай бұрын
Jamani raha yaani dada mikolina amewambukiza watoto roho yake ya upendo Mungu wa mbinguni akutunze dada.
Пікірлер: 189