Ana UTI sugu😂😂😂😂 Nilidhani hit ya mwisho ni New King kumbe bado zaja 🌺🌺
@PerfectJbo03
14 сағат бұрын
TOXIC FUVU, we jamaa ni NOUMA sanaaaaaa yani unafanya Rap ionekane mlenda....... Ukigusa tuuuu IMOOOOOOOOO 🫡🫡🫡
@bongoswahilimax09
15 сағат бұрын
😂😂😂😂😂 Ilq we jamaa😂😂😂... Mbuzi mbuzi nimekuita mara 3🤭🤭🤭🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
@VictorNdolo-ew7xw
13 сағат бұрын
Toxic umetuacha in suspence,Twanga part 2 of this track....hii itasonga mkuu..Good job💥💥💥💥💥💥💥💥💯
@C7Christian
12 сағат бұрын
Hivi Toxic unashida gani maana we ni noma sana
@francisenock878
3 сағат бұрын
TOXIC IN AIR ❤🔥🔥 nimerudia mara 100
@Osamu2-gx4jo
5 сағат бұрын
unaweza sana kaka Fanya kitu na brother mbuzi
@HassanRamadhan-cv8de
6 сағат бұрын
Na kuelewa sana toxic ngoma ya 🔥🔥🔥🔥🔥🎉
@Millerremmy
9 сағат бұрын
Good work mwana toxic hii ngoma ni moto
@immadonkingdon4237
7 сағат бұрын
Nakubali sana Toxic ww ni mwamba mbunifu
@braisonmjujulu3992
13 сағат бұрын
"Nimejikakamua round 5 akasema sasa inatosha kuniaandaa tuanze mechi😅😅" hit🎉
@mattyamissi4094
11 сағат бұрын
Uyu mwana namkubaligi sana love from Drcongo Uvira👌🔥🔥
@Hamadi-ri9lp
2 сағат бұрын
Mbona umesema haujaoa kwani umeolewa n mshangazi sinza 😅😅😅😅😅😅😅
@JosephJackson-jv1so
15 сағат бұрын
I wish bro uachie ngoma yenye dk 4 hivi mithiri ya nitakinai, jinai yaani uyalalamikie mapenzi.
@BAD5IVE
13 сағат бұрын
😅😅😂😂😂unyama sana brooh🎼🎼🙌
@ChabloLindsey
Сағат бұрын
Huyu jamaa anajua balaa❤
@DekelvaSoujaboy-mb8ps
11 сағат бұрын
Bongo la Ngoma kali Sana mistari Yako inasomeka huna Baya fuvu hujawaii kutuangusha Sisi ma fans zako ❤❤❤ from Drc Congo Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩💥💥💥💥🌟🌟🌟 ya leo kali 🎉🎉
@mosesdavid-vm5hk
14 сағат бұрын
APO KWENY DEMU ANAJUA KINGEREZA NDIO ABBY CHAMS NN😂😂
@mushrafuahamadi8676
15 сағат бұрын
Nakubali bro umetisha
@valianymwamahonje6298
13 сағат бұрын
Ashura kamsaliti dingi mbele ya bi mkubwa 😂😂😂 like kwa ashura tafadhari
@osbon_
15 сағат бұрын
ety ashura unanisaliti🤣🤣🤣🤣 noma mwanangu
@billaura5080
4 сағат бұрын
Shairi yenye vina bro..254 representing
@Daudzman
12 сағат бұрын
Toxic anajua noma sana 😂😂😂
@SaidiKimbolaga
3 сағат бұрын
Si akamsalimie mama mkwe Oioi😂😂🙌🏼
@demask3423
5 сағат бұрын
Mapokezi ya hii ngoma ni makubwa sana. Hongera toxic
@oluwabenny4353
14 сағат бұрын
Biashara imeanza kukua 📸📸💥
@rubbyjae749
3 сағат бұрын
Inatosha kuniandaa naomba mechi ianze😮
@tirathegreat8839
10 сағат бұрын
Hiphop ipo kwenye mikono salamaa kabisa
@JofreyMakilika
11 сағат бұрын
We mwamba unajua sanaaaa tena sanaaaaa big up keep it
Idea nzuri, flow nzuri, umetamba vizuri, keep it up bro, mziki mzuri
@ALBATWA5-zh4zk
8 сағат бұрын
Hili jabali toxic nalikubali toka enzi za rap battle Halijawahi kuniangusha hata sikt moja salute sana mfalme
@Duniatz0
15 сағат бұрын
oyaa mi wakwanza leo mwanangu good work
@Duniatz0
15 сағат бұрын
Good work bro
@juliusshao2072
3 сағат бұрын
🎉ngoma kali atar 🔥
@mosessamson1811
10 сағат бұрын
Hahaha😂😂 Ashura kaharibu huku😅
@karimhamis1788
13 сағат бұрын
mwana HIPHOP Number 01 kwangu kwa sasa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@aloyceevarist1769
2 сағат бұрын
We jamaa Fala kweli😂😂😂
@AbmGREAT
14 сағат бұрын
Bonge moja la kichupa 🔥🔥🔥
@denzafighter
12 сағат бұрын
Freestyler wote Huwa ni makini sana ✊✊✊
@SkendoTV
6 сағат бұрын
Oya Fuvu 💀 umeua 😅😅😅
@regydasilva8354
4 сағат бұрын
BRUV U NAILING IT 💯
@HamiskMatunguli
6 сағат бұрын
Kiboko kaka 🔥🔥🔥🔥🔥😂
@ProfessaRashidy
10 сағат бұрын
ha ha...hapo kwa Ashura mmeshare love na mshua
@JeanJd-gi4uc
15 сағат бұрын
Good saana
@singelimusicsound2832
3 сағат бұрын
😂😂😂😂unajua sana broo😊
@gaddafi47
13 сағат бұрын
TULIO RUDIA HILI DUDE ZAIDI YA MALA MBILI TUJUANE APA 😄😄🥰
@Sospetersalige
15 сағат бұрын
First man in the building
@YoungJoka-c6j
5 сағат бұрын
Umetisha sana mwamba wangu🤙🤙
@manonifrancis147
15 сағат бұрын
Noma sana😂
@mboscinho
14 сағат бұрын
Sound ya buffalo 🦬🦬🦬🦬 🎉🎉🎉 Boy from Mozambique 🎉🎉🎉❤❤❤
@gervasemmanuel8528
11 сағат бұрын
Huna kazi mbovu kaka🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@michaelchris365
10 сағат бұрын
Hatujakataa toxic ni mkali ni mzuri kwenye kuandika na ana content nzuri ila aache kabisa kujishindanisha na young lunya narudia tena toxic kaka wewe ni mkali ila young lunya ni mkali zaidi yako lunya kakuzidi vingi endelea kujifunza kupitia lunya 🙌🙌
@princessplatnum4416
8 сағат бұрын
Nenda kwa lunya mkuu tambua atutaki shabiki mahandazi mjomba
@trapnondo873
8 сағат бұрын
Hata sijui kafata nn hapa ama ndio ashuraa🤣🤣
@HassanRamadhan-cv8de
6 сағат бұрын
Lunya ndio nan kwanza
@James-alex03
6 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉maua yako fuvu
@IsayavalentinoMasangula
6 сағат бұрын
Mtoto wa Kambo hata akikushika kalio ukimzuia unaonekana unamtesa...😂
Пікірлер: 420