John magufuri,angemalizia miaka 5 tungepiga hatua sana ama kweli maendeleo sio siasa
@stefanomasolwa8979
Asante Rais wetu Mpendwa J.P Magufuli kwa Kazi nzuri umetutengenezeya Mungu akuweke Mahali pema Kwenye Paradiso yenye amani na Furaha Amen
@christopherjoseph9981
R.I.P CHUMA JPM!!tutakukumbuka sana kwa miradi yako hii!maono yako etc!!
@user-fl3fb5gh6b
Bira Magufuli mungesubiri sana,hiyo ni miaka 5 tu ingekuwa miaka kumi ingekuwaje
@user-kg3tl7zs2q
Daima na milele peponi magufuli❤
@HannaBakari-k4q
21 күн бұрын
Hongera sana baba John Pombe Magifuli
@massvpro
Tungependa kujua Mliopanda Kwa Majaribio Mmetumia Muda Gani kutoka da to Morogoro
@martinemaganga5253
Mhhh,kwa umeme huu unaosua sua kaaaa mimi hapana sitaki kulala njiani kisa umeme umekata na bahati mbaya ukate ukiwa karibu na Tabora utajua haujui 😂😂😂😂
@idrisadalluc4498
Asante mzee wangu magufuli mungu akusamee ulio kosea🙏🙏
@sylvestercameo6263
Hongereni, kumbe ndo.maana hapa kwetu leo umeme haujakatika. Basi endelea na majaribio kila siku. "Mgeni njoo mwenyeji apone"!
@JudithAdonis
💃💃💃 waaaaw Mungu atusaidie !!
@user-fh3ew6xp2i
Hongeren sana maana tulisubir sana
@gibsonjosephat6352
Hii treni kwa ndinga yangu mnanikuta nieshalewa baaa😂😂😂😂
@febroniamsoma178
Ukiipa basi liende bila kuwako foleni moro hope izo tisini inatoboa tu chap
@omarybakunda2554
Asante sana raisi samia tujipongeze Watanzania.
@allythabiti8150
SSH Hongera saana rais kwa kuhakikisha hili jambo litimie
@user-gw8wv2zf2g
Hongera Tanzania 🇹🇿 tukinia tutaweza
@hamidudigogo5863
Kama ndio treni hii hakika tumepigwa sio tulio onyeshwa na JPM
@erastomallya4644
Hongera sana, Ila mlisema ni kichwa cha mkandarasi hicho
Пікірлер: 183