Usisahau ku-like, ku-share, ku-comment na ku-subscribe channel yangu tuburudike na mziki mzuri Ahsante sana kwa muda wako ❤️🙏🏾.
@emmanuelantony1981
10 ай бұрын
Unyakyusa mwingii mdogo wangu apo sina cha kuchambuaa waaap cr7 gwamaka
@ChristinaNyamba
10 ай бұрын
Ngoma kali keep move boy @coby hapa
@ChristinaNyamba
10 ай бұрын
Ila ningetaman nisikie vtu vigumu Zaid uandishi mzito... Like kamba 😊😊
@stanleyngonyani1441
10 ай бұрын
Jamaa unajua sana❤❤
@elizabethmakombe1673
9 ай бұрын
nyimbo zake nzuri sana
@LAY_FLOW
10 ай бұрын
Waouh napenda 🎉 good job bro i m from Bujumbura 🇧🇮 naomba like zangu hapa
@elishangesi4725
9 ай бұрын
Uko fire sana nakuona mbali sana Bro usijichukulie powah
@Nyavida_ke
9 ай бұрын
Bro you are a star add another Banga 🎉❤
@BrianLuis-c3e
7 ай бұрын
Somewhere, somebody....
@Japharyhh
9 ай бұрын
Hii Kali
@eagleculturetv4692
9 ай бұрын
Yan for sure ukiczkiza ngoma zake huyu mwamba unaona kbsa kitu flan kwa kichwa chake
@stevemineral5194
10 ай бұрын
ZANZIBAR tunaenjoy sana mziki wako🎉🎉 congra
@CLeigh_official
10 ай бұрын
Mbona nisi comment, muziki upo sawa
@Nyavida_ke
9 ай бұрын
I saw your song on the TV. And I was like lazima nikutafute KZitem walai uko fiti can i get a collabo
@EmmanuelNgimba-hl5lz
7 ай бұрын
Yes kaka
@alvinisrael64
9 ай бұрын
The day i heard your song ft Conboi i knew kuna kitu hapa
@angelmwanjasolomon8734
7 ай бұрын
Jaman nimepata tabu sana kuu pata huu wimbo. Nilisikia clouds wiki iliyopita nikatafuta nikashindwa😅 leo nikasikia unaongea kwenye radio clouds ndio nikalipata jina lako. Yani kabla ata hujauimba huu wimbo nilijua tu kuwa ni wewe ulie imba huu wimbo Nimempata . ulivokuwa unaimba nyimbo nyingine. Uku mwishoni ndio ukauimba huu Nimempata. Naupenda sana huu wimbo nimeutafuta sana . hongela kwa kipaji
@octavianmushi928
9 ай бұрын
Mwanangu unyama ni mwingi sana
@sufferlewis
8 ай бұрын
Me ni hip hop sana Huwa sisikilizi sana bongo flavor mpaka unaona nimekuja ku comment hapa you're baddest bro 🙌🏾🙌🏾
@emmanuelmakassy3421
10 ай бұрын
Fahamu ya kwamba Tunakuangalia na kukufuatilia..Keep Going!!!.. Excellent Work
@supreme-trading
9 ай бұрын
you sound like meddy rwanda so talented big up
@Ndenza
7 ай бұрын
Unasikio Mzee
@im_Dausy
9 ай бұрын
Good is good yoh
@abubakarmshora7954
10 ай бұрын
This one has gone, you are star now
@SensorMakongo
7 ай бұрын
Ngoma kali broo
@goodfancy7629
10 ай бұрын
Treyzah atar
@Malopatz
7 ай бұрын
nice song 🔥🔥
@frumencekaigai4030
8 ай бұрын
Love from+254🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ❤
@oscarmguli9098
6 ай бұрын
Big work man 💪
@alphonsebirikunzira3933
9 ай бұрын
From turn away mpaka kwa nimempata big up
@rogathjmrema2221
9 ай бұрын
acha niwaambieni jama huyu wasasa😂😂😂😂 balaaa
@Manashyperry
9 ай бұрын
kila mda nasikiliza vocal yako😊
@maleek11flacko
9 ай бұрын
Dogo ataenda mbali love from kenya🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤
@HassanNgowo
9 ай бұрын
I real like umekuw furah yangu san nilikuw na tommy frevar saiv nimempata pachaake mnapita njia moja nimafundi saana nataman siku mfanyekaz pamoj itakuw pow san
@Bles-fs3md
9 ай бұрын
Duuh sauti zuri mpka unakera❤❤❤
@Manlike96
10 ай бұрын
Xema mwamba itabid aongeze juhudi kwenye chorus, chorus za ngoma zake sio kubwa Kama anavojitahid kwenye verses zake
@Official_Craizejaw
6 ай бұрын
Nakukubali mwanangu cause unansaidia mtu kujua pakujifunza ila na mm nna ngoma zangu nisaidieni nione makosa
@westcijosh
7 ай бұрын
Tanzania wanajua music aisee
@amosivan5017
10 ай бұрын
My best jamm....hii ngoma ni kali sana sana na sana Naisikiliza kila siku ni kama dozi Naomba ata remix ili @tommy flavour awe featured plz🤝🤝🙌🙌🙌🙌🙏
@8151mussakudely
9 ай бұрын
Kuna watu wanajua 🤝🤝🤝
@AlbertoRafael-er2ws
9 ай бұрын
Noma sana
@t-mwana4510
9 ай бұрын
Unyama mwingi sana
@MrKimond-ip2zp
9 ай бұрын
Goma yang pendwa San hii boy
@calvinsilayo2052
10 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉 Beat 100 Melody 100 Hakika nimempata❤❤
@TITORYKENYA
10 ай бұрын
Wazii man nakutambua sana
@goldnugget6726
9 ай бұрын
Ma home boy Talent ya dunia ya tisa ndo imelala ndani yako big up sana very soon tunaenda dunian MUNGU aendelee kukuongoza🙏
@yonamwakanyamale5023
9 ай бұрын
Huyu jamaa anajua sana. Chorus nilijua amemshirikisha chris Brown. 👏👏
@rahimmbera6088
10 ай бұрын
unajua sana mzee kama utani vile ndounazidi kutoboa Kila la kheri kwako
@AggreyChitalu
9 ай бұрын
haa hii nyimbo imenifanya nirudie repeate aisee umeua Kaka
@danchibomnyama5461
10 ай бұрын
Mwanangu huniangushagi bonge la ngoma na kichupa kimekaa poa sana nakukubali sana my brother
@joshuamwijonge7311
9 ай бұрын
Wewe juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@naldotz9632
9 ай бұрын
My favourite artist
@jeromeemmanuel379
10 ай бұрын
Kitu hii hapa Sasa 🎶🎶🎶 Nimeongeza playlist among of ngoma zako
@ydtv9167
2 ай бұрын
pamoja sana #kimara baruti
@ELISAGAINOFFICAL
7 ай бұрын
Umeuwa baba
@mziziwabahariahmad980
10 ай бұрын
Wow wow it’s amazing vocal bro melodys humu katisha unyama mwingi bro ulivyopita duuuuu respect 🫡 much boy
@DannyuhuluDannyuhulu
9 ай бұрын
Unajua bro big up
@vinasilayo5715
8 ай бұрын
❤🎉🎉
@goldnugget6726
9 ай бұрын
Treyzah🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@britondaprince
9 ай бұрын
That's my G ......🎉
@rogathjmrema2221
9 ай бұрын
Noma kaka
@maggylesu9159
7 ай бұрын
❤❤❤👌💯
@ludotz3413
10 ай бұрын
Nice trayzer🎉🎉
@osiahstimah
10 ай бұрын
Dogo fundi nakubali from mbeya
@AllanMollel
10 ай бұрын
My artist your the king 🤴 of RNb
@Official_Craizejaw
6 ай бұрын
Mi japo kuwa najifunza ila ukweli treyzah unajua bro
@THEWORLDEYE3263
10 ай бұрын
TREYZANATION LOVE AND PEACE NATION tuko pamoja bro
@KTMediatv
10 ай бұрын
Fundi 🙌
@shabiryz-gm9oy
5 ай бұрын
oya blood unajua wallah nip arusha 1 day yes hat picha na ww
@ShaQsMutumaThiDj
9 ай бұрын
it's like everything trey touches turns in to MAGIC. great job Mr @Treyzah 🔥💯❤🔥
@barakapaulo108
5 ай бұрын
🔥
@deejeydaev
7 ай бұрын
Acha sifa .. uwe unatoa hata ngoma mbov siku moja moja
@MelodPlatnum
10 ай бұрын
jamaaa anajua jamani bro congrates sana to you 🔥🔥🔥🔥
@ButwaMwakajumba
5 ай бұрын
Mdogo wangu Kuna siku nilikuambia you will be a superstar A.k.a Bruno Mars Imba mziki tu🤛
@tellodelucky6864
10 ай бұрын
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuuu🔥🔥🔥🔥❤❤🌹🌹
@cliffordluanda
5 ай бұрын
Treyzah Kwa mbali sauti kama august Alsina ama meddy sema yupo good Sanaa unamusic mzr swagger nyingi nakuelewa Sanaa appreciate
@fineboytz2557
10 ай бұрын
This boy 🔥🔥
@faithkieti9431
9 ай бұрын
Wow such a lovely song 👌
@mosesdavid-vm5hk
9 ай бұрын
Mjuba fundi ase
@michaeljeremiah5364
10 ай бұрын
Aina muda Dunia itaimba nyimbo zako...inshaallaaah..🏁🏁🏁🇹🇿🇹🇿🎵
@playdizomkb7277
10 ай бұрын
Hyo BRIDGE Duh....🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥 JINI MAPENZI On Dis 😈
@JoyceAntony-t5f
10 ай бұрын
Ndio mi ni yatima wa mapenzi lakini umetisha bro big up❤❤
@latiphajohn8495
27 күн бұрын
Daaah treyza nakukubali vibaya mno
@tinnahjuju2142
6 ай бұрын
Wimbo mzuri sana huu ❤❤❤❤
@Jesse_9014
10 ай бұрын
unajua sana my blood❤❤❤
@PapyMelodiz
9 ай бұрын
Noma💥
@sinyobravo5217
10 ай бұрын
Somewhere! Somebody! God bless u dude #nimempata
@KyreeTz
10 ай бұрын
Kali sana
@maxylsamukoya
10 ай бұрын
🎉Kenyans are happy with the song
@moffimms8211
10 ай бұрын
Fanya ngoma na chidi benz
@akramkichuya6444
8 күн бұрын
Ngoma ikopoa sana mamba
@Abelzhussein
10 күн бұрын
Jamaa unajua sana
@bandanionline_
9 ай бұрын
❤
@ferdinandmkoba6939
8 ай бұрын
Una jua kaka
@CaphulenKipili
9 ай бұрын
💕💕💕
@musakaswaka
3 ай бұрын
unajua🙌🙌
@RentoTz_
10 ай бұрын
Some where some body 🔥🔥🔥
@Theuniverse318
9 ай бұрын
❤❤❤❤❤Wow amazing sound like kiba❤
@eliasbernard3147
9 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@OrnelaAsha-mk9vz
10 ай бұрын
Wahooouuuu Good song Naburudika vizuri 👂 iyi ni kali
Пікірлер: 251