Huyu jamaa n yuzzo aliyeshinda BSS miaka iliyopita ama namfananisha? Nimefurahi sana kumuona ak... Nafuatilia kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪.Much love shadow.
@miguelgb7415
Жыл бұрын
Ndo yeye
@edinakyaruzi9226
Жыл бұрын
Namimi nilihic ni yeye safi ❤️
@sadamahmed7362
Жыл бұрын
Funzo zuri sana ........ Big up king shadow 👑🙌
@ockweezmaster2753
Жыл бұрын
Home boy yuzzo mwamba big up umetisha 🥂
@thomaskarama3521
Жыл бұрын
Ni wakwanza kuona vidéo hii na omba likes zenu hapa nita🙏 sana🔥🔥🇨🇩🇨🇩❤️❤️
@Teddy-fq5oc
Жыл бұрын
Kwa kipi ulicho kifanya
@marthamwenda8424
Жыл бұрын
@@Teddy-fq5oc mwambie huyoo
@thomaskarama3521
Жыл бұрын
Kwa kazi nzuri
@Hearts4rucyah
Жыл бұрын
😂😂
@erienamichael8533
Жыл бұрын
Kwan ni chakula🤣🤣🤣
@kinyasigeneral7069
Жыл бұрын
Dem mzuri uyu😊😊
@bosmony
Жыл бұрын
Nmemuona yuzzo mwamba like kwake 2
@francescafrancesca8901
Жыл бұрын
Njoo ivo walivyo kaka yangu shadow. Uwapende ,uache yote ni yale yale. Bora mtu akae bila kuowa. Sio kuishi nao kwa akili maana utaumiza moyo wako bure. Hawana shukrani.
@VanessaLazaro-rn8dx
Жыл бұрын
Hongera sana shadow nakukubali sana 💕💕
@simonrukombe6654
Жыл бұрын
Hongereni sana wahusika mmetumia akili nyingi sana kwenye hii movie ✊
@ashurahamiss
Жыл бұрын
Yuzooo mwambaaa🥰🥰🥰🥰
@fadhilhamdu7063
Жыл бұрын
Uyu dem mkali asaaa, kama mzanzibar yaaaan , ❤
@tumajunior6080
Жыл бұрын
Big up team Shadow ❤❤❤❤❤👌👌👌
@seifnassoro853
Жыл бұрын
Soniya ni kirembo sana
@walidaboubakar8701
Жыл бұрын
Bonge la kazi mze shadow 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ❤❤ much lov from congo
@obadiajackson6914
Жыл бұрын
Shadow unatungaga story nzuri lakini unashindwa kumalizia unaishia kati story zingine huwa zinaitaji muendelezo kama hii ila unajua sana kutunga story jitahidi kuzipangilia tu ❤💯
@hajjmwazimbu7357
Жыл бұрын
Oe una fikiria sanaaa mwenetu ckupingi wallah💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@naarbadmilas9499
Жыл бұрын
Nyie mnamjua mwanamke anaweza kumthamin aliemsaidia wakat gar lake lilpozmika njian kulko yule aliemnunulia gar 🙌
@fransisnyandoa8163
Жыл бұрын
ninachokupendea komedi yako Ina 🙏🙏 kitundaniyake papana utafikambalizaidi
@AmeirAme-ho8sp
Жыл бұрын
Sonia anajua sana and so cute❤
@vickymass8309
Жыл бұрын
Yuzooo mwamba ❤❤❤❤
@josephsananga6573
Жыл бұрын
Kaka shadow ongela sana kutuletea msanii mzuri wa sura umbo mbaka kipaji anacho sonia
@angelsimon6493
Жыл бұрын
Yuzo mwamba huyo jaman
@Abdulhamid_Suleiman
Жыл бұрын
Nimefurah kumuona mwamba Yuzzo
@allydjuma8645
Жыл бұрын
Good advice mr shado big up sana
@fredrickfredrickamunze-rj5zp
Жыл бұрын
Shadow nakupenda sana unaniundia siko
@rich_wasparner9233
Жыл бұрын
Ah hatari Sana ,kazi nzuri
@ismailkupaza5612
Жыл бұрын
shadow mtu mbadi 💯
@JerryMpex
Жыл бұрын
Yuzzo una kitu ila ulikua unakosa allied kali ila ukiwa na jamaa naamini utauua sana home boy fanya kazi,Green city has your back👊🧠
@MeshackGta-zo7be
Жыл бұрын
Tuish nao kwa akili😂AKILI ZENYEWE UNAZO🤣🤣🤣🤣🤣👈💪😠
@nockigona5160
Жыл бұрын
mshindi wa bongo star search yuzo
@MOPEBLETv657
Жыл бұрын
Fundisho kubwa sana bro shadow
@ramsaybjembe8561
Жыл бұрын
Bwana shado Mimi nakupongez uendelee naiyo style ninzima san
@joanndinda3438
Жыл бұрын
Shadow mwenyewe
@user-gy9yi4tl6m
Жыл бұрын
Very nice ummm shado uk mukawush san
@MOREKEYSTZ
Жыл бұрын
Umeua sana bro
@abibumbota5160
Жыл бұрын
Upo vzr shadow ujumbe mzr
@ibnimasoud8228
Жыл бұрын
Ongereni saana makamanda kwakazi nzuri kama hizi
@daymalhomebae9488
Жыл бұрын
Kali zaidi ya zote
@norine5528
Жыл бұрын
Nanii kamuona Yuzzo Mwamba Tujuane
@nsmilles_tz2601
Жыл бұрын
Ilembula boy see u
@kefinifrancis4776
Жыл бұрын
Hatariii sanaa😂😂😂
@Yuzzowgrapher
Жыл бұрын
Wanangu wa 047...nawaonaaah
@mimahogtz597
Жыл бұрын
So shida zako😂😂kak shadow❤keep it up
@shadowtv9704
Жыл бұрын
Kasolo ww 2
@saidiabdalahshabani941
Жыл бұрын
Mr kipala kakandwa atali🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ramadhanisaranga6979
Жыл бұрын
Like zangu wakwanza mimi kuangalia
@gipsonstivin864
Жыл бұрын
Shadow akili nyingi mwamba
@IDDNZARO22-eu5xx
Жыл бұрын
Oya nyiee huyu ni Yuzzo Mwamba ama nimdogo wake😂
@stevensimon5642
Жыл бұрын
Mwamba mwenyewe
@josephpeter8279
Жыл бұрын
very nice🎉🎉
@hubertmoshi
Жыл бұрын
Brother cool 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@fatumasuleiman6989
Жыл бұрын
Umetisha mwanangu
@pascalboniphace1895
Жыл бұрын
Nimefulahika sna kukuona mdogo wangu mohemed batashi good job mdogo wangu naakumbuka enzi zako shuleni unanifulahisha sna mdogo waangu unakipaji kk
@shaibhassan9972
Жыл бұрын
Good work bro
@emilegentil9538
Жыл бұрын
Yuzzo yuko na shadow
@badmanno.1650
Жыл бұрын
Kwanini madem wa bongo movie wakiachwa wanabeba begi moja la mgongoni 😢
@gressjoseph5615
Жыл бұрын
C ndo hapo sas
@simonrukombe6654
Жыл бұрын
Hyo dada anavyolia hadi vinyweleo vimenisimama
@samwelimoshi5614
Жыл бұрын
Unawaza ujinga tuu😂
@mussachaula748
Жыл бұрын
Dogo kushinda kote bss unakuja kuigiza huku boya weee
@hemosinede4577
Жыл бұрын
Namuona yuzzo ndan ya mjengo
@puritynzilaniofficial
Жыл бұрын
Huyu n yuzzo aliyeshinda BSS miaka iliyopita?
@adoyoactress2877
Жыл бұрын
Good job
@mudykaila7437
Жыл бұрын
Nizar mwenywe mshndi wa bss anakandamiza
@innocentmarco7287
Жыл бұрын
Well job
@Uncle_P4_Official
Жыл бұрын
Asante sana brother Shadow
@jacquilinenoah949
Жыл бұрын
uyu shekhe wa mchongo🤣🤣🤣🤣🤣
@FarajiKiberiti
Жыл бұрын
Muna kitu mtafika mbali😊
@alisaida4080
Жыл бұрын
I like this
@saidali-hx4bk
Жыл бұрын
Sonia yuko vzri jmn....
@josephsananga6573
Жыл бұрын
Sonia seen zote upo vizuli
@fabianmasunga3788
Жыл бұрын
🙌 REALLY STORY
@kinyasigeneral7069
Жыл бұрын
Sonia upo juu
@sospetermokami9150
Жыл бұрын
Kaka yuzzo huwa kazi yako naitambua sana,,endekea n kazi hio hio
@ramsaybjembe8561
Жыл бұрын
Oya wanaee ivi nani kaon kama huyo bro kaj kivingin kuanzia scrept na uchezaj pia utungaj!!!
@GodfreyMwero
Жыл бұрын
Wabongo nyie, jamaa wa Katar anaongea kiswali kabasa😂😂😂😂😂
@massuseif3786
Жыл бұрын
Sema huyu Rey Kama shilole ❤
@jacquilinenoah949
Жыл бұрын
cjui nmecheka nn🤣🤣🤣
@PETERKISIANGANI-gi2fk
Жыл бұрын
pole sna shadow
@angelrichard899
Жыл бұрын
Inamafunzo kiax chakee
@dickikahese9681
Жыл бұрын
tenda wema nenda zako usingoje asante ha
@yussuphlukindo7848
Жыл бұрын
Mwanangu yuzzo 047
@imanimachaka2419
Жыл бұрын
Hivi nyie mnao omba like mmefanya kazi gani upo kama makuma yn
@kassimdadi5406
Жыл бұрын
Kwa akili mingi sana
@bernardmasangula9358
Жыл бұрын
Mzee paziiiii
@tkentertainment_01
Жыл бұрын
Huyo mwarabu anabalaah anabeba mke wa mtu lakini kazi nzuri kunakitu imenifunza
@shedrackdaudi3403
Жыл бұрын
Yuzzo mwamba
@user-tg6go5xt7r
Жыл бұрын
Nice ❤❤❤
@yasrikomba7874
Жыл бұрын
Mmmh kweli kabisa
@geraldndosi2083
Жыл бұрын
Huyo jamaa wa Qatar sasa 😂🙌 Mwanamke anamsalit mwanaume aliyemnunulia gari kisa amepata wa kumuwekea mafuta 😁🙌
@gressjoseph5615
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 ndo hivy sas
@lenahngailo2140
Жыл бұрын
Mwanaume wa quatar🤣🤣
@davidmiracle807
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@fa.fa.9713
Жыл бұрын
❤❤❤ata ivo inawezkna big up shadow😊
@kimpendo474
Жыл бұрын
Sema huyu Rey namuona mbaliii 🤔
@jacquesmulalirya1704
Жыл бұрын
Huyu siyo rapper wa bss kweli
@DulayoAbdallah-xm2bh
Жыл бұрын
Wa kwanza mm Leo naombeni like zenu japo tan wadau
Пікірлер: 151