Naila ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka Serbia
Alifingua kampuni ya utalii Zanzibar ambapo alikutana na mwenza wake akiwa kama mteja wake.
Waliamua kuishi Serbia lakini baada ya miaka 5 waliachana na Naila ameendelea kuishi Serbia kwa documents zake mwenyewe.
Amewafunza wasichana kutoamini mtu asilimia 100% na kua waangalifu na kunilinda kwani wanadamu wanabadilika badilika
KZitem channel yake Naila_Y
Thank you Naila for allowing this to be online
www.oda.international
Негізгі бет TULIISHI MIAKA MITANO TUKAACHANA | NILIKUA NAMILIKI KAMPUNI YA UTALII | MAISHA YA SERBIA
Пікірлер: 207