J'aime cette chanson depuis la Rdc 🇨🇩 from Drc I love this song.
@ClaraMichael-p8t
Жыл бұрын
hizo ndio nyimbo za injili leo hii waimbaji wengi ni wasanii hakuna ujumbe unaohubiriwa ni dance tu,nabarikiwa saana na nyimbo za maonyo
@zachariajoseph5541
Жыл бұрын
Yaani 😢😢😢😢mm nitakwenda kujibu kwa Mungu ee Bwana Yesu nihurumie mm mtenda dhambi nisafishe kwa damu yako👏👏👏
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Amua Leo Kuokoka,Mpokee Yesu moyoni mwako Naye atakusamehe kabisa na kukufanya kiumbe kipya
@DianaMacha-jf8gw
7 ай бұрын
@@Danielmwasumbi baba huduma yenu iko wpi
@schoslatiquekwitegetse909
Ай бұрын
Mubarikiwe sana ba évangélistes ba Yesu
@ignusrwelamila7355
5 ай бұрын
Ameni sana mtumishi wa Mungu aliye juu nilazima Yesu ahubiriwe na shetani apigwe kwa jina la YESUKRISTO
@jacksonsilvery5963
6 ай бұрын
Asante Mungu kwa ajili ya hawa watumishi wako.Nimekua nawasikia.
@mercynadia3140
Жыл бұрын
Upakp huu unazidi KILA siku ,Mungu awakumbuke baba na mama kazi hii ni ushuhuda mzito ,hizi nyimbo nasikiliza kwa siku hata mara kumi ,nawapenda sanaaa
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen, Utukufu kwa Mungu
@joshuakioko932
Ай бұрын
what i can say is:GOD BLESS YOU SO MUCH.singing for the lord
@ANDREWROBERT-s3d
13 күн бұрын
Mungu ashukuriwe atupaye kuishi na kuzisikiliza tena nyimbo hizi
@BenjaminHenry
24 күн бұрын
Amina na Amina. Nina umri Sasa wa miaka 42 na bado nyimbo zenu naskiza mara nyingi. Zinanikumbusha miaka Hio ya tisini na kitu nilikua mdogo. Mbarikiwe sana.
@gamamwasumbi3727
Ай бұрын
Hakika tumaini la wokovu ni Yesu
@Engilangetikway
7 ай бұрын
Mungu ndie mwokozi wetu ni dhahiri kabisa jina lake liwe ndie tiba ya miyoyo yetu
@AnnaMarko-k9t
6 ай бұрын
Hizi ni nyimbo zenye uwepo wa mungu
@AnnaMarko-k9t
7 ай бұрын
Hizi ni za wokovu sio nyimbo za Sasa kucheza kumezi kulikudi kuliko ujumbe
@vascomwansile7560
Жыл бұрын
Ujumbe nzito Sana kwa wakristo barikiweni Sana ba mch na mama mch simameni Sana ktk Imani zenu iwe mfano
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
@leontinebinlydi9459
4 ай бұрын
Halléluia Halléluia Mungu hawabariki sana watumishi Wa BWANA Yesu kristo ❤🙌🕊
@DaHasha
4 ай бұрын
Amina 🙌🏽😢🙌🏽
@amandaangie4806
Жыл бұрын
Namfeel MUNGU wa KWELI ndani yangu YESU UTUKUZWE MILELE
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
@ezrakigodi7390
2 жыл бұрын
Daaaaah mungu awabariki sana vijana waimbj wa nyimbo za injili wajifunze kutoka kwn nyimbo zinaujumbe yaaaan
@salamabwanamoya8746
2 жыл бұрын
Watukujeni msikuye neno la mungu kupitiya wimbo uuuuu
@gideonjangalason6140
2 жыл бұрын
nimeberikiwa sana
@joycekaphevemba7215
2 жыл бұрын
Aameen aamen jameni mmekua katika roho hio nyimbo imenitoa machozi kwa kweli Mungu awainue Kila iitwapo leo
@Danielmwasumbi
2 жыл бұрын
Oh Neema ya Mungu izidi sana katika maisha yako
@azalasagala479
Жыл бұрын
Mungu akubarikini watumishi nyimbo nzuri
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
@kiiliduncan
Жыл бұрын
Please this is serious message take it well
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Amen
@maidamkwama7425
Жыл бұрын
Kweli mmeimba kwa kumaanisha Mungu awabariki
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Amen
@Matildariziki123
Жыл бұрын
Waaaaaaa nimependa barikiweni
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
@furahamapunga8548
2 жыл бұрын
Kwa kweli mnanikosha mpaka sana mmeendana kwa mengi nyie ni watumishi wa kipekee Mungu awafikishe mbali zaidi
@gertrudejohn9039
Жыл бұрын
So deeply feeling
@rizikikashindi7426
2 жыл бұрын
Barikiwa sana babaangu Nabarikiwa sana na nyimbo zenu.
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
@pacifiquemlengwa3886
Жыл бұрын
Mungu baba awabariki sana watumishi wa Mungu
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
@jacklinmacha2964
Жыл бұрын
Nalitaman sana hili kanisa lao hawa imani yao ni ya kimungu kweli hata uimbaj wao ni wa viwango
@jacklinmacha2964
Жыл бұрын
Naomba no zao za sm
@RuthKihalule
5 ай бұрын
Tuwapate wapi waimbaji wenye ufunuo Kama Hawa kwenye nyakati hizi ? Mungu tusaidie
@frereoliviermugishooscar5302
Жыл бұрын
Ubarikiwe Pasteur
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Amen
@dbrothers4551
Ай бұрын
Mungu anisaidie
@richardamswetyjesus8017
Жыл бұрын
Unanigusa sana pastor, hongera sana
@raphaelmwamakimbula9642
Жыл бұрын
Dah,Mungu awabariki na akumbuke utumishi wenu kwa kweli.Niliwaona nikiwa mdogo sana pale Bujesi Tukuyu KKK,mpaka sasa sijabahatika kuwaona ila kupitia mtandao huu nawaona🎉❤💯👏
@lucien-frederickamango7407
Жыл бұрын
Miaka 35 iliopita, niliimba wimbo huuu kwa Sunday School …Mungu awabariki sana
@emmanuelmichael3012
2 жыл бұрын
MUNGU akubariki nakukulinda mzee wetu nyimbo zako sio tu ni nyimbo Bali ni mahubiri
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen, Utukufu kwa Mungu
@AndrewcharlesMwinyimvua
7 ай бұрын
Halleluya halleluya halleluya
@reubenismail3672
2 жыл бұрын
Jamani nakumbuka mbali sana.mwasumbi mungu akubari sana pia pole kwa changamoto ulizopitia
@richardamswetyjesus8017
Жыл бұрын
Utukufu kwa Yesu
@estermwakatundu3028
Жыл бұрын
Sankopa MUNGU akutunze Bibi yangu ❤️❤️
@isharabirindwa2344
Жыл бұрын
Que notre Seigneur Jésus-Christ de Nazareth vous comble sa grâce, kazi njema watumishi wa Bwana wetu Yesu Kristo
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen, Utukufu kwa Mungu
@mercynadia3140
2 жыл бұрын
Tunaomba album zote za kale mziweke jamani
@salomebonifas7975
Жыл бұрын
Mungu Wa mbinguni awatunze
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
@teamgraceoflord7126
2 жыл бұрын
I have nothing to say but God protect bless you all. Nivema kumaliza uzee katika Kristo🙏🙏🙏🙏.
@Danielmwasumbi
2 жыл бұрын
Amen
@paulbwanana7886
2 жыл бұрын
Mungu awabari sana .Ninyi ni mfano wa kuigwa
@johnemmanuel7805
2 жыл бұрын
Mmenikumbusha mbali sana watu wa Mungu.Mama alikuwa anasikiliza sana nilipokuwa mdogo.Mungu awabariki
@mapendonikola
8 ай бұрын
Amen hallelujah
@hopeanjelu5620
Жыл бұрын
Ameen
@hefsibasalutaba2011
Жыл бұрын
Yesu.atusaidie
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Amen
@marykyusa8212
2 жыл бұрын
Nawapenda sana,nymbo znanipa kumuhofu Mungu na kumtafuta sana.
@Danielmwasumbi
2 жыл бұрын
Ameen
@oliversanga2681
5 ай бұрын
Mbarikiwe
@jacksonntamugale3622
Жыл бұрын
Bonjour cher Frère 😢😢
@mdabwa9814
2 жыл бұрын
Ameen mungu awatunzee
@maandaliobandmbeyatz2345
2 жыл бұрын
YESU AWATUNZE WAZAZ WETU
@jamssaligro6134
2 жыл бұрын
Good songs
@edinanyagani9075
2 жыл бұрын
Amen watumishi wa Mungu
@Danielmwasumbi
2 жыл бұрын
Ameen
@mercynadia3140
2 жыл бұрын
Naomba mtuwwkee album ya Dunia hii ni kama bahari
@maryfredy3006
9 ай бұрын
Siku hizi wapo wapi jmn??
@Tracesadock
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@tunsuanderson6000
Жыл бұрын
Ooooh Lord Jesus..bless you mama and papa!!!
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Ameen
@jacklinmacha2964
Жыл бұрын
Jaman kanisa lao liko wp
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Mbeya
@jacklinmacha2964
Жыл бұрын
Duuuu jamn hawana taw dar
@mwalubalileandalile4960
2 жыл бұрын
Kwel baba
@justinomtili9226
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@Tutindaga
2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana nyimbo zenu zinanikumbusha miaka ya 1988 kipindi tunakua kule Nonde dah!
@jamssaligro6134
2 жыл бұрын
Hahahaaa kaka kipindi hicho ulikuwa na umri gani?
@Tutindaga
2 жыл бұрын
@@jamssaligro6134 miaka 8 ndugu
@Nadinekwizera
Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@kamounelkamoun8964
Жыл бұрын
Amen amen amen!!
@edwardmathewmhone
2 жыл бұрын
Amen wazee wangu. Mungu awalinde sana
@reubenismail3672
2 жыл бұрын
Kwanini uimbi tena mzee wangu?tumekumic sana
@Danielmwasumbi
2 жыл бұрын
Hii video tumemrecord miezi ya Juzi Juzi tu hapa
@yonachitema
2 жыл бұрын
Amina
@NuruDunianiFM-TV
2 жыл бұрын
Naomba namba yake
@Danielmwasumbi
2 жыл бұрын
0757000077
@margarethkamugisha6430
Жыл бұрын
@@Danielmwasumbi MAISHA YA IMANI BWANA WANGU
@twitangetrading8719
Жыл бұрын
Nabarikiwa na huyu mtumishi naomba Namba yake Asante
@NuruDunianiFM-TV
Жыл бұрын
@@Danielmwasumbi Ahsante
@thomasomechi1407
2 жыл бұрын
So lovable .God bless them
@Danielmwasumbi
2 жыл бұрын
Amen
@alexanderkapinga700
Жыл бұрын
Hivi hawa watumishi wako wapi??
@Danielmwasumbi
Жыл бұрын
Wapo Mbeya mtu wa Mungu
@mapendonikola
8 ай бұрын
@@Danielmwasumbinaweza pata iyi nyimbo watumishi wa Mungu
@paulnuru8474
Жыл бұрын
Ninaitaji number y’a uyu baba mwenye iko nayo anitumiye please
Пікірлер: 111