Hatari sana, Mungu akujalie maisha marefu Mheshimiwa, uisha hadi waliotenda na kufadhili unyama huu wote wapukutike
@rogersiddy
22 күн бұрын
Tunaomba mlifanyie uchunguzi zaidi kama waliweza kuchukua Plat namba msitumie bila kulifanyia uchunguzi na kifaa chakugundua mabom sumu nk.jitahidini sana Mh Tundu Lisu pamoja na viongozi pole sana Lisu watesi wako watapokea malipo yao hapa hapa duniani yote kwa yote tunamshkuru Mungu🙏🤲
@user-xi2mf4xh7r
21 күн бұрын
Mh Tundu antphas Lisu Mungu ni mwema atazidi kukubaridi na utafika kaburini kama mganda wa ngano ulivyo kwa wakati wake,siku za maisha yako zitazidishwa na miaka ya maisha yako itaongezwa ktk jina la Yesu.kristo.
@zebedayodiganyeck2046
21 күн бұрын
Amina.
@simonchristian6319
21 күн бұрын
Na atashuhudia mateso yao
@AbdallaMwagora-sm1rj
22 күн бұрын
Mheshimiwa hiyo gari ungeiweka makumbusho .kizazi na kizazi kikumbuke maovu ya ccm
@OstakiaCornely
22 күн бұрын
Kabisa
@FrankMwakatundu-cu6bd
21 күн бұрын
Umeongea maneno mazuri Sana(Sahihi kabisa )
@hajihassan5433
21 күн бұрын
CCM ndio waliotoa msaada wa kwanza kutoa ndege kwenda Nairobi. Ubaya ipo ulaaniwe kila unapotokea.
@Benj722
21 күн бұрын
Unakichaa wewe. Chadema walikodisha ndege hakukuwa na ndege ya bure mpuuzi wewe
@youngsachafurniture5482
21 күн бұрын
@@hajihassan5433auna akili wew
@NimrodLeken
22 күн бұрын
Legends Never Die..just like in the movies..Long live Daktari
@oliviaseth4652
22 күн бұрын
Mungu ni mwema
@nelsonngemera9832
22 күн бұрын
Mungu ni mwema..
@Peterchipemba
22 күн бұрын
Tundu lissu mungu anamakusudi na wewe,,,mwenye haki hafanyiwi hila.
@hamphumichael7194
22 күн бұрын
Mungu akubari Tanganyika ukiwa na akili hawamtaki mtu ila tupo pamoja
@songombingo108
22 күн бұрын
Mheshimiwa weka gari hii kule Makumbusho.
@sarahjames2287
22 күн бұрын
Vizuri kabisa Raisi wetu mtarajiwa
@EliasPaul-qs2ib
21 күн бұрын
Pole
@christinenyagiro6662
22 күн бұрын
Mungu mwaminifu maana walitaka kutoa uhai lakini wamekupa tena
@ozld4864
22 күн бұрын
Mungu akulinde daima @Mh Tindu Lissu
@user-lg6je8xh4p
22 күн бұрын
Mheshimiwa tengeza hii gari ili uweze kuitumia, ila usizibe hayo matundu na uitumie hii gari katika safari zako zote za kifamilia na za kisiasa ili watu wote tuone, wajue na tukumbuke ukatili ya hao jamaa. Pole sana
@mzarendo.com9624
22 күн бұрын
Hiyo point 👍👍✌✌
@user-eo4bl3do8k
22 күн бұрын
Ni maoni mazuri sana ,,kwamba yasizibwe yawachwe hivyo hivyo ikiwezekana Gari liwekwe makumbusho,,,HUO NI UNYAMA WA MA CCM
@issayaamon5230
22 күн бұрын
Hongera sana kamanda Lisu
@user-uz2ze7xn1c
22 күн бұрын
Acha mungu aitwe mungu
@NimrodLeken
22 күн бұрын
Legends never die, just like in the movies,. long live mheshimiwa may God keep you safe and well for eternity to come. Amen
@SAMWELKATIGIZU
21 күн бұрын
Mungu akutie nguvu baba mtetezi wa wanyonge
@rosegeraldlyimo1269
22 күн бұрын
Ushauri wangu ni huu. Hiyo gari iwekwe makumbusho kama ilivyo halafu ufanyike utaratibu wa michango ununue nyingine.
@dionismutayoba3542
22 күн бұрын
Wazo zuri
@gangan4618
22 күн бұрын
AMINA
@gangan4618
22 күн бұрын
Watanzania tunaweza kumchangia mh Lissu, ili linunuliwe gari lingine; hilo likae makumbusho huenda wameliwekea SUMU MAANA CCM NA DOLA YAKE HAWAAMINIKI.
@MichaelNyhasi
22 күн бұрын
Tuko pamoja kiongozi wetu, mungu akupe uzima.
@PeterWilliam-mn5bh
22 күн бұрын
Polesana kiongozi wetu mtarajiwa.badotuna imanikubwa nawewe.na mungu aliekukoa na katika mikno waomajambazi bado yukonawe tena kwa wivu mkubwa.kaza buti twende mbele.wanana haibu hata kukuangalia. usoni
@JohnMnzava-du2we
22 күн бұрын
Lisu husingeisema hiyo gari muikamate hiseme wametoa wapi
@thomsonmwakyanjala7536
21 күн бұрын
Tafadhali weka hilo gari bila matengenezo yoyote! Nikumbukumbu ya historia ya Taifa.
@boscomfundo7953
22 күн бұрын
Naam! Nakubaliana na idea ya Lissu
@conniesivaly8501
22 күн бұрын
Our God is very faithful! You are a living miracle Tundu Lissu! Long live
@zebedayodiganyeck2046
21 күн бұрын
MUNGU anabaki kuwa MUNGU na ataendelea kuwa pamoja nawe hata utimilifu wa dhahari. Mwenye utu,busara,hekima na ubinadamu hawezi furahia kitendo alichofanyiwa Lissu
@user-gd1yp1tu6g
22 күн бұрын
Hakika Mungu ni mwema sana sana sana
@josiahjosiah-MPs
21 күн бұрын
GOD BLESS LISU GOD BLESS TANZANIAN
@user-kj6yc5bv8c
21 күн бұрын
Mungu wetu ana makusudi na Tundu Lissu wetu hakika
@Ezekiel-xz8dl
22 күн бұрын
Mung akujalie afya njema tund
@alltanzania
21 күн бұрын
Ukuu na nguvu za Mungu vimedhihirika kupitia hili tukio. Hakuna binadamu anayeweza kuharibu mipango ya Mungu.
@wadeelegbogun3015
22 күн бұрын
Mmmh, pole sana
@mussaabraham1475
21 күн бұрын
Pole san baba angu
@daudimchileg307
21 күн бұрын
Usibadili kitu, zunguka nayo kwenye mikutano tuione please.
Nadhani kama Kuna yaliyotumwa uuwawe na yule muovu kibaka bsi Mungu atakuwa alishaliondoa hapa make lilikuwa jinga sana lile lilikuwa halifai kabisa
@user-pw8pi1ev9u
21 күн бұрын
Mwenyezi MUNGU BABA MWINGI WA REHEMA NA NEEMA AKULINDE UWE NA AFYA NJEMA UZIDI KUFANYIKA BARAKA
@josephmkinga9509
21 күн бұрын
itumike kuzunguka nayo kwenye shughuli za kisiasa nchi nzima wananchi wajue uovu wa nchi hiii
@charleskingimwakasagule5752
15 күн бұрын
Ipelekwe makumbusho na matundu ya lisasi hivi hivo
@rabsonchisumo6640
18 күн бұрын
Rais wetu
@rasnchimbi
22 күн бұрын
Ili Neno litimie🙏🏿
@dicksonkilupa2258
20 күн бұрын
Gari mpya kwa Lisu ndo haki na hili likae hivyohivyo watu waje walione na kukiri ya kuwa yupo MUNGU ANAYETAWALA.
@FilbertMsongela-xt9tq
21 күн бұрын
Mungu akulinde mheshimiwa lisu
@DoctorRengeda
21 күн бұрын
Uncle Lisu wewe zaidi ya chuma 🛠️ mungu akutangulie rais wetu mtarajiwa malipo ni humu humu 🇹🇿 tz ✌️✌️✌️
@silvesterrichardhelenya1319
22 күн бұрын
Nilichogundua hata polis wanampenda pia kwa Sababu Huwa anawatetea wakati mwingine Tanzania inatakiwa kuwa hivi
@AnordMgisha-on2mh
2 күн бұрын
Saf San baba 🎉
@simonnaivasha6393
21 күн бұрын
Mheshimiwa Tindu Lissu , hilo gari tafadhali usitengeze wala kulitumia tena, ingekuua Tanzania ya mwalimu Nyerere , serikali ungekununulia gari jipya na hilo kuhifadhiwa kwenye makumbusho ya Taifa, watoto wetu na wajukuu wana somo nzuri la Democracy na haki kuwa inapiganiwa haipatikana kirahisi ni kama mapambano ya kupiginia uhuru wetu.
@patricknamangoa6468
21 күн бұрын
It's really pathetic! Kuna binadam ni wabaya Sana! Kikubwa umepona Mheshimiwa. To God be the glory!
@ibrahimdavid6219
21 күн бұрын
Mwakatobe mtata huyo😂😂😂
@user-qz2cs5wm5u
21 күн бұрын
Kwamaana iyo jeshi letu lapolisi limeshindwa kuwapata waalifu?
@enocepaulkumba9362
22 күн бұрын
Kamanda wa vita!. Mungu na akutunze. Katika nchi hii umefanyika baraka sana tena sana! Wewe ni wa pekee! Wenye nia ovu na maendeleo ya nchi hii walidhamilia kukuua lakini Mungu ni mwema akawaondoa wao!. Jina la Bwana lihimidiwe.
@deborahlagila6351
21 күн бұрын
Tutachangia mweshimiwa Lisu
@brother_majesty
21 күн бұрын
Watz ni mbumbumbu...bado hawaoni sababu ya kuyakataa ma-ccm
@EliaoniTerry
22 күн бұрын
Siku ya kwenda kualishwa kuwa Rais wa hii nchi gari hii ndiyo uitumie, na Nembo/ Ngao ya ikulu ibandikwe, kisha ndio iende makumbusho.
@user-bi8hr3nu6g
22 күн бұрын
Achani matus uzima haununuliwi ipo siku yagtageukia kwenye familiza zenu
@feruzmato4422
22 күн бұрын
Mungu akulinde mheshimiwa
@stevenfrancis9115
21 күн бұрын
Wengine tunashindwa tuandike nn,enatisha
@lucymsheshi5871
20 күн бұрын
Mungu ndio anatoa uhai pole sana
@lellodidass.6851
22 күн бұрын
Duuh binadamu hawajui Mungu ni fundi.
@ezekieljacob5795
20 күн бұрын
Mkishinda uongozi hiyo gari ndo ukubebe kwenda kazini
@ramadhanmahongole9293
21 күн бұрын
Anapendwza kuwa Rais wa nchi yetu ya tanganyika
@thamratysuleiman3053
21 күн бұрын
inaonekana ulitakiwa uuwawe .dah pole sana
@allymwilu8089
22 күн бұрын
Pole sana mzee wangu daaah kuna mda sijui niseme tulipitia Faida sijui hasara navuta picha tu mfano tundu ngekuwa baba yangu na akatendewa haya navuta picha familia yake ilipitia wakati gani haya mambo yangekoma kabisa si mambo ya kuomba yajirudie tena hii nchi ilifikia wakati ikaogopesha hata kujielezea tuu mtu unapata shaka
@shizoshop2469
22 күн бұрын
Wana nchi tunapendekeza hili gari liende makumbusho . Kama ni gari tutachanga upate nyingine
@helencyprian8745
22 күн бұрын
Nipo tayari kukuchangia kabisa
@tibbsminja2575
22 күн бұрын
Mungu akakupee kila neema kwa ujasiri uliokuwa nao! Hii ikawe kumbukumbu katika Tanzania hii! Vyombo vya usalama mnajisikiaje kwa kutofuatlilia kikamilifu hili jambo.
@helencyprian8745
22 күн бұрын
Pole sana Lisu, jamani Mungu ni mwema sana
@user-uk3eg3uo7s
21 күн бұрын
Hukumu ya mungu aliye hai iwe juu ya wote waliohuska kutaka kumuua lisu amen.
@assenganews9435
22 күн бұрын
Nice
@ebenezernnko8251
22 күн бұрын
Pole sana ndugu yetu lisu mngu akulinde sana
@sponsor7882
21 күн бұрын
mkuu wa jeshi la polkisi dodoma hana kaz
@feliciankavishe6792
21 күн бұрын
Mmnaona hiyo gari machine nayo tumchangie amateur gari mpya yakisasa
@sarahstopher6209
21 күн бұрын
Makumbusho inayotembea
@kijitamfyomi5598
21 күн бұрын
Naona kama dirsha la upande wa kushoto kioo kipo chini ina maana mvua za miaka7 maji yalikua yanaingia ndani ama ilikua imefunikwa?
@jacksonbohbahck6307
22 күн бұрын
Mungu fundi xn
@matatamatatatours3237
21 күн бұрын
Hilo like kama Makumbusho Liache ivoivo Na matundu yake ya risasi
@mfalmekaitaba2425
22 күн бұрын
Mungu ni mwema kwakweli Sema hili gari lijengewe liwe la makumbusho
@SemuAmini
22 күн бұрын
Hapo ndipo unapoiona nguvu ya MUNGU aliye hai .
@erickpallangyo1325
21 күн бұрын
Duh😢😢😢😢 MUNGU nimwema sana
@assenganews9435
22 күн бұрын
Mungu anasababu za kutoa hai na tunaziona sababu
@hamadimussa2119
19 күн бұрын
Tundulisu wewe ni mwanasheria, hebu niambie nisheria gani ya Tanzania inaruhusu mwanaume kuvaa makachakacha hayo kama mwanamke
@danielsighis9953
22 күн бұрын
Hii sasa imekaa sawa
@WinfridaCreitus-bf3zn
21 күн бұрын
Sasa inakuaje gari iko polisi afu number zake zinatumika na gari nyingine sio uhalifu huo? Naomba hili life yiww kazi haiko sawa.
@maryfranknamkumba9182
22 күн бұрын
I hope the car is safe Take care ka Lissu please ❤️🙏🏾
@mputamputaa5347
22 күн бұрын
AllahuAkbaruuuuh
@josephmantago2837
22 күн бұрын
Mwanadamu ni mnyama muovu sana hivi nikitu gani mh Lisu aliwakosea wakaamua wamuue?na Mungu akamkinga kwa upako na yupo hai lkn baado hawaoni utukufu wa Mungu juu ya tukio hili baado wanabishana na mpango wa Mungu aisee ishala zote hizo hamtambui utukufu wa Mungu mh Lisu ni mpangu wa Mungu acheni atimize ya Mungu hapa duniani kisha ataondoka mkimzuia mtapata ya maguful
Пікірлер: 221