Mwanasheria Tundu Lissu ameibuka na ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa Rais wa chama cha wanasheria Tanganyika 'TLS.
Katika uchaguzi huo uliofanyika ktk ukumbi wa kimataofa wa mikutano wa Arusha 'AICC' Lissu alitangazwa mshindi kwa kupata kura 1,411 kati ya kura 1,682 zilizopigwa
Негізгі бет Tundu Lissu akihutubia kwa mara ya kwanza baada ya kuchaguliwa kuongoza TLS
Пікірлер: 139