kwa hili lissu yuko sahihi. ukawa umesaidia sana cuf na washirika wake
@Felix72282
8 жыл бұрын
Prof. Lipumba yupo sahihi sana. CHADEMA na Seif walihisi CHADEMA wangeshinda Tanzania Bara na Seif angeshinda Tanzania Visiwani. Ndo maana walimtenga wakihisi angekuwa kikwazo kwao. Hata hivyo mipango yao haikuzaa matunda.
@leonellykweka7165
8 жыл бұрын
huyu Lisu anaakili mpaka anapitiliza alafu anaongea km anafundisha yaani kama mwalimu anayefundisha wajinga mbumbumbu kabisa wasiomuelewa natamani angekuwa anafundisha math mi naamini tungekuwa na A wengi tuliokuwaga na F
@christinamonyi4275
7 жыл бұрын
Leonelly Kweka wanamahesabu hatuna maneno mengi boya wewe..
@barakamwamwaja9292
8 жыл бұрын
Inawezekana Lissu upo sahihi kwa upande wako kwakuwa ume-base ktk idadi ya wabunge kuongezeka CUF kwa kusema ni sababu yenu ndo maana wameongeza idadi ya wabunge lkn umesahau kuwa maeneo mengi pia CUF ilikuwa inakubaliwa na ilitakiwa mgombea wao ndo asimame lkn from no where mliweka wagombea wenu mfano Segerea iliyosaidia jimbo kwenda kwengine.Kwahiyo NCCR mmeinyonga au?? Manake kabla ya kuungana ilikuwa na wabunge watano lkn sasa yupo mmoja kwahiyo hapo vipi???Tanzania politics zimejaa propaganda sana hadi ni kero aisee
@hassanihussein4479
8 жыл бұрын
alihongwa na ccm huyoooo
@onesmomwacha6677
8 жыл бұрын
nyie wote mnaomponda lisu tunawajua ni akina nani wala hamtupi shida. mnajaribu kumchafua lkn hamtafanikiwa manunda nyie. kaeni kimya tuachieni lisu wetu.
@JumaMkiji
8 күн бұрын
Lipumba ameibomoa cuf mwenyewe asimtafute mchawi na lengolake lilikukuvunja nguvu ya demoklasia kabisa asimlaumu mtu
@collinsfrank9041
8 жыл бұрын
Kwl jamaa anatumiwa tu ili ukawa waache kujishughulisha na serikal waanze kugombana wenyewe...haha tunaita poor politics approach
@kabaranamaganga6646
8 жыл бұрын
Mmmh! Yng macho kazi kwao
@jumangi7126
8 жыл бұрын
Mmmmmh... chademaaaaa kinaimeza cuf kweliiiii....
@famionlineapdates9371
8 жыл бұрын
Hujielewi unachokiongea ndo naana
@jumangi7126
8 жыл бұрын
+Fami Said Wenda nkawa cjielewiiiii kweliiiii bt according ma low thnkng capacity
@jamesturuka3374
8 жыл бұрын
ahaha kama hujaelewa na hapo pole sana
@mathayomkumbuchile1569
7 жыл бұрын
Ahsante Mungu kwa Lissu,jamaa ana akili nyingi sana
@oscarezekiel1826
8 жыл бұрын
Hongera msema kweli Lissu
@mrishohassan7355
8 жыл бұрын
mwambie huyo anatumiwa na ccm,msomi mkubwa kiac lkn anafanya mambo ya hali ya chini.Lipumba wewe kwanza unasal kwhyo muogope mungu wako.
@majidabdallah7563
7 жыл бұрын
Godbless Lema
@anisetnyaki750
8 жыл бұрын
Lissu Naanza Kukudharau Aisee Maana Unaanza Kutumiwa
@memesnamatukiomuhimu8453
8 жыл бұрын
umelewa wewe
@ellyms5581
7 жыл бұрын
nyie chadema siwapendi kabisa mmesababisha chama changu cha NSSR kukosa wawakilishi sababu ya kuweka wagombea wenu kwenye majimbo ambayo mlikubaliana nyie msiwepo CCM wakatushinda kirahisiii hasa hasa wewe Lisu ndio kinara wa hayo
@melckmbuya3518
7 жыл бұрын
tatizo jina lamtu hufanana nae!!! kwann MTU usifanye ujinga kama unaitwa pumba?? lipumba labda anatumiwa na wakubwa !!!
@ahmedalbalooshi8518
Жыл бұрын
Lipumba,baada ya kujiuzulu na kurejea tena ni unafik mtupu na inawezekana kulikuwa na mchezo mchafu dhidi ya marehemu maalim Seif Sharif
@mashangwanambalu6219
8 жыл бұрын
Uhuru wa kutoa maoni hamzuii kuyasema haya.
@adsonmbosso1202
8 жыл бұрын
kama upinzani mnagona kila ck mnategemea c. c. m mtaishinda lini??, endeleeni tu kubishana wenzenu wanajiimalisha tu!!
@josephwerema2509
8 жыл бұрын
Asante mnyamaaa lissuuuuuuuuu
@hundajuma1858
7 жыл бұрын
Joseph Werema CV
@masseanadir2904
8 жыл бұрын
mnaanza kugombana wenyewe makubwa haya
@munirsoud5347
7 жыл бұрын
Nadir Ali Hawagombani, bali wanaelezana ukweli bila ya kusemana pembeni
@anisetnyaki750
8 жыл бұрын
Hajampokea Mlikuwa Mnambypass Kwa Kutumia Maalim Seif
@georgepima4487
8 жыл бұрын
Kaaazi kweli kweli
@emanuelmatela5488
8 жыл бұрын
safi sana lisu
@elizabethjomo6435
8 жыл бұрын
yani ni nyinyi tu duuuuuuuuh mmmhu tumewachoka
@michaeltuingilegewaubaridi8570
8 жыл бұрын
nakukubali mno lisu
@mtulabaja1165
8 жыл бұрын
Kwan lissu ww nani maana me sielewi kabisa.
@hamisimsalapai7785
7 жыл бұрын
kazi ipo
@JoyceKabula-in1sh
9 күн бұрын
Ndiyoo asitafute mchawi
@elishaalex1747
8 жыл бұрын
lisu yupo sahihi sanaaaa
@magingijronlinetv2901
7 жыл бұрын
Safi sanaaaaaa! Tundu boooy!!!
@abuubadru2403
7 жыл бұрын
ebu subiri kidogo lisu.kwani wewe si ulituambia lowasa fisadi sasa imekuwaje mbona msomi ww nawe umeanguka kifikra?
@abuuaboubakary7460
8 жыл бұрын
umenena uhalisia mkuu Lissu.
@rukiarswidu834
7 жыл бұрын
asante LISSU wetu
@boniphacetv739
8 жыл бұрын
kwani msemaji wa chadema ndo lisu
@mwemsifrancis4157
8 жыл бұрын
+Muzzo Musso ahahaha mwambie huyo
@shabbymakapane3212
7 жыл бұрын
Huyu jamaa Amekua Msemaji wa Chadema na So Mwana Sheria
@shabbymakapane3212
7 жыл бұрын
Anajishaua Sana Ajiulize kwanza Yupo Wapi Dr Slaa na Zito? Waliktukana Mamvi weee Mwisho Hahahahahahaha
@shabbymakapane3212
7 жыл бұрын
Bado Yeye kina Masawe wanamvutia kasi
@saulimwakyusa149
8 жыл бұрын
lisu noma
@mgenikisukari1371
8 жыл бұрын
maneno kitu simple
@omarymwigula5479
8 жыл бұрын
Acheni ujinga prof sio mpinzani tena anatumika kaona kafeli ktk plan A ya kujiuzulu wakati wa uchaguzi sasa kaja na plan B ya kuvuruga na anaelekea kufanikiwa nazani wangekaa kimya wasimjibu sababu kasimamishwa uanachama kumjibu ni kuleta migogoro
@williammbarikiwekwakwahudu1300
7 жыл бұрын
Tundurs Nimtu wa kukurupuka, Mambo ya Cuf, yanakuhusu nn?Katiba ya cuf, na katiba ya chama cha chadema nitofauti, mkundu kuwaka, ww,,,,
@antonymgogo1153
7 жыл бұрын
positive!!!
@ibrahimbutera8157
8 жыл бұрын
Tundu Lissu jalibu kuelewa nini maana ya Foundation, unapotaka kujenga nyumba bora na madhubuti ni lazima uwe na foundation nzuri bila kufanya hivyo hiyo nyumba haitakuwa madhubuti,Sasa usitake kupotosha wanachama kwa kusema vitu visivyokuwa na maana yoyote. Pro Lipumba alikuwa ni foundation madhubuti, na kuongezeka kwa wabunge katika chama CUF ni matunda yake yaani foundation nzuri, kwahiyo ndugu Lissu mind your business ndani ya chama chako mambo ya vyama vingine waachie wenyewe kwani hayakuhusu
@denisfidelis7171
8 жыл бұрын
haa haa lissu yuko sahihi sana...
@mjumbemathias8346
8 жыл бұрын
Sikujua kama lipumba ndo mwanxilishi wa ukawa duuuuhhh!!!! Prof ur ze hero!!!,, achana na watoto hao wahuni fanya kaz na welevu wenzako
@sahimm4767
Жыл бұрын
Hukumfahamu lissu,
@Felix72282
8 жыл бұрын
Lissu, mbona NCCR - Mageuzi ilikuwa na wabunge 4, ila baada ya kuingia UKAWA NCCR imepata mbunge mmoja tu? Hoja ya kusema CUF imepata wabunge wengi si hoja. Kia maneno hayo Lissu anataka kutuambia kutuambia kuwa UKAWA imeidhoofisha NCCR - Mageuzi
@ahmedalbalooshi8518
Жыл бұрын
Felix,usichanganye ya CUF na NCCR
@papafikiri
8 жыл бұрын
hivi upinzani wa kweli bado upo???
@faidamanoni2285
8 жыл бұрын
Hivi msemaji wa Chadema ni nani?
@elishaalex1747
8 жыл бұрын
maybe ni ww
@johnmhagama8052
8 жыл бұрын
Manoni
@seifdisail3007
8 жыл бұрын
ni faida manoni😉
@abdulmudy4595
8 жыл бұрын
safii
@ibrahimmbilinyi8306
8 жыл бұрын
Mmm
@zamudulla1918
7 жыл бұрын
Abdul Mudy .gombaneni.mpakaaa. yadhiisha.kuwa vyama.vingi.ni.ubabaishajituu
@hashimsalum8746
7 жыл бұрын
pambana na haliyako
@justinnoderosa9
8 жыл бұрын
Fact Lissu....
@denisfidelis7171
8 жыл бұрын
uzuri wa lissu hana porojo ni fact
@mohamedimpunda8440
8 жыл бұрын
umeonaaa eeeeh
@adamkatet274
7 жыл бұрын
Muongo huyo
@abdallamasoud8510
7 жыл бұрын
Ww lisu unaiongelea cuf kama nani wewe kwenda zako mbumbu wewe fala ss hatuwa amini nyinyi mafisadi ss tuna muamini profesa lipumba kwa sana tena kwanza wewe uwezi kuongelea cuf ongelea chadema kwann nyinyi chadema mafisadi hamna naadili???
@mussamahengejr8163
7 жыл бұрын
Abdalla Masoud, your level of appreciation is diminishing
Пікірлер: 91