Vemaaaaaaaaaaaa✌️✌️✌️✌️✌️✌️ twende kazi mpaka ushike Doller ya nchi hii
@mathewyoung2159
4 ай бұрын
Pamoja Sana kamanda wetu ✌️✌️✌️✌️✌️✌️
@PeterJonathan-c8k
4 ай бұрын
Vyama vya ushindani havina shida, vinasaidia sana wananchi kujitambua, maadui wakubwa na wataabishaji wa wa tanganyika ni ma ccm, usoni kama watu moyoni mungiki, na yana dini zao lakini haziwasaidii, uchaguzi ukiisha yanaenda kula bata, uchaguzi ukikaribia yanarudi majimboni na kusalimia watu kiruga, kabla ya uchaguzi yanashindana kununua mabus na kuandika majina mgalu bus, shampinda bus, tozo bus, tubadilike
@danielkanso
4 ай бұрын
Nakupata kiongozi
@YassinRajabu
4 ай бұрын
haliwafuta lakini na yeye alifutwa na mungu 😊😊😊
@josephmkinga9509
4 ай бұрын
VIVA LISSU
@rastheunique
4 ай бұрын
Wananchi huwa wanapata amani sana wakiwa na kiongozi wao jomoni 😊😊
@EzekiaMtwale
4 ай бұрын
KWA WANAOJITAMBUA PEKEE WANAMUELEWA MH LISSU, UKIONA MTU ANAMPONDA LISU UJUE HAJITAMBUI! BILA UPINZANI TUSINGEJUA RICHMOND, TEGETA, SAKATA LA BOT TUKADANGANYWA BALAL KAFIA UINGEREZA PAMOJA NA MADUDU YOTE YALOFANYIKA ENZI HIZO!
@warrenmgode1837
4 ай бұрын
Nakupata lisu,nikiwa zambia nkupenda sana Kwa sela
@malkavoice2570
4 ай бұрын
Huku kwenye mitandao tupo wachache guys likes na comments ni chache mno,tuongeze bidii tuondokane na hili janga wazee. Tutaishi hivi mpaka lini? Upigaji kila kona,TCRA upigaji,Nida tunapigwa,kwenye mitandao tunapoika lkn ukija serikalini kimyaa kama hawaoni yani
@JacksonFrances
4 ай бұрын
Pamoja Sana Kamanda Lissu Piga Spana Mpaka Ma CCM Yaliyotunyonya Kwa Miaka Mingi Yaelewe Hayajui Tupo Pamoja Na Wewe"
@Meiruzibwe
4 ай бұрын
Nakupata mh LISSU. Nakufatilia niki hapa tarafa ya Muyama kijiji cha Kasumo anakotoka makamu wa mama Abduly. Jimbo lililochoka Jimbo la Buhigwe wilaya ya Buhigwe mkoa wa Kigoma. Mh. Tundu Lissu njoo na huku Buhigwe kwa makamu wa mama Abduly.
@vincentnkunguu7434
4 ай бұрын
Jembe limeingia home
@CholoNassor-h8r
4 ай бұрын
Nimekuelewa kamanda wacha inyeshe tuone panapovuja ila usisahau kuwakumbusha kadi ya mpiga kura apo ndio mwisho wa CCM
@rebekakulwa6159
4 ай бұрын
Mnaobabaishwa na makonda ni misukule hueezi kutafuta tatizo. Kwa akili ilyodababisha matatizo
@PeterJonathan-c8k
4 ай бұрын
Kuhusu tozo muheshimiwa umetusaidia, wamejaribu kujirekebisha kwa mbali kisa uchaguzi umekaribia lakini haiwasadii, miaka ya ujinga imeisha,
@geraldgedi4657
4 ай бұрын
Piga kazi Kamanda wetu nchi ipate kupona na watanganyika vilevile.
@hamisigunguda9715
4 ай бұрын
Hella ya pikipiki tuambiwe wa tz imetokawap..... Vijana hawaajiriwiii wanagawa hizo pikipiki
@rebekakulwa6159
4 ай бұрын
Kumbe ni limtatulu lizeruzelu
@beinafuu6219
4 ай бұрын
Makonda ndo.ndo.kiboko yenu watu kama wote.wewe unalalamika tu
@Kwelihukuwekahuru
4 ай бұрын
Hana uwezo zaidi ya Mungu aliyemlinda asife licha ya risasi alizopigwa wewe endelea kumwabudu huyo unayemsifia kwa kuumiza wengine
@IsayaSosolo-nx8zk
4 ай бұрын
Makario yanakuwasha unamfananisha Tundu Lissu na takataka Huyo!
@IsayaSosolo-nx8zk
4 ай бұрын
@@Kwelihukuwekahuru❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@joshuagaspary5561
4 ай бұрын
Unatengeneza tatizo afu unakuja na suluhisho huo ujinga ccm tumeichoka
Пікірлер: 26