Akina halima na wengine wengi walio ondoka na kuhamia kijanini, walijeruhi mioyo ya wengi, pia kuondoka kwa zito chadema pia kulijeruhi wengi, sasa Mchungaji tafadhali tafakari marambili , pia utulivu na subira ni busara kubwa. Vinginevyo utajikuta unakuwa sawa na wengine, heshima yako chadema ni kubwa sana ungetulia kidogo, pia iringa bado unahitajika.
@adenmwakalobo760
29 күн бұрын
Mch Msigwa kawashangaza watu wengi wapenda ukweli na demokrasia, kwani alikuwa akidhaniwa kuwa ni mtu msimamia kweli na mpenda mabadiliko yanayoifaa nchi, kumbe hafai kabisa!
@adelinelyaruu3036
29 күн бұрын
WANAPOTEZANA SASA
@matiredms917
25 күн бұрын
Ahsante sana Bwana Ngurumo kwa uchambuzi wa kina ambao umeweka suala hili wazi sana. Mchungaji ameonesha dhahiri kuwa ni mbinafsi na barakala la hali ya juu.
@festokemibala5832
29 күн бұрын
Awali nilidhani Msigwa ni mwadilifu ba mweredi katika siasa na kutafsiri Katiba ya chama chake hata ya nchi kumbe nilikuwa najilia upepo! Anatanguliza maslahi, hana uvumilivu ni mnafiki gataki kushindwa! Watu kama hawa hawafai kuwemo katika uongozi wa nchi yetu, wanatuchelewesha kusonga mbele wanatupeleka shimoni! Ni kondoo kwa nje kunbe ndani ni mbwa mwitu
@user-uq7kk4dw2o
28 күн бұрын
Nasema aseme ,mmbane aseme
@josephmabula9658
26 күн бұрын
Shida Nini si amekata rufaa?
@margarethpolepole7438
24 күн бұрын
umo nakusifia sanaaaa kwa ufuatiliaji hapo ujue Viongozi wengi hawapendwi kushindwa na asiyekubali kushindwa si mshindani vyama vingi ni Wasaka tonge gamna kitu hapo
@johnmakundi9877
29 күн бұрын
nilimwona msigwa n mwana harakati kumbe n CCM mjinga sana tena atakuwa yeye ndiye anavujisha siri za chadema
@mamboshepea8888
24 күн бұрын
Chadema ina siri gani!!! Ujinga tu..
@user-us4tk2tk3c
24 күн бұрын
Bila shaka unatatizo. Leo ndio unaweza kusema hii pumba yako na alipokuwa kiongozi wako hukusema kuwa ni CCM mjinga.
@HappyKitindi
22 минут бұрын
Kama ulimwona msigwa anafaa na Sasa unaona hafai, maana yake hata waliobaki kama unawaamini wanafaa hawafai......😊😊😊😊😊
@melchiadepaschal3097
29 күн бұрын
Nlimpenda sana msigwa lkn kumbe ni kichaa. Kwakweli taifa letu, mungu pekee ndie atatusaidia.,
@sammykateregga6238
27 күн бұрын
Ndg Ngurumo nimekuekewa sana kupita kiasi. Nilikuwa najiuluza sana juu ya kauli hizi. Nilishauri sana baada ya uchaguzi kujwnga umoha zaidi na kuunganisha wanavhama lakini Mhe Mch Msigwa naona amekuja na agenda ya kubomia chama. Tutafakari kungali mapema, naona kuna kakipindi ka giza tunaweza kukapitia kabla au wakati wa uchaguzi mkuu ujaao. Mch amejichanganya au amewekwa makusudi kuchanganya mambo.
@isaacndashuka5959
28 күн бұрын
Msigwa unashangaza sana.unatia aibu.kwa kweli umenifanya nikufute kwenye kundi la watu makini.
@lustonjana5980
23 күн бұрын
Mchambuzi unastahili pongezi
@zobakazizi7637
24 күн бұрын
Hayo ni maandalizi ya kuhama chama. Kumbukeni mwanadamu si Mungu. Anaweza kubadilika muda wowote.
@raymondmushi9019
26 күн бұрын
Mungu akubariki,akulinde, uendelee kutufafanulia. mambo ambayo hattuyajui,tupate kuyajua.wewe ni mtu muhimu. sana kwa nchi yetu.
@RobertMaffa
27 күн бұрын
Hongera ngurumwa, kaza kamba kwa hao vipandikizi vya ccm ndani ya chadema, nafarijikaga kwa uchambuzi wako wa kila siku.
@nassercurtis9579
24 күн бұрын
Leo hii ndio mnasema haya kweli kila anaegeuka basi amepandikizwa na CCM zito kabwe na alipotoka si alilalamika hivyohivyo mbona hakwenda CCM acheni upumbavu hiki chama watu wanatamaa sana na majungu mengi.
@komuhsengo9796
29 күн бұрын
Hafai iwe kafanyiwa ama la,ni sawa na kutoka Siri za mwenza wako Kwa kuwa tu ameukataa, ni aibu sana kwake na huenda anahama chama ndo tafsiri halisi, liko jambo huyu nadhani hawafai chadema , wameruhusu aende huko anakolenga, jeni mchungaji kweli?😮
@salummohamed2689
28 күн бұрын
Msigwa, Msigwa, Msigwa rejea mazungumzo ya awali, hata kama hukuyaona hayo mwanzo, wewe ni mtu mzima amini Cha mwanzo kilikuwa kinainua chama sasa unataka kubomoa. Heri ungeondoka peke yako ungeheshimika. Kwa hili CHADEMA itabaki hai, hutathubutu kukiua. Kumbuka ulihusika kukijenga kikawa imara. Kwa hili tu hutaweza kututweza ili tuaangamie.
@malinzirutta3391
28 күн бұрын
Asante Ngurumo kwa ufafanuzi mzuri. Sasa tunafanyaje kukinusuru chama ma Msigwa? Nakuomba uwashauri chadema la kufanya
@louisnyaki1936
29 күн бұрын
Naiona Chadema ikiingia katika mtego wa CCM. Kumbukeni huyu mtu aliwahi kutajwa kwenye kuunga juhudi mkono kisha akakimbia . Jini Hilo halijamtoka . Take my word Ngurumo
@AnsbertNgurumo
28 күн бұрын
Imeshaingia lakini itavuka salama
@illomowerner7690
28 күн бұрын
@@AnsbertNgurumokweli kabisa kiongozi, short reply but smart and critical, CHADEMA haitaweza kufa mpaka mpango wa Mungu kuivusha Tanganyika na Tanzania kwenda nchi yabahadi yatimie, anayeona maslahi yake CHADEMA ni muhimu kuliko ya taasisi but atadhirika yeye na si vinginevyo. VIVA CHADEMA VIVA MPANGO WA MWENYEZI MUNGU
@JoshuaStanley-qu3im
25 күн бұрын
Huyo haifai kabisa maana hata kuongeza anakuwa na hasira
@FilbertFissoo-pe2xm
24 күн бұрын
😂😂 na tumwombee litoke aendelee kubaki chadema@@AnsbertNgurumo
@daudimaembe3360
26 күн бұрын
Alipongezwa na watu wengi sana siku ile ya mwanzo.Lakini alipobadili mtazamo,watu walimshangaa sana.Kunusuru hilo imebidi aitwe na Tundu Lissu Singida
@josephmantago2837
28 күн бұрын
Mchungaji Msigwa amechepuka baado chadema ni bora kuliko akina Msigwa mia mbili hakuna kusujudu kwa binadamu anae kufa wakati wowote chadema mpango wa Mungu
@mamboshepea8888
24 күн бұрын
Mbona mnamsujudia mtu flani😂😂
@thomasmsamikikowe2485
19 күн бұрын
Mpeni haki yake ya kusikizwa
@paulremigiuspaul3293
28 күн бұрын
Stay blessed Mkuu Ngurumo
@user-zg4yz7je8d
26 күн бұрын
Uyu msigwa rema alimshitukia mda mrefu, nawaambia kama angepita uyu kanda ya nyasa alikuwa anakwenda kuiuwa kisiasa, wewe ondoka chadema mapambano yanaendelea. Mbowe anafanya kazi kubwa sana na ndiye aliyekubeba. Ulikuwa aujulikani kabisa leo wakumnenea mbowe mabaya? Subiri majibu ya sugu sasa
@frankphiri9132
28 күн бұрын
Msigwaaaa nenda tena nani kakutuma na hao wapambe wako goooo go go go uko hovyoooooo thamani ilikuwepo kwa cheo sasa tumekujua
@LuganoPondo-km8ub
28 күн бұрын
Asbert Ngurumo,wewe ni jasusi wa haya mambo
@Henricovicent
24 күн бұрын
😂😂😂😂
@rashidissa5887
25 күн бұрын
Irrational analyst. Congrats. I am not a CHADEMA man ,but I like your analysis of political matters
@felixmsengi1084
28 күн бұрын
Uko vzr kwa hoja za kisiasa Asante
@mgungulem3187
29 күн бұрын
Awali alitudanganya kukubali matokeo! Makosa yakifanyika, chukua mapungufu na ushahidi mukayajenge, Acha mambo mengine yaendelee bado ananafasi na KAZI kubwa ya ukombozi
@eunho9529
28 күн бұрын
Nimeshangaa sana kwa mtu kama Msigwa kuyasema hayo cha msingi hizo ni tuhuma nzito hivyo ni vyema chama kitoke na litolea ufafanuzi kuhusu hizo tuhuma. na msigwa apewe nafasi ya kuthibitisha tuhuma hizo hata ikiwezekana kiwe kikao cha dharura, akithibitisha hatua kali zichukuliwe na hakishindwa pia hatua kali zichukuliwe kwani ni utovu wa nidhamu kwa mtu aliyekuwa kiongozi na mwenye maamuzi ndani ya chama kuyasema hayo ya Msigwa.
@amrankanda4291
28 күн бұрын
Umechemka MSIGWA ni heri ungeunga juhudi kipindi cha Mwendazake kama walivyofanya Wenzio.!
@emmasonanjawe9042
20 күн бұрын
Msigwa umetia aibu sana sana mchungaji muongo kuwahitokea
@ellykibale190
24 күн бұрын
Kuna siku alitembelewa na marehemu magufuli jimboni mwake akiwa mbunge...na akamsifia. Siku moja baadaye bungeni akaanza kumponda, wakamkumbusha mbona ulimsifia, akajibu kitu kama sikuwa serious, leo ndiyo nipo serious...Binafsi niliona tatizo kubwa sana la kiuongozi kwa Msingwa kwani kiongozi lazima awe mtu unayeweza kusimamia maneno yake. Ndiyo pia tunachokiona hapa, kabla ya uchaguzi anasema hivi baadaye anabadirika.
@leokamil6284
2 күн бұрын
Ni kweli aliwahi kufanya hivyo
@mcongomakete1664
26 күн бұрын
Msigwa amehusika kutoa rushwa aliwapafedha kwnye sim nakuchukua sim za wajume nawajumbe ndio walio lalamika nakudai kua msigwa kachukua sim zetu kwakua ametuingizia hela ili tumchague. Chadema wampe nafasi ya uwenyekiti wa tawi.
@ClementLushino
25 күн бұрын
Mch Msingwa unaoneka kukisaliti chama kabla na baada ya uchaguzi ksababu ya kumunga mkono mbunge SAS wa jimbo la Iringa mjini, si ajabu umelamba noti, unatafuta sababu, jimbo la Iringa Chadema kwa ww litakosekana.
@halimamasai2234
25 күн бұрын
Hongera Msigwa kwa kutufungua macho Kumbe ndani kuna uchafu
@ameirzapy1318
26 күн бұрын
Yaani Chadema pamoja na wewe Mtu akiamua kusema ukweli wa moyo wake mnasema ananunuliwa?😢 Binadamu ni mtu na anahisia zake, ila akitokea upande wa pili mnasema kafuata haki 😅 Huwa mnachekesha sana na kuhuzunisha.
@TM-zs3rm
29 күн бұрын
Hakuna ya hivi. Ali hiki fanya sivyo. Nimekuelewa disappointed naye. Hapa unaona moja kwa moja kajidharilisha mwenyewe kwa kauli mbili tofauti. Na hii ni tatizo kubwa kwa mtu mwenye hekima na heshima. Kashindwa kuzitawala hasira zake na hii imetuonyesha upande wa pili wa ndugu Msigwa. Ana sura mbili tofauti. Namsikiyimia sababu angetulia kidogo na kutafakari, hata kama ameonewa angeita kikao ndani ya chama kwa maslahi ya chama na si kwenda hadharani namna hii. Inamaana Hana imani na chama bila yeye kuwa madaraka I.
Msigwa alibebwa na mbowe sana na kwa sababu alikuwa akimuhonga mbowe sana alikuwa anasaliti wenzie sana hata kuondoka kwa zitto alichangia sana sasa muosha huoshwa
@samuelmakara1475
28 күн бұрын
Hongera mchambuzi
@user-us4tk2tk3c
24 күн бұрын
Hongera ipi kwa mchanbuzi huyu? kama ni ya kuchambua kwa interest ya chama chake sawa lakini je vipi Haki ya Wanachama wake?
@MusaOgwoko
26 күн бұрын
Mwahachie sugu hata Kama hameonga
@bonifacedanielmwakisunga9638
25 күн бұрын
Hawa wanasiasa uchwala tu Mzee gurumo ni wachumia tumbo mi nilitegemea kuwa kukibali kushindwa na sio kuja adharani kulalamika
@emmanuelsulle911
28 күн бұрын
Ngurumwa nakukubali Mno Mchambuzi Wangu, Hongeraaa sana napenda Mno Kazi na chanel Yako....
@georgekimasaofficial1629
26 күн бұрын
Lakini mbona Tundu lisu alisema kuna rushwa ndani ya Chadema lakini watu wamekaa kimya? mi nadhani msigwa anakaukweli flani na inabidi Chadema wajitafakari sana wengine mlio inje mtasema lakini kilichopo ndani kinaweza kisiwe sawa.
@leokamil6284
2 күн бұрын
Hukumuelewa alikuwa na maana fedha zimemwagwa kule ili kuwanunua na kufarakanisha chama cha Chadema
@melchiadepaschal3097
29 күн бұрын
Msigwa umenifanya mpaka natoa machozi, jitafakari
@FashoKibona
29 күн бұрын
Msigwa anaelement za kuhama chama ,na Kwa jicho la darubini nyuma ya msigwa Kuna CCM,huyu tumpuuze.niking'ang'anizi wa madaraka.? Msigwa alifaa kuwa mfano wa kuheshimu matokeo, swali ,je msigwa angeshinda yy angeyasema hayo?
@user-uo8xw9kr4b
21 күн бұрын
Ndio ujue kila binadam anapenda kua juu hapendi kushindwa hat awe mchungaji shekhe .
@user-uo8xw9kr4b
21 күн бұрын
Na pia km kuna kasoro lazima zisemwe ili wat wajue kilichojificha ndani.
@samirsamson3996
19 күн бұрын
SK MEDIA is so brighter Media so fact more than Fact i do apriciate on you bro upo vizur xana sijaona mchambuzi makini km ww bravo to you bro
@sharifamakuka4832
28 күн бұрын
Asiye kubari kushindwa si mshindani,kubari kushindwa msigwa.
@kenedyrocky4641
28 күн бұрын
MH PETER MSIGWA "MCHUNGAJI" AMENI SIKITISHA SANA. SIKUTEGEMEA KAMA ANGEONGEA MANENO HAYO. NIMEFEDHEHEKA NAFSINI MWANGU KWAAJILI YA KAULI ZAKE KWENYE PRESS.
@user-ub1yx5vc8b
25 күн бұрын
Msigwa hata kenye mdahalo alipwaya sana. Sugu alitulia sana
@user-uq7kk4dw2o
28 күн бұрын
Ameharibu sanaa, amejishushia hadhiiiii
@user-lx2lo2lp8m
Күн бұрын
Hii ni sawa na mtu kulipwa million kumi ukanye msikitini, umejidhalilisha sana bro,heshima yote imeondoka kwa sekunde,nani kakuloga sikujua una kichaa,dah🤔!..
@ThobiasMarandu
27 күн бұрын
Hivi Kama Mgombea Unawezaje kujua Nani atakupigia kura kabla kura hazijapigwa?
@AnsbertNgurumo
27 күн бұрын
Mi swali gumu sana, maana kura ni siri ya mpiga kura.
@RBMBAKARI-bv6wn
28 күн бұрын
Dah ansbert ni mchambuzi nimemkubali sana huyu msigwa chadema wa muangalie Kwa macho mawili Mimi SI chadema ila napenda upinzani imara na ustaarabu. Wa siasa lakini ukiona mtu anatoka Siri za chama huyu tayari ameishaanguka.ushauri Kwa mh mbowe awe mtaratibu tu na afanye siasa za ustaarabu sababu mamluki anao wengi sana
@samirsamson3996
19 күн бұрын
Nachompendea Mh Ngurumo anaongea kwa fact anaongea anakupa na clips za anayoyasema atoi maneno mdomoni anayasema wanaoyasema safi sana tunataka uchambuzi wa fact km huu na kuwa na kumbukumbu zote big up bro
@melchiadepaschal3097
29 күн бұрын
Chadema ilikuwepo, na itaendelea kuwepo. Hatafanikiwa chochote
@ThobiasMarandu
27 күн бұрын
Nakubaliana na Wewe 10,000,000,000%
@kwasmokweka9598
28 күн бұрын
Mchungaji nini kimempata?yeye si amesoma biblia na anaielewa? Huyu roho mbaya amemnyemeleaje na kumwingilia? Akumbuke ameshaelekezwa la kufanya na afanye hima!
@LaizerSangau
28 күн бұрын
Hakika ngurumo umetupa darasa kamili🎉🎉🎉🎉
@humphreymkony8915
26 күн бұрын
Tatizo msigwa umezoea kula kupitia cdm. Ukihamia CCM utakula zaidi.
@hajimnubi4581
22 күн бұрын
Siasa bwana yani sugu anamshinda msigwa😂
@eunho9529
28 күн бұрын
tena ikitokea hakashindwa kuthibitisha AFUKUZWE UANACHAMA.
@dismasmtui729
28 күн бұрын
Nafikiri kuna watu wako nyuma yake ndio wanaomsukuma ila anaharibu zaidi kuliko kujenga!. Yeye anafikiri yeye yuko juu ya chama na anaweza kukipasua kama ataondoka, anashindwa kukumbuka hata Dr Slaa aliondoka lakini hakuleta madhara yoyote!.
@samsonhamery3809
26 күн бұрын
Matusi yote ya chadema juu ya CCM tulijua kuwa chadema ni malaika kumbe Nao Ni Wana wa belzebuli?! Watoa rushwa na Wala rushwa wakubwa wezi wa kura katika chaguzi zao za ndani Komeni sasa kuiandama CCM
@user-xp5bl3ul3m
28 күн бұрын
Yaelekea msigwa baada ya kutangaza kukubali kushindwa alienda kufanya kikao na maadui wa chadema ndio wakamshawishi kuchafua Chadema. Tusubiri kidogo Kuna dalili ya kuchepuka... Tuendelee kufuatilia.
@leokamil6284
2 күн бұрын
Au alikua mda mrefu mguu moja ndani mwingine nje .Mtu mwenye kuishi kibinafsi kimtegomtego
@user-uq7kk4dw2o
28 күн бұрын
Msigwa umejulikana,watu hatushangai
@aloycemisigalo3983
26 күн бұрын
Ngurumo wewe ni lulu ya taifa letu unaumuhimu sana kwenye uchambuzi wa mambo, hongera sana kaka kwa kuweza kutuelimisha kiasi kikubwa.
@ThomasMcha-jk5yt
29 күн бұрын
Ngoja inyeshe tujue pavujapo mkuu..... ila ktk Siasa huwa kuna vitu VIWILI TU SAMBAMBA: 1. USALITI 2.MASLAHI Nje ya hapo hakuna Siasa.
@juliuskitaluka1206
29 күн бұрын
Changamoto kubwa sana
@irenalawrence6386
28 күн бұрын
Ndugu Ngurumo hakika unafaa kuwa mwalimu wa siasa, vilevile unaye Roho Mtakatifu anayekuongoza vema, aksante leo kwa ufafanuzi wa @Msigwa!
@rogersiddy
28 күн бұрын
Uko sahihi kbs anasema sitaki kukikchafua chama changu wakati ameshakishafua tayali yaan sielewi ana maana gan
@solomoneglesias9752
28 күн бұрын
Munyalu huyu hofyo kabisa yaani unajivua chupi hadharani hivi et kisa ni madaraka!!!! Hata ckutegemea hofyo kabisa ila sisi bado tupo na cdm yetu,, cdm ilikuheshimisha sana!!! Yaani kumbe hata uchungaji mwachie Abihudi we umekuwa mbwa mwitu mla kondoo😭😭😭
@luganomwaigomole7441
26 күн бұрын
UKO VIZURI SANA BROTHER..HAKIKA TUNAHITAJI WATU WENGI KM WEWE KWENYE KUUSEMA UKWELI NA KUUSIMAMIA KWA MASLAHI MAPANA YA TAIFA...NIMEKUPENDAGA BURE EE
@user-cz7bd9tc5k
29 күн бұрын
Mbona uli kubali Mwenyewe kumbee hata tume ya uhadema sio huru kama ya Taifa haya sasa fungeni Midomo yenu
@Ommylayzah_tz
28 күн бұрын
Hajasema yeye ni Chadema anachambua tu
@samsonmwijage1869
26 күн бұрын
Kibaya zaidi alichofanya Msigwa kwa mujibu wa sauti iliyofuja ni kauli za kitoto, za kipuuzi, za chuki na unafiki kwa kumsimanga M/kiti wa chama chake eti yeye ni "kulambwa miguu" na watu wake na kwamba Mbowe anataka kubaki na watu anayewapenda na hawezi kujipendekeza kwake na maneno mengine ya dhihaka !!!! Huyu Msigwa hana ukomavu wa kisiasa amevamia fani kutafuta maslahi binafsi na nina mashaka kama kweli ana taaluma na sifa ya kuwa mchungaji.
@siriplacid7152
23 күн бұрын
Huyu ni kiongozi mzuri japokuwa anaweza kuonekana na madhaifu madogo madogo kama hayo . Lakini bado ni kiongozi
@laninjeje8290
26 күн бұрын
Ukiona kuna moshi ujue kuna moto, zitto kabwe alilalamika CHADEMA hakuna haki, wakina halima mdee walilalamika, pia mbowe alishaenda ikulu kuchukua rushwa
@mrmadebwesanga4971
27 күн бұрын
Umechambua vyema sana kiongozi wangu
@kabhikachambala3392
15 күн бұрын
Kwani alichokifanya Msigwa na CHADEMA kwa ujumla kinatofauti gani na suala la kusema Lowassa ni Fisadi na badae kusema ni msafi. Kuna kosa gani badae ukigundua kwamba haki haikutendeka ukachukua hatua zingine.
@00P288
29 күн бұрын
Kuna mtu anahamia CCM mda si mrefu
@adelinelyaruu3036
29 күн бұрын
Ameshakaribishwa. Time will tell
@MathewNathan-yb2bz
28 күн бұрын
Msigwa kakosea sana.Huku ni kutaka kukibomoa chama.
@HamzaHeri
26 күн бұрын
WEWE MCHAMBUZI AMUACHI UKABILA WAKICHAGA MAAMUZI YA MWENYE KITI TUNA JUWA NDIO MAANA AMUWEZI KUONGOZA NCHI HII
@pirminmatumizi5464
25 күн бұрын
Machawa wa Freeman wanamlinda nafasi yake ya uenyekiti isije ukachukuliwa na akina Msigwa, Tundu, Heche. Watu tunataka kuona mabadiliko Chadema bwana 😮
@thomasbrotherscotractorslt1299
29 күн бұрын
Msigwa mmmmmmm
@user-qe5cb7vy6o
25 күн бұрын
Msigwa unajivunjia heshima Tunakuheshimu tunakupenda kauli ulizotamuka kwanza na unanasema sasa nitofàuti .Msikilize Ngurumo Unajidhalilisha pole sana.ukikata rufaa utafeli zaidi haya kata rufaa tuone.
@cyprianboniphace-oz5lw
23 күн бұрын
mh.umefafanua vizuri sana ambaye hajakuelewa ni mchawi.
@pastorkongoke6308
27 күн бұрын
Hapo kwa Njombe umejipotosha Alichosema Msigwa ni baada ya rufaa uchaguzi uliitishwa tena na ukavurugwa
@georgekimasaofficial1629
26 күн бұрын
Watu hawajui
@simbahmsini
25 күн бұрын
Uchambuzi unaolinda maslahi ya Mwenyekiti huu Msigwa na Mwenyekiti Taifa wote ni tatizo katika Chama
@user-us4tk2tk3c
24 күн бұрын
Inshort Katika uchambuzi huu lazima mkubali kuwa kumbe CDM ni chama cha hovyo sana.
@samirsamson3996
19 күн бұрын
Kungekuwa na kina Ngurumo km kumi nchi hii hakika taifa lingenyooka i wish Mh Ngurumo angekuwa Wazir mkuu nchi ingenyooka jamaa anajua tumpe maua yake i wish nikutane nae live huyu mtu hakika ni mtu na nusu
@godfreymikmta5008
27 күн бұрын
Pia ukichunguza kwa umakini anataka kuleta hoja mwenyekiti ni mbaya.
@abdighalib6580
18 сағат бұрын
Kauli ya pili, ilisemwa baada ya uchaguzi jee analysis ya uchaguzi si aliipata baada ya uchaguzi ama ni vipi? Nahisi alipata data baada ya uchaguzi ndo akaamua kureact.....Mungu anajua zaidi.
@margarethpolepole7438
24 күн бұрын
Mbowe anataka Uwenyekiti wake uendelee maisha sasa anabadilisha Viongozi ili wampigie kura ndiyo maana Zito alitoka hicho ni Chama cha kikabila Wachaga kwanini Mbowe asitoke wanachama wake wamemchoka kabisa
@drsumatz7539
29 күн бұрын
Ukweli ni kwamba jamaa alishanunuliwa kitambo tu ..... Lilikuwa ni suala la muda tu na muda ndo huu Me nilikuwa nikitafakar sana kuwa kama msigwa kipindi yeye ana cheo na mjumbe wa kamat kuu alikuwa anaunga CCM mkono katka mambo amabyo nilikuwa najiuliza maswali sana na hayakuwa mambo mazuri kmhata kdgo Leo tungetegemea Nini kama sio Hali hiii
@festokemibala5832
28 күн бұрын
Keshachukua chake mapema!
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs
25 күн бұрын
Nimekusubili sana kuhusu hili hatimea nimefurahi usichekewe kutufafanulia
@musakutenga9848
25 күн бұрын
Mliwaona kina Halima Mdee mkasahau kwamba Tanzania 🇹🇿 hakuna wanasiasa kuna wachumia tumbo kwenye kivuli cha siasa, wanasiasa walikuweko wakati wa kupigania uhuru tu basi
@JeanMakiesse
26 күн бұрын
Msigwa ni mtu mwenye Kipaji Cha Kuongea tu ila Kiukweli ni bonge la Snitch na njaa Kali.
@abdalahgunda1319
18 күн бұрын
msigwA has capacity of creat lmotion into chadema we can say anything but reality stil there kwahiyo tusimbeze msigwA abauwezo mkubwa ktk siasa ndivyo ilovyo
@user-vq2xq9ck8s
24 күн бұрын
Msigwa hakuzidiwa ila amedhurumiwa sio ameshindwa usifiche kuwa kaibiwa kula
@boscomwangosi1042
25 күн бұрын
Tatizo ni sisi wàpigakula hatujitambui tumekua tukiwashabikia wanasiasa badala ya kuwaunga mkuno wachapa kazi bila kujali chama,lkn pia tunasahau kua hao wanasa wao ni sehemu ya ajira,ndiomaana hawawezi kupishana kwenye maswala ya poshozao mishahalayao Wala viinua mgongo vyao,mbunge akimaliza miaka mitano analipwa sh.milion mia mbili hamsini lkn mwalimu miaka 35 analipwa million 60. Huadaima kwenye maswala ya pesa wanaungana wabunge wote.sasa akitokea mchapa kazi Kama mama,magu,sabaya,makonda wote hua wanaungana kuwapiga vita wakiwemo hata wa chama Chao,wanaanza kupambana kuwatafutoa kashifa ili waendelee kuufunika uiziwao.
@hajihassan5433
25 күн бұрын
😂Nimecheka hapo alikishinda kivuli kwa kura 4 tu. Ni muhimu sana kuheshimu sana hata rufaa za akina Mhe. Halima Mdee. Acheni ubinafsi ili tukutofautisheni na CCM.
@user-fv6my9xz2c
28 күн бұрын
Nina siku nyingi sana bila kuandika huwa Namfatilia Mr Ansibert Ngurumo, kwa kubobea sana ktk uchambuzi mimi nimeumia sana kwa mh. Msigwa kwa haya anayoyasema yaani duuu binadamu wa siasa chadema Tunaipenda sanaaa kubari ushindwe tuu
@sospeterodhiambo6869
28 күн бұрын
Nilikuwa namwamini sana Msigwa lkn kwa sasa nimemtoa thamani Chadema itaendelea kuwa imara zaidi
@williamnkuhi6166
26 күн бұрын
Njaa mbaya sana aisee.. Hawa wanasiasa walio wengi ni wasaka tonge chumia tumbo..😅
Пікірлер: 253