Mchungaji naomba uonapo ujumbe huu..Ongea na Mungu kuhusu familia yangu hasa baba yangu Ally-Filemoni-Nkembo..wote familia yangu hawafanyi kitu bila uchawi ama uganga..na mashindano kati ya mmoja na mwingine ndani ya familia hii..hata baba anapambana na mama.Uchawi..Mungu hajanijibu mchungaji Ongea wewe na Mungu nakuomba usisahau.
@yekutielgoldstein9712
4 жыл бұрын
Chris Ally sote tutaomba na kwa sababu mpango wa Mungu watu waokolewe,basi kwa mapenzi yake yeye mwenyewe atajitwalia walio wake. be blessed
@davidmmbaga3350
4 жыл бұрын
Mungu atatenda kwa wakati wake. Relax
@setholivier4862
4 жыл бұрын
Tutaomba pia, na bwana atatenda
@kwizeraelly9261
4 жыл бұрын
Yesu nisamehe baba nijazwe ubatizo wa roho mtakatifu.Nimelia sana pastor juu maisha yangu.
@munezeromune4485
4 жыл бұрын
Ubarikiwe Mchungaji Somo nzuri
@kwizeraelly9261
4 жыл бұрын
Amen! Somo hili limenigusa sn mch.Mungu naomba nami ubatizo wa roho mtakatifu.
@christophermalilah7110
Жыл бұрын
Kiukweli tuna shida kristo Ni mwenywe hurma Sana
@kelvinnikki8479
3 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Bwana Yesu Nimekuelewa vizuri sana kweli kabisa ndio kitu tulichokosa aiwezekani tuwe naneno lisilokua namatunda nguvu ya Roho nimekuelewa mno
@barakayona6946
3 жыл бұрын
Ninabarikiwa Sana naujumbe wako mtumishi wa MUNGU
@maxmillianmturi1370
4 жыл бұрын
may Lord bless this ministry
@kwizeraelly9261
4 жыл бұрын
Ni kweli mch.makanisani zimejazwa roho za mashindano!
@madamanney
4 жыл бұрын
Amen
@esternaftari4553
4 жыл бұрын
Unanibarik sana mchungaj mbaga anaekufuatilia vizur kuna kitu anajifunz
@marycheupe8613
4 жыл бұрын
Utukufu umrudie mungu wetu muumba
@kwizeraelly9261
4 жыл бұрын
Mahubiri haya mch. hunibariki na kunifanya upya kila siku nilikuwa na hasira saaaana!! ila mahubiri yako yananisaidia mno!!!!
@asharamadhan8806
4 жыл бұрын
Ahsante Mchungaji mmbaga kweli nmebarikiwa na hiki kisa cha huyo Mchungaji kimenigusa mno mno nawewe pia huyu Mungu akukumbuke daima.
@esternaftari4553
4 жыл бұрын
Tunaomb mwendelez wa somo hili
@elizabethmochache7019
4 жыл бұрын
Hili somo limeningusha tu sana, Asante Sana mchungaji, kwa kweli nahitaji ubatizo wa roho mtakatifu
@abamwesigaufunuo
4 жыл бұрын
Mch nimebarikiwa Sana na haya mahubiri kuhusu roho mtakatifu na pia jinsi ya kuheshimu Imani ya mtu na nimebarikiwa na mahubiri ya siku kumi za Maombi
@everinekabakilwa7336
4 жыл бұрын
Amen be blessed Amen Glory to God
@kwizeraelly9261
4 жыл бұрын
Du! Yesu niokoe mm mwenye dhambi nipate ubatizo wa roho mtakatifu.Mchungaji unapoomba nami nakuomba unikumbuke ktk sala zako.
Mchungaji ambaye hajajazwa Roho mt aliingiaje kufanya kazi hiyo ya kichungaji?
@godifreypaul9409
4 жыл бұрын
Hivi hii tabia ya kusoma neno la Mungu kwenye simu mmeipata wapi?Mimi muumini wangu akinisomea hivyo kwenye simu,namtoa nje hapo hapo.Wachungaji kuweni na msimamo,waamasisheni waumini wenu wawe na bibilia kanisani na nyumbani kwao.Simu zinaibiwa,zinapotea,na kuna siku watazima huo mfumo.Kila muumini akikosa sana,awe na bibilia kumi nyumbani,itamsaidia sana.Maana zinaanza kupotea zinakuja feki.Ubarikiwe mtumishi kwa somo zuri.Endelea.....
@julietungs3744
4 жыл бұрын
Godifrey Paul Nimekuelewa...
@laurencevenance9854
4 жыл бұрын
Daaaah mchungaji Mbaga me huwa nakuelewa sana Mungu akupe maisha marefu ili wengi tuokolewe............
@anithabuberwa2253
4 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana kuna siku mchungaji aliuliza kanisani hapa tulipo nani anauhakika yesu akija anaenda mbinguni? Wakanyoosha wote mii sikunyoosha kumbe mchungaji kaniona, kipindi natoka kaniita kaniuliza kwa nini ukunyoosha mkono nikamwambia mimi sio mnafiki kwa Mungu niwafuraishe wanadamu, akasema ahsante napenda watu wakweli akaniombea. Kwa hiyo wengi tunawaogopa wanadamu watatuonaje zaidi ya Mungu
@abamwesigaufunuo
4 жыл бұрын
Amina
@nancychannel99
Жыл бұрын
Jmn hili kanisa lipo wap
@bizimanaseburiri22
4 жыл бұрын
Pastor god bless you
@kusakabuga282
4 жыл бұрын
MUNGU MUUMBAJI. ATUONGOZE KTK Mapenzi yake
@madamanney
4 жыл бұрын
Amen
@dogojoseph5300
4 жыл бұрын
Mbaga nina ushuhuda nitumie mamba yako
@selfaakinyi512
4 жыл бұрын
Pastor natamani kujazwa na roho mtakati ila sijuwi ni nini kinakuwa kikwazo nisaidie pastor tafadhali. From Qatar
@esternaftari4553
4 жыл бұрын
Ni saa ya Bwana haijafik mtumishi
@davidmmbaga3350
4 жыл бұрын
Follow part 2
@ellykibale190
4 жыл бұрын
Wakati tunasubiri sehemu ya pili,endelea pia kwa kufuata maelekezo katika Luka 11:11-13, maelekezo yenyewe yapo Kwenye mstari wa 13.
@selfaakinyi512
4 жыл бұрын
Sawa pastor
@selfaakinyi512
4 жыл бұрын
@@ellykibale190 asanate nitafatilia
@maliyadinas9645
4 жыл бұрын
Asant sana mchungaji Mimi nilibatizwa kwa maji mengi tu sasa sikujazwa na roomtaka tifu ,swali langu ni fanyeje ili ni pate kujazwa kwa mtakatifu?
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Maliya Dinas INGIA KATIKA CHUMBA CHAKO,SEHEM UNAYOWEZA KUONGEA NA MUNGU,OMBA UJAZO WA ROHO MTAKATIFU,KWA IMANI.ATAKUJAZA Luka 11:13 Basi, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyema, je! Baba aliye mbinguni hatazidi sana kuwapa Roho Mtakatifu hao wamwombao?
Пікірлер: 44