Hongera sana nakuomba kusambaza ujuzi huu nchi nzima pia upunguze garama za machine ili na maskini waweze pata unavyo jua masikini ndiyo wanaongoza kuharibu mazingira
@najmakimosa8306
6 жыл бұрын
Ukisha pata unga wake wausonga kama ugali halafu ndo upate makaa
@emanuelmoshama3899
4 жыл бұрын
ayo maganda hayaungui yakawa majivu
@buteratomath
5 жыл бұрын
Shi ngapi?
@najmakimosa8306
6 жыл бұрын
Hizo ni taka zipi ama ni marabda ya mbao
@remmyphilipo1222
5 жыл бұрын
Acha uongo sokoni unachoma taka gani ,utachoma maganda mabichi ya ndizi ,nyanya viazi makabichi mabovu ..... Sokon hakuna taka ngumu
@kushokaleonard5228
5 жыл бұрын
Kama ujui Uliza wewe ulipo unafanya kazi gani au ndio kundi la wanaotembea kutwa unatafuta ajira
Пікірлер: 9