BREAKING NEWS: CHADEMA WANAONGEA KUHUSU UCHAGUZI
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimezungumza kuhusu zoezi la uchaguzi mdogo unaoendelea katika majimbo ya Kinondoni, Dar es Salaam na Siha mkoani Kilimanjaro.
Akizungumza na Global TV Online asubuhi hii, Msemaji wa Chadema, Tumaini Makene amesema kuwa chama chao wameshangazwa na kitendo cha baadhi ya mawakala wao kuzuiliwa kuingia kwenye vituo na baadhi yao waliokuwa wameingia wametolewa kwa sababu wanatakiwa kuwa na barua ya utambulisho wa wakala kutoka Tume ya Uchaguzi NEC.
Install #GlobalPublishersApp
Android: bit.ly/2AAQe1d
iOS: apple.co/2Assf4M
Subscribe / uwazi
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Негізгі бет UCHAGUZI: 'Chadema' Wafungukia Mawakala Wao Kuzuiliwa
Пікірлер: 43