Mnao taka kushindana na diamond platnamz inabidi mzidi kupita njia anazopita diamond rasivyo Mtaishia maneno huyu mtu nihatari sanaa❤❤❤❤❤❤🎉🎉kazi nimeona diamond platnamz kimataifa zaidi💪💪🙏🙏❤❤mimi na diamond dam dam
@boniphacewambura1427
2 ай бұрын
Nimefurahi kuona sky hujalala hii inaonyesha uko seriously na kazi baba piga kazi uko vizuri Mwenyezi mungu akulinde
@najmahhassan7853
2 ай бұрын
Icon from TANZANIA 🇹🇿 Tanzania 💪🔥 Diamond Platnumz 🔥
@rosemahenge9071
2 ай бұрын
Nimetoka kuiangalia aisee ni shida video ni ya moto aisee pesa zimemwagwa si mchezo🙌
@FadhiliMbano-pc6hu
2 ай бұрын
Wee Simba la Masimba Dangote,,,haujui,,💪🏾💪🏾🔥🔥
@alimbonde648
2 ай бұрын
GRAMMY:- Best music video, best African act, song of the year. Diamond to the world. Well represented. Hit the like Burton if you agree 👍
@marcoelias9294
2 ай бұрын
Dah huyu mwamba kashindikana jaman
@hamidamussa-sy4fm
2 ай бұрын
Msaniii nambar moja afrika anajitaidi sana kupambana kufikisha muziki wake duniani na hakika kafaulu
@AgatonyMayala
2 ай бұрын
ubunifu mkubwa sana hapa simba congratutions kwake dah hata wasio mpenda ila kwa hii videos dah simba kaua hongera na kwenu nsn kwa uchambuz❤
@issabaraka2404
2 ай бұрын
Sky hivi unakubali kama diamond Platnumz nimkubwa zaidi duniani kuliko Tanzania kimataifa😂😂😂 nawapenda sana wana sns❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@neemajoseph795
2 ай бұрын
Huwezi amini na mkubali sana Diamond hii video na angalia huku na piga kelele nyie
Sky nafrahi kwa kufanya uchambuzi nawakubali Wana sns wote popote malipo ❤❤❤❤❤ diamond to the world
@magga_v
2 ай бұрын
Hii ndo maana ya maji marefu lukuga
@elisharaphael8680
2 ай бұрын
Maasai ni kabila kubwa sana , watu hutumia mfanano wa maasai kutengeneza vitu vizuri najivunia sana 🇹🇿
@breymbasa3451
2 ай бұрын
Ni kabila maarufu syo kubwa sawa shekhe
@subrynerysegerow1323
2 ай бұрын
@@breymbasa3451 me sio masa8 lakini ninkubwa na ni maarufu
@Pemba680
2 ай бұрын
Simba atabaki kuwa mfano mzuri Kwa wasanii
@m___ck799
2 ай бұрын
The song was big..sasa ulitegemea...ndio ilitakiwa!!
@EdwardSancho-dq4lp
2 ай бұрын
DIAMOND IS KING OF ALL THE TIME ❤❤❤
@SafayaPlatnum-zz1dz
2 ай бұрын
Kaka ameuwa sana natamani Ngoma zingine zitoke kubwa zaidi na wasanii wengine watoe Ngoma Kali na ziwekezwe kama hivi
@svt3
2 ай бұрын
Na kesho michezo ya Olympic inaanza wimbo wa salamu ni Comment cavant yaani Diamond alipangia huu wimbo na amepatia
@njoroboihastla
2 ай бұрын
How??? Niielekeze
@MrTop-wj7no
2 ай бұрын
@@njoroboihastla kama huelewi hutoelewa tena
@lifegotv975
2 ай бұрын
😂@@MrTop-wj7no
@celestinmutula
2 ай бұрын
Si😂@@njoroboihastla
@omarzinga7046
2 ай бұрын
Olympic Tanzania inawakilishwa na mchezo gani ?njooni team 🇰🇪🇰🇪 basi mtu support
@pro_the_dj
2 ай бұрын
uchambuzi mzuli sana lazima ngoma uielewe
@ReginaErnest-cf6ji
2 ай бұрын
Kigoma hatoki fara umeupiga mwingini❤❤❤❤❤
@othmanibnabdullah
2 ай бұрын
Anafanya uwekezaji mkubwa kwenye vitu vyake ni kitu kizuri
@channyanjen9047
2 ай бұрын
Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen
@Kidaboma
2 ай бұрын
Ridhiki*
@fatmaally7252
2 ай бұрын
Amiin
@Clemmo_254
2 ай бұрын
Unajua Sana kakangu...keep on inspiring the generation brother Sky....love from kenya
@MkaliZuberi-rt3gb
2 ай бұрын
Diamond ndio msanii mkubwa afrika kwasasa. maana watu aliokua anashindananao wizkid, davido ,na bunboy wamepoa sana. ila kwakua anatokea bongo sisi hua tunamkubali mtu akiwa anaanza akishakua maarufu hua tunamchukia sijui kwa nn
@jsisso7467
2 ай бұрын
Anafanya vizuri sana kwa upande wake lakini to compare him with Burnaboy hapana boss, huyo Burnaboy kwasasa uko ulaya, marekani afanya show katika viwanja na ana sold out tumpe eshima yake aisee
@Gabriel_MB
2 ай бұрын
@@jsisso7467 you are correct Burna boy is another level so reste to Him
@ChristianChiristian
2 ай бұрын
Misiombi like Ila itoshe kusema ote humundani wameua nakichupa nime kiludia sana hasa pale kwa @Jason Derulo anavo dance ½ 🫰nakichupa ni 🎬📺🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥📌
@Kidaboma
2 ай бұрын
Rudia *
@ericklaura7511
2 ай бұрын
Wow when others are at sleep sky is getting busy with some stuffs , keep it up with Good job sky ..., nice makala 🙏🙏🙏🙌🙌 SIMBAAA
@EmilyAlph
2 ай бұрын
So proud of him Tanzania 🇹🇿 next levels babyy
@ramayonline2281
2 ай бұрын
Sky your the baddest for the recap
@HeriRamadhan-q7m
2 ай бұрын
Diamond plutnum unatisha Mzee baba video duh Nouma halafu ametoa ucku wa manane lakini watu hatulali KZitem jamani dah
@victorrock6660
2 ай бұрын
Unyamaa
@MohamedMohamed-ry6lt
2 ай бұрын
Hongereni huko huo ni ujasiriamali ambao wasanii wengine bado hawajathubutu kufanya tutaendelea kumuona anayethubutu kila siku anafanikiwa
@musamakuhana2200
2 ай бұрын
Wewe diamond ni mwana muziki Bora kwa Sasa duniani mungu azidi kukulinda 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@EspoirSamy-st5le
2 ай бұрын
D'ha Simba nimfano ya kuigwa🎉
@manajr9155
2 ай бұрын
Simba 🦁
@magga_v
2 ай бұрын
Lukuga ana wapeleka maji marefu
@johnmwasilu7087
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 kweli kina kirefu
@awlamutalemwa2558
2 ай бұрын
Well Said Sky...This music video is hands down amazing-an absolute masterpiece!"🎉
@RabunaHuseni
2 ай бұрын
Nomaaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤
@Alvinfau
2 ай бұрын
Hutu Jamaa hatariii
@kimah9855
2 ай бұрын
Very nice work 🙌🙌👏👏Very expensive but highly recommended for everyone🔥 Africa to the world 🌎❤
@GuillainLewis
2 ай бұрын
Diamond is the best of worldwide 🎉🎉🎉
@Hassanmoreno07
2 ай бұрын
Alaumiki kabisa
@nandymore7605
2 ай бұрын
Sky hulali
@ArlindoMacheka
2 ай бұрын
Poá sana simbaaaa 🦁
@yulestevo
2 ай бұрын
Congratulations #simba @diamondplatnumz Kenya 🇰🇪 and Africa is proud of you.
@SelemaniGongolo
2 ай бұрын
Nakubali sana blaza we kweli tanzania number one
@JackChildishKE
2 ай бұрын
Ain't Tanzania but to be sincere, Diamond is the best artist in Africa he definitely knows what music is, the concept of the video 💯, location everything mad mad mad 🔥 🔥 🔥 🔥
@Tanafa-j9q
2 ай бұрын
Lamasimba
@RabunaHuseni
2 ай бұрын
Nomasanaaaaaaaaaa simba lama simbaaaaaaaa tisha sana babaaaaaaaaaaaa dadeki
@KhadijaMzuri
2 ай бұрын
Harmonize kaumbuka alikua akimsema diamond kaishiwa pesa ya kufanya video ya ngoma ya komasava sasa nazan kaishaiyona sijui uso wake atauweka wapi uyo harmonize 😂😂😂😂
@classicwaisala6677
2 ай бұрын
Uchambuzi wakinyama saana🔥
@jafarimiraji1889
2 ай бұрын
🦁🦁🦁 🔥🔥🔥weeeh zombi haujui 🙌🙌
@mfalmekaitaba2425
2 ай бұрын
Mtu anawekeza pakubwa alafu huku wazembe wanaanza kumuita Freemason
@JanetAhmad-v3h
2 ай бұрын
ninacho mkubali simba anawacha wee wanatamba acha sasa tuone😅😅😅😅
@TALLUBOY
2 ай бұрын
Kabisa video imekula pesa kubwa Sanaaaaaaaaaa
@gilliardgodfriend5745
2 ай бұрын
Naweza kusema ukiskia a TANZANIAN SHILING BILLIONS NDIO HII SASA😅🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ayoub1906
2 ай бұрын
Simba ❤❤❤❤
@m___ck799
2 ай бұрын
FOR THE FIRST TIME IN DIAMOND PLATNAMZ'S CAREER OF 17+YEARS...Nimeangalia video yake 3 times😂. HII NDIO GLOBAL WAY sasa. ..BEST VIDEO EVER❤
@fredambrose3118
2 ай бұрын
So who the hell are you by the way?????????? Ukoo wenu tu hujulikani...... Diamond has been there tangia ww enzi unafuta makamasi na konzi...... mtafutieni msanii wenu kijeba hit
@m___ck799
2 ай бұрын
@@fredambrose3118 Get outta here..😂Nimesema my opinion, hajawahi kutoa Video kama hii all his life. Hii ndip video nzuri kuliko zote. Get Itt?? 🤣🤣
@fredambrose3118
2 ай бұрын
@@m___ck799 move ur a*** b*** ww una akili kuliko huyo Mond???? Fanikiwa kwenye mishe zako huwa above the rest ndipo uanze kuwa judge waliokuzd hadi dhambi ila for the mean time just clapp it
@aishabakari8040
2 ай бұрын
Kali 🔥🔥
@YhnChengula
2 ай бұрын
simba umetisha broo
@hassaniyassin1686
2 ай бұрын
Tumeshaanza kuingia kwenye mfumoo😂
@jaluumtanke
2 ай бұрын
Hii video Nikubwa sana
@SandreAlhlwah-bv1cx
2 ай бұрын
Huyo ndo simbaaaa dagote ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@innocentbaleke7447
2 ай бұрын
Niatari
@TALLUBOY
2 ай бұрын
Alafu kwenye sini ya Kichina Juma kiduku sharobalo wa msanga Nimemuona Mumefanya vzl kumuita Sharobalo juma maana Amesaidia kuwavuta wachina Wenzake kwenye hi sine BIGUP SANA KWA BROTHER LION INTANATIONAL
@cchimodzi3858
2 ай бұрын
I think hii ndio video ghali zaidi kwenye historia ya Bongo Fleva
@yussufritzy7684
2 ай бұрын
Kaka sky, hii io inacheza cheza kwenye namba moja ktk uwekezaji,,, ni namba moja kk
@ilynpayne7491
2 ай бұрын
Komasava wimbo mkubwa sana jamaa ame fanya kaz ngumu
@geofreyhenry6345
2 ай бұрын
Hii ndi maana halisi ya kupeperusha bendera ya nchi yako, congratulations Diamond umetuheshimisha sana🎉🎉
@Kasyetaderrick
2 ай бұрын
Chief Kweli Hii ni simulizi za sauti...Unatenda Haki sana Kwenye Kazi zako..Hii analysis Iko sawa sana...Big mzee Kazi nzuri sana
@salumukatani03-u8b
2 ай бұрын
Safi sana sky🙏🙏
@StrongbowArrow2004
2 ай бұрын
Derulo anakwambia #komosava... dadeq we unasema nini Bob #komasava dude... watuliee🤣🤣🤣🤗🔥🔥🔥🔥 wakapate D mbili kwanza ndo waeleweE 😂😂😂😂😂
@indigomadibilla9599
2 ай бұрын
Kubali ukatae 🔥 🔥 🔥 🔥 mond
@EdwinJohn-vo8uf
2 ай бұрын
Diamond platnamz never disappoint
@burundianosammy8984
2 ай бұрын
haujui 🦁🦁👌👌👌
@raajbiggielegendary224
2 ай бұрын
Kilicho nifurahisha zaidi.. Kwenye hii collaboration ya kimataifa ime andaliwa na wazawa kianzia audio mpaka video Well done
@emojimakopakopa
2 ай бұрын
SNS MIMI NATABILI BET AU GRAMMY KWA FAMILIA YA WASAFI🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@alungaobuluu3626
2 ай бұрын
These was quick sky bigup
@ericklaura7511
2 ай бұрын
Sure thing
@GabbyRomnize
2 ай бұрын
Nch itaenda kuanguka Mr pimbiii uko wapii ?!😂😂😂😂😂
@hamidamussa-sy4fm
2 ай бұрын
Sns umechambua vizur na umemsampoti vya kutosha jamaaa yetu diamond platnumz hana mshindani kwa sasa Tanzania
@abdullahmapesa
2 ай бұрын
Sky ingine sehem umekoseya ni Johannesburg South African 🇿🇦🇿🇦
@Bobhov
2 ай бұрын
Amesema
@MeshiliTemba
2 ай бұрын
Achakukurupuka sikiliza vzuri
@abdullahmapesa
2 ай бұрын
@@MeshiliTemba kweli samahani basi 🤷♂️🙏
@shukranbanige9378
2 ай бұрын
Hatatiii sana
@caesar7745
2 ай бұрын
Wanamuziku wengi wa east Africa wanajua kuomba. But shida promotion ndiyo inakuwa nguvu. Inahitaji hela nyingi sana
@bonifacewanyonyi3555
2 ай бұрын
Hatari😂😂😂😂
@IssaTayari
2 ай бұрын
Haujui
@NadiaNadu-r3v
2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@hassanjpkee
2 ай бұрын
We, as fans, we appreciate your time😊
@carolsayo6409
2 ай бұрын
Keep up the good job
@fatumasaidi2592
2 ай бұрын
Wacheni dhana jamani kua eti ametengeneza vidéo kwa technologie ukweli diamond alikuepo hapa Paris na akidanya vidéo zake live na hizo nchi zone amekwenda kweli cc tunaoishi Paris tumefanikiwa kumuona jamani huyu jamaa hamumuwezi kwa kweli,il est vraiment courageux🇨🇵🇨🇵🇹🇿
@mettycodes5966
2 ай бұрын
Can i get likes if you do appreciate sns and diamond platinumz
@_salum.21
2 ай бұрын
Sky brother you’re the best
@msodokidasilva6739
2 ай бұрын
The best
@tadeonkonya1656
2 ай бұрын
We are going deep now. We are going global. Video ni kali sana.
@milazoomilazoo4494
2 ай бұрын
Daimondi ni mkaliii dunianii
@mrpeace8974
2 ай бұрын
Daaah nimeielewa sana hii ngoma
@JosephMabenga
2 ай бұрын
Video kali Sana sana😂❤😊
@KhudhaifyAbdallah
2 ай бұрын
huyu jamaaa kaka na kugundu nn nifanye
@derickdboy2207
2 ай бұрын
Mondi ni noma Sana
@nkunzurwandakatibu9694
2 ай бұрын
THIS VIDEO IS VERY EXPENSIVE
@ElishaZakaria-r8y
2 ай бұрын
Haujui😂 🔥🔥🔥🔥🎧
@RideReelsHub
2 ай бұрын
Umekosea bro.. Target ni Olympics..zinafanyika Paris😅
@flinchclassic1531
2 ай бұрын
Ndio mkome kumfananisha diamond na wasanii wasio eleweka huyu mtu ametuheshimisha sana inatakiwa apewe heshima yake
Пікірлер: 241