Simba Bado Kwa yanga hii 💚💛💚💚💛💚 mungu atujalie ulinzi Tim yetu
@HamisiMpatila
2 сағат бұрын
Alitaka kuleta mbwembwe 😂😂😂
@SadikiMohd-k5y
4 сағат бұрын
Simba hamna kitu kaka
@lukomanomaliki5442
3 сағат бұрын
Yanga kashazoea kumgonga mkewe.
@Farzanaokera
3 сағат бұрын
😢 refa alikuwa upande wa Simba na hapaswi kuwa na badge ya FIFA
@chrysanthushakaunga6560
Сағат бұрын
Yanga ametengeneza nafasi zakutosha alafu unafananisha timu moya na timu iliyojijenga
@SalvatoryMtunga
4 сағат бұрын
Wewe unayemlaumu camara uko vizuri kuwachanganya makolo.
@AkramIbrahim-m6x
3 сағат бұрын
Msijilaumu Lawama Zote Kwa Camara
@RBEhop
33 минут бұрын
Ile V.A.R ya azam ni lini itaanza kufanya kazi au ndo siasa mpaka kwenye mpira
@donimbena760
3 сағат бұрын
mm nashindwa kuelewa wa chambuzi wetu kweli waliwahi kucheza mpira hata shule mana wanacho ongea na mpira tofauti sana
@SefuAbedi-f8q
4 сағат бұрын
Hamna kipa Mnapa sifa zabure
@KudraJoseph
3 сағат бұрын
Simba Niwa bovu2
@benrweyemamu
3 сағат бұрын
wangecheza angani wangefungwa tu
@GOLDIANEDRICK-sm6xk
4 сағат бұрын
Angalia uwanja ulivyokuwa
@selemanmcharazo
3 сағат бұрын
Mangungu kavurugwa anamlaumu refa wakati alikuwa upande wao
@SilasJacob-z6v
3 сағат бұрын
Nanyie niwapuuzii2 kwani ule mpira siulikuwa tayali umetoka na mbona hamzizungumzii faulo za penart alizonyimwa simba
@Omarykibosoro
2 сағат бұрын
Hawa wachambuz nao sikuiz wanatafut kiki maan leo watakuambia hiv kesho wanakuambia iv kwahiyo hawapo kwenye mfumo lkn hao hao ukiwakuta wanachambua mpir wa ulaya wnaelez ukwel
@taseleli9181
2 сағат бұрын
Mpira ule ulitoka halikupaswa kuwa goli ukweli usemwe tu!
@HarunaOmari-e8o
3 сағат бұрын
Acheni sababu sikuhizi hakuna magoli ya bure
@SULEIMAN-l8v
3 сағат бұрын
HAMJUI MPIRA camara alifanya kitu sahihi kabisa ni bahati mbaya
@SevarinijrChitanda
2 сағат бұрын
😂😂
@dunstangeorge3263
2 сағат бұрын
Kosa alilofanya camara leo alilifanya pia Diara game ya 5-1 derby mpira wa faulo ulupigwa na chama diara akautoa ukawa corne mkandwaji akafunga
@saidmnenuka7822
Сағат бұрын
Walisema wanapunguza magoli walianza 5,2,1, leo washinde vp waandishi imeshindikana?
@suleimanmwenyemvua995
4 сағат бұрын
Hakuudondsha aliudaka umezidi nguvu siyo mpira ule tu kuna mwingine aliudaka ukagonga mwamba... Yanga ni 😊😊😊bora
@giliussiwila6517
3 сағат бұрын
Acheni ushabiki
@GenesisReuben-d4o
2 сағат бұрын
Asingeufuta pia mngeogea mengine
@JohnMbogo-c1n
4 сағат бұрын
Mmebaki kujadili kama majuha....mnasahau kama kila goli husababishwa na makosa na makosa ya mchezaji husababishwa na ubora wa timu au mchezaji mpinzani
Yanga walitawala mchezo na ndo maana walishinda sio bahati
@taseleli9181
2 сағат бұрын
Walitawala wapi
@ikulunimahalipatakatifu7642
4 сағат бұрын
SEHEMU YA MCHEZO BADO NI NAMBA MOJA WETU, BADO NI KIPA MUHIMU , SIMBA INAKUJA MDOGO MDOGO!!
@NgassaKiliba
Сағат бұрын
Jamaaaa anaulizwa maswali ya maana Yy anajibu upuuuzi tu Mm acha nimsubir #Hans
@nuruabdallahmed9495
3 сағат бұрын
Wachambuzi hamna akili. Kamara alisimama mbali na eneo mpira ulikuja. Eneo hilo ndipo ulikuwa ukuta wake. Kwahiyo alitokea mbali kuja kuokoa. Hamkucheza mpira nyie wachambuzi? Mbona hamsemi kitu kuhusu penalti zilibaniwa?
Kwanini akina Kibu ni miaka zaidi ya 3 awana huatari kwa wapinzani bado kila siku wananzishwa???? Chasambi vipiii?
@anithawidambe7543
4 сағат бұрын
KOCHA WA SIMBA KWANN HUWAPANGI MAKIPA WENGINE?MBONA KILA WAKATI ANAMNG'ANG'ANIA CAMARA? NA BENCHI LA UFUNDI CY MSAADA KABISA. HAWATOI USHAURI KWA KOCHA AU NI MBISHI?
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
3 сағат бұрын
Anataka amuige Diara
@taseleli9181
2 сағат бұрын
Amuige Diara kivipi nawe naweeee ,Diarra ni nani mpaka aigwe
@raymondswed7358
4 сағат бұрын
Ishukuruni mvua mbwa nyie...tunachoshukuru tumepiga tena kwenye Mshono 😂😂😂
@taseleli9181
2 сағат бұрын
Mbwaaa ni wewe Tena choko kwendaaa kwani ukitumia lugha ya kawaida unapungukiwa nini hata haya huoni utopolokwinyooo wewe
@raymondswed7358
4 сағат бұрын
Nyie MATEJA bado mnataka game na sisi au..tutaendelea kuwashenyeta hadi Gamondi aondoke mbwaaa nyieeee😂😂😂
@ibrahimiddy195
4 сағат бұрын
Shoga ww kaa kimya
@CharlesMasorwa
3 сағат бұрын
Wachezaji wanastahili pongezi nyingi sana. Hayo ni matokeo tu.
@CharlesMasorwa
2 сағат бұрын
Wakati mwingine Refa awe mwingine maana hii ni Mechi ya Pili Simba ikinyimwa Penalti .
@raymondswed7358
4 сағат бұрын
VIPI BADO IYO TAKATAKA YENU MNAIFANANISHA NA DIARRA?😂😂
@KudraJoseph
3 сағат бұрын
Ali Salim na manula wana mzidi kamala kiwango kwanza Leo Ame fanya makosa mengi2
@gaudencekalyalya3107
2 сағат бұрын
Kamala ni kipa sana, msimlaumu !
@Omarykibosoro
2 сағат бұрын
Wajinga hawa wachambuz hawa na mwijaku hawatofautiani
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx
4 сағат бұрын
Tusilaumiane Wala kutafuta makosa ya wachezaji ote wamecheza kitimu,Wacha wafulai nimdawao Simba tuendele kuongeza nguvu
@muddymuzungu4357
4 сағат бұрын
Hamna team kaka acha kujipa moyo Spider amewacost
@anithawidambe7543
4 сағат бұрын
REFA AMEWANYIMA SANA PENATI SIMBA. KIBU ALIKUWA ANAFANYIWA RAFU SANA LAKINI REFA ALIWABEBA YANGA. ANGALIENI MECHI YA MARUDIO.
@Abuu-gs1yi
3 сағат бұрын
tumewaPdidy tena
@selemanmcharazo
3 сағат бұрын
We hujui mpira refa we huoni Simba ndo kabebwa hujaangalia match umesimuliwa tu
@ndwiketecktv1960
3 сағат бұрын
Nenda mahakamani bro😂😂😂
@eng.geophreyt.mushenyera6445
3 сағат бұрын
Kweli....Simba inawachovu wengi, Shabalala, Mukwala,Kapombe kwisha kabisa, sijui kwa nini Chasambi anakaa bench? Matola hana impact yoyote simba
Пікірлер: 61