Hakika umejibu vyema, mungu hatakuacha kamwe, kwa upeo wa akili ya binadamu unaweza usitambue ukubwa wa kaz unayoifanya ila ni kubwa na yenya manufaa sana. Mungu akubariki na kukuimarisha zaidi.
@williamsonrutegesha738
6 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu katika kazi unayoifanya
@meshackjohntz8505
5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mwinjilist, machota, nabarikiwa kuona Mungu kajiinulia mtumishi wake anaye isimamia imani
@rewarddominic3165
5 жыл бұрын
meshack john Ndio Kwan hyo ni salaam yenye maana ya a man iwe juu yako
@joshuanyamaiswe4327
6 жыл бұрын
Nimefunguliwa swali ambalo lilinisumbua sana.
@deustutu1162
5 жыл бұрын
mtumishi ni vema kupokea Salam ya salaam alaykum kwa ss wakristo ama ss kuwasalimia walengwa wa Salam hyo
@innocentmachele2543
8 жыл бұрын
Mwinjilist Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazuri yenye uzima songa mbele kwani taji yako ni kubwa mbinguni
@InjiliyaMilele
8 жыл бұрын
Amen
@peterhaule8131
6 жыл бұрын
Amina
@ballohhopaschal1098
5 жыл бұрын
Barikiwa sana Machota
@juliusjuliuscharles4411
7 жыл бұрын
God bless you
@carolinetalam5832
5 жыл бұрын
Be blessed too
@klarachanga5141
5 жыл бұрын
ni nzuri mtumishi lakini naomba ufafanuzi wa 1 timotheo 4:1,2 maana linanichanganya
@sindabahabwoyaanacret660
4 жыл бұрын
No discussion for keeping the Sabbath Co's God said remember it and keep it holly
Пікірлер: 18