UFUGAJI WA BATA
Aina Bora Ya Bata, Banda Imara Na Kavu, Vyombo Pamoja Chakula Chenye Virutubisho Muhimu kwa Bata Kufuatana Na Rika La Bata hao,
AINA BORA ZA BATA
kuna aina nyingi za bata ila hutofaitiana ubora, Baadhi ya aina bora za bata ni zifuatazo:-
1- Bata aina ya Muscovy
Sifa za bata huyu:-
Dume
a) Hukua hadi kufikia urefu wa inch 34 (cm 84 ) kwa dume
b) Dume hufikisha uzito wa Kg 4.6 hadi 6.8
c) Dume mmoja huweza kupanda majike mengi kwa uwiano mzuri wa 1: 6~10
Jike
a) Jike hukua na kufikia urefu wa inch 25 (cm 64 )
b) Jike hufikisha uzito wa Kg 2.7 hadi 3.6
c) Jike hutaga mayai hadi I6 na anaatamia kwa siku 35 ( wiki 7 )
d) Jike anataga na kuatamia zaidi ya mara 3 kwa mwaka
2- Bata aina ya Pekin
Hii nia aina ya bata ambao asili yao ni huko China, ni bata wafugwao kwa lengo la kupata nyama na mayai ( Dual purpose )
Sifa za bata hao ni:-
a) Kutaga mayai zaidi ya 140 kwa mwaka
b) Huweza kufikisha uzito wa Kilo 2.5 wakiwa na umri wa wiki 7
c) Bata wanaouzwa bei kubwa hapa nchini
3- Bata aina ya Khaki campbell
Huyu bata chotara ambaye ni mchanganyiko wa bata aina ya Indian runner ambaye ni maarufu kwa utagaji na Ruel kagua maarufu kama bata wa nyama
Sifa za bata huyu ni:-
a) Hutaga kwa wastani wa mayai 280 hadi 300 kwa mwaka
b) Anafaa sana kufugwa kibiashara kwanii hutokeza nyama na mayai ( Dual purpose duck),
c) Huanza kutaga mapema miezi minne na anapoanza kutaga huwa tayari ameshafikisha Kilo 1.8
d) Hutaga mayai mfululizo mwaka mzima.
VITU MUHIMU KWA UFUGAJI WA BATA
Vitu muhimu kwa ufugaji wa bata ni:-
BANDA
1- Banda lenye kuweza kumkinga bata na hali zote katika mazingira yanayozunguka
2- Banda liwe kavu Ili kutoruhusu wadudu kuzaliana na kusambaza magonjwa
3- Litiwe dawa maalumu za kuua wadudu
4- Malalo ya badilishwe pale tu yanaponeka kuwa na unyevunyevu , maranda ya mbao hufaa zaidi na yawekwe mengi angalau kimo cha sm 18
4- Uzio ujengwe kuzunguka banda na itengwe sehemu ya kivuli kwa ajili ya kupumzika chakula na maji ndani ya uzio huo
UTENGENEZAJI NA UHIFADHI
Baada ya kupima vyakula hivi kwa usahihi chukua pipa, changanya vizuri kisha walishe bata kulingana na wingi wao na uhakikishe wanapata chakula cha kutosha.Vipimo hivi hutegemea wingi wa bata unaowafuga lakini hakikisha uwiano huo unazingatiwa. Baada ya kutengeneza chakula unaweza kuhifadhi katika mifuko na kuweka katika eneo lisilokuwa na unyevu.
KUATAMIA
Jinsi ilivyotofauti katika idadi ya utagaji wa mayai hivyo ndivyo uwezo wa kuatamia pia ulivyo. Bata Bukini weupe huatamia mayai 6 na wale wa rangi huatamia mayai 12
Ndege hawa huatamia kwa siku 29, huangua vifaranga kwa siku 3 na mara nyingi hutotoa mayai yote, si rahisi mayai kubaki bila kutotolewa au kuharibika.
Ufugaji wa bata bukini.Zijue faida za ufugaji wa bata bukini na ...
UFUGAJI BORA WA BATA BUKINI (GOOSE)
UFUGAJI BORA WA BATA BUKINI
Domestic Geese Duck (BATA BUKINI) in Tanzania
Mradi wa ufugaji bata bukini ulivyoleta tija kwa wakulima
UFUGAJI WA BATA BUKINI WENYE TIJA
Sifa za Bata Bukini
ufugaji bora mwanza (ubm) on Instagram: “BATA BUKINI ...
bata bukini in swahili
wauzaji wa bata
aina ya bata
ufugaji wa bata bukini pdf
bei ya bata mzinga
aina za bata wafugwao
faida za bata
Негізгі бет UFUGAJI WA BATA WA KISASA:|bata bukini,bata marradi,bata pekini,bata mzinga,bata black sweedish|
Пікірлер: 16