@@yasinomary2147ya shekh hz madhahib za sasa ni shida...zama wazee wetu walikua wakifunga pamoja...eri baada ya kuja radio na television ndo mwez umeanza kuonekana Saudia....zama watu wakisafr kwenda kuhij ,wakirud hufanya kuulzana 'arafa ilikua lini...kila mtu alfwatavhadith ya mtume....sasa hiz nya'ngau za sasa adabu hazna.zinajua kila kitu
Пікірлер: 19