MashaAllah sheikh Alhajj Dr Sulle Allah ampe maisha marefu ili wengi tu wapata mafundisho yake ilio ya pekee. Naipenda anavyo chambua moja baadà nyingi.
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv Endelea kutufuatilia hapa hapa
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Namusikiliza sheikh wangu alihaji dr suler sicoki umesoma baba kwakeeli miliposilimu ilinipa muda kutofautisha izo vitabo nimeelewa nikiwafata mahaziri na Quor an
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@bibieahmedseif5022
9 ай бұрын
Nashkur Mungu kw kukuwezesha Dr kutupa elimu ya bure International Students tunakufatilia sn pls Alhaj chambua aya kw upana wakee.. Allah akubarik sn badala ya 63 iwe 73 Insha Allah
@slimanshaz7311
3 жыл бұрын
Shukrani saaaaan ustaz wetu MUNGU akufaanikishei katika kazi zato
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@sienajacobs4012
3 жыл бұрын
Masha'Allah bi Farida wajina wa mdogo wangu 🥰🧕🥰
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah
@Mbumbuko
3 жыл бұрын
Alhaji Dr Sulle Allah akujaze elmu , upendo na upole na ucheshi
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv Endelea kutufuatilia hapa hapa
@hassamaimun9103
3 жыл бұрын
MASHAALLA tuna jifunza mengi kupitia Doctor sule Allah akupe umri thowil
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@youngcee995
3 жыл бұрын
Sheikh umeeleza vzr lakn Kuna mkangano kdg
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah doctor sule tunakwenda sambamba kwa ukweli uliyo fikisha safi kabisa
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@khalidyared-lz5xp
11 ай бұрын
Mashallah
@shabbymakapane1910
3 жыл бұрын
Mashaallah Shekhe Alhaji Dr Sule
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@anwarambar6141
2 жыл бұрын
Shekh Sule Allah akuzidishie ilmu, mwaga vitu, weka vitu hadharani,
@mukandamaakbar599
3 жыл бұрын
Masha'Allah shukran sheikh wetu
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@ivaniavianarodrigo7201
3 жыл бұрын
asante sana, zvp kwa kuniwekea huyu mwamba namkubali sana, kwa ajili ya, allah nipo maputo mozambiki, tayali nimesha sabscribe zamani kwa ajili ya, dr sule
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@kasalamrisho6702
2 жыл бұрын
Allah akulinde na hasadi za walimwengu Dr Sule
@bellbell9294
3 жыл бұрын
Shukraan sheikh jazakallah khaira
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@westonmbuba6421
3 жыл бұрын
Dr Sulle hapa umedanganya sana. Ama hujui ama umeongopa makusudi, hasa kuhusu injili ya Barnaba. Ninaanza kuwa na mashaka na tiba zako. Huenda nazo unatuingiza chaka.
@سالمالمسروي
3 жыл бұрын
Asaalmwalekm, mashaalah 😍🙏
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@yusuphswaibu8532
3 жыл бұрын
Safi Sana someone zuri
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@nakundwamkubwe7823
3 жыл бұрын
Mashallah Dr Sule Allah akuweke .
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@mathalaishamsi5455
3 жыл бұрын
Allah akujaalie umri mrefu na Afya njema ili upate kutufunza zaidi Sisi tunaokufatilia na kupenda kukusikiliza,na pia asanteni sana crew nzima kwa kutuezesha kuupata ujumbe barambara Mola awabariki awajaalieni rizki halali.....🤲
@kyleyael9482
3 жыл бұрын
Pro trick : you can watch series at Kaldrostream. I've been using them for watching lots of of movies recently.
@messiahben7257
3 жыл бұрын
@Kyle Yael definitely, have been watching on kaldrostream for since november myself :D
@dukecamilo2041
3 жыл бұрын
@Kyle Yael Definitely, I have been using kaldroStream for years myself =)
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@rachelevarist70
3 жыл бұрын
Nakupenda kwaajili ya ALLAH kwakufafanua vizuri
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Naninani kawambia waongezeye mapia na yesu mwenyewe anasema yaliyokuako ndiyo yatakuwako na yaaliyotendka ndio yatatandeka wala hakuna jambo jipia cini ya jua🤗🤗🤗
@gibrilndoriyobija8400
3 жыл бұрын
Shukran bi falida kwa gipindi kizuri
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@matanombaji3201
3 жыл бұрын
Maasha Allah..
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@bonifaceirungu5594
3 жыл бұрын
My friend huwezi kuupata uislamu ndani ya biblia tafadhali hata ukifanya theology
@thomaslandwhale
3 жыл бұрын
Assalam Aleikum warahamatullah wabarakatuh... nashukuru Alhamdulillah hofu kwenu.. Kuulizia tu kirefu cha "ZVP"...NAOMBA KUJUA TAFADHALI
@fatwimatzahrau2327
3 жыл бұрын
MashaLLAH
@abumuhidin6842
3 жыл бұрын
Mashallh
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah
@sabanirama9233
2 жыл бұрын
Maasha'Allah kila la heri.
@mohamedallytv9776
2 жыл бұрын
Masha allah
@sawdaasawdaa7903
2 жыл бұрын
Masha Allah huyo ndiyo ukweli kabisa vinaeleweka
@kichogomchule2800
3 жыл бұрын
aamini
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@PascalAjuang-ju2vg
Жыл бұрын
Bibilia ya injili ya Barnabas
@mohamedlacha6515
3 жыл бұрын
Quran ni agano la mwisho. Last revelation
@leilagennet4886
3 жыл бұрын
Mashal Allah dr sule kisomo kizuri sana Allah ibarik.
@adijaamur962
3 жыл бұрын
Mashaallaah
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Haina nguzo ,haina haki,haina ukweli ,haina dinini ya haki haina Mutume wa kweli ,haina utetezi sikuya kiyama😂😂😂😂
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Wangekupa maji sheikh wetu unaeleweka jamani Allah akulipe duniani na akheira kwa ufafanuzi ya iyo mcanganyo yawanadabu viherehere
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@MultiAcz
3 жыл бұрын
👍
@mdidiomari7351
3 жыл бұрын
masha Allah
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@abedkirway8668
3 жыл бұрын
Napenda mafunzo yako dr sule
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Spo caca bibilia imeteremushwa kwa nani ???? Sheikh wangu nakukubali sana kweli kwacambuzi imetoka wapi? Mbona dini mingi zamaagizo tofauti nabi ganiiiii???? 🤗🤗🤣😂😁😅😃
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@samzigwajuma7820
3 жыл бұрын
Huyu dr sule ana ziada ya ubongo namuelewaga sana
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@abrahammuhire5731
3 жыл бұрын
Asante sana
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@saumuseif9189
3 жыл бұрын
Yani mwenye bibilia mwenyew aweza asijue
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Kabisa
@goodytairo2672
Жыл бұрын
Ikiwa kitabu hicho unachosema sicho bac tuletee orijino ulicho nacho utuambie hichi ndio orijino mana naamini maneno ya mungu hayapotei hatakama viliandikwa upya unataka kuniambia hakuna aliyeweza kuficha kumbukumbu hata moja iyo ni uongo koroani yenyewe imeshuka miaka 500 baada ya kristo
@uvinza_stationery8
3 жыл бұрын
Duuu shekhe unahangaika na biblia unasahamu kazi ya kuuokoa uislamu kuelekea mahali pema peponi, wenzako wakristo saizi hawana muda wa kujadili tofauti ya biblia na kitabu Chenu cha quran, wao wanakazi ya kuzifua nyoyo za wakristo kuelekea siku hizi za mwisho
@hamoodalrawahy2026
3 жыл бұрын
ASALAAM ALAIKUM. NA SWALI LANGU NI NJE YA MADA. NAJUA KUA MAJINA YA KI ISLAAM YOTE YANA MAANA YAKE JEE KUFUPISHA JINA LA KI ISLAAM KAMA MOHAMMED. KUITWA MO AU SULEIMAN. KUITWA SULE AU ABDUL RAHMAN KUITWA RAMA INAKUAJE KI MAANA. ASANTE NAOMBA JIBU SHUKRAN JAZILAN
@gentillehassan3018
Жыл бұрын
❤❤❤🤲🙏🙏🙏
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Hawo njo wasomi wakufatwa we umeona wapi Mungu umoja kuabudu todauti sherehe tofauti nimusiba
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Punguza jazba
@hashimabdallah8637
3 жыл бұрын
Kwer dr sule wew ni mtafiti mkubwa nataman kujifunza zaid kwako
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Sahihi vimeunguzwa nawa rome ili pape wabadili ukweli wapate masilahi
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Naam shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@sefaniaslyvestertv1498
3 жыл бұрын
Njia ya mwongo fupi umesema Biblia ni kitabu kilicho potoshwa kwanini utoe ushahidi ndani ya Biblia iliyo haribiwa Mimi nilijua utsoma Taurat zaburi na injili halisi
@marushwaallynassor1937
3 жыл бұрын
Amesema kuna yaliyosahihi na kuna yaliyoharibiwa ndio maana alikupa ushahindi mwanzoni
@rachelevarist70
3 жыл бұрын
sefania hapo hujaelewa wapi? mbona amefafanua vizuri kua yapo sahihi nayapo yalio haribiwa sasa unatakiwa uulize yapi yalio kosewa ufahamishwe mbona yako wazi kabisa usiweke pamba masikio sikiliza vizuri nawewe upate challenge jifunze ndugu uongoke ubishi hautakusaidia utaangukia pabaya hama huko wazee wako ndo chanzo walikosa mwongozo wewe umeshakua inatakiwa uchanganue akili sio kufata mkumbo najua umeumia sana kusikiliza hayo maneno jikaze tu minakupongeza kwanza kwakusikiliza ingawa hujasikiliza vizuri
@hamisishabani4072
3 жыл бұрын
Sule mwaga elimu,wenye kutaka kuongoka kwa kuutaka ukweli na kuupenda ukweli wataongoka,na wasioupenda ukweli na huo ushahidi wa waziwazi kwa maandiko yaliyo wazi bila kificho.Basi wajitahidi wakutafute mkutane tena kwenye kituo hicho au chochote kile cha luninga waje na hoja za wazi na wao wa uweke uma watu kwa hoja ili tujue ukweli kama unavyoeleza hapo.Shukran sana sule.
@simaishariffoum9882
3 жыл бұрын
MashaAllah ungetuekea na namba zake
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
+255 676 517 751
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Bibila haina musingi nikupoteya kwendambele bila hupati muisilam akuelekeze waisilam wamwisho njo wameteulia Ata Allah kaaidi ataleta nab mupia ukikwenda kwa yesu anasema Israel itaondolea ufalme wa mungu wapewe taifa lingine amboa nj warabu na Allah kamuuaidi nabi Musa ataleta nabi mufano wake na atatoka katika ndugu zawa israel autabiri umeja atakua na kitabo ca luga moja dunia nzima na yesu kasema musikubali manabi wa uongo ambao watajitokeza kwajina langu ebu tujifikiriye wanani wanasema kwajina la yesu marakwamara na kasema watasalikilasiku sasa iyo ninini yakilasiku adhan
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@desderiushaule4264
9 ай бұрын
Acha uongo sulle, kama hivyo vitabu visingekuwapo wewe usinge vijua wala kuvitaja unaleta mafundisho ya upotoshaji kwasababu unapotaka kuzitetea hoja zako unazitumia Aya hizohizo ambazo zimo kwenye hivyo vitabu usivyo vijua viliko. Acha uongo sulle
@fadhilikawambwa5159
3 жыл бұрын
SWADAKTA
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Wanana watakua wote waisilam dunia nzima njomana wanafuta nakuaribu bibilia imawekwandani uongo
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Naam
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Yani vitabu tatu vyakwanza vimezulumiwa na kuaribia Allah akaleta quor an na kukirudisha kama mwanzo nayaliyopitikana yani ma sheikh MUKOKO SAFI SANA ILA WACUNGAJI WABISHI TU HAWANA ELIMU
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Sannah shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@mapelelekingan4506
3 жыл бұрын
Unaposema hii ni bandia tuonyeshe na original
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Nenda ukaulize vatikani makao maku ya pape njo kaulize uyo sisi Allah katujuzatu nakuturudishia upia
@manenoagrey1090
3 жыл бұрын
Ukiwa gizani huwezi kuielewa biblia kamwe
@marushwaallynassor1937
3 жыл бұрын
Naomba mwendelezo wa Hii mada
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Soon
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@zianangozi5460
3 жыл бұрын
mnaipost lini
@jbablon_simba_sc5315
2 жыл бұрын
Neno biblia mahana yake ni mkusanyiko wa vitabu
@KoomeNzima-lp4ql
11 ай бұрын
Uongo mtupu
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Yako mambo yamefutwa nini kawaruhusu kufuta????? 😂😂😂😂😂🤗🤗🤗🤗
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Ndio hapo
@husseinmahenge3176
3 жыл бұрын
IPO siku mtasema bwana yesu asifiwe
@yusufjoseph6094
3 жыл бұрын
Oeee mbona wewe hu hofu mungu urudishie watu pesa Sheikh
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Watu gani
@rashidkassimjuma4320
3 жыл бұрын
Watu wepi
@yusufjoseph6094
3 жыл бұрын
@@rashidkassimjuma4320uko Tz kweli wewe
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Bibilia haina nguzo
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mh
@johnpetro378
6 ай бұрын
You need to be holy spiritually to understand the holy Bible, otherwise you'll be speaking the physical message of the Bible with lack of internal spiritual knowledge
@rosemasoud4028
3 жыл бұрын
Kwanza mujuwe kuraani ilipunguzwa na kuzidishwa baadhi ya mambo ili iweze kusomeka vilevile haijitoshelezi bila ya hadidhi nayo hiyo ni feki waandishi walikuwa walevi tupelekesheni maamuma
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Hahaha
@mohamedimohamedi8933
3 жыл бұрын
do research about Islam sister
@anwarambar6141
2 жыл бұрын
toa ushahidi kama Quran imepunguzwa, tulia mupewe ukweli
@saumuseif9189
3 жыл бұрын
Ila huyu sule namuelewaga akiliake ina ziada
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Sannah shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@essaumpuma2981
3 жыл бұрын
Pumba tupu
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mchele upo wapi
@macrinajoseph1422
3 жыл бұрын
Unafanya kazi nzuri . Unajaribu kuichambua biblia. Je? Kwa. Uchambuzi. Wako. Kweli kuruani nisauti ya. Mungu? 2. Nikweli baada ya yesu Kuna. Nabii. Mwingine. ? Iweje yesu aongee. Hukumu. Ya. Ulimwengu. Na. Mwisho. Wa. Dunia? .kwanini ? Aliwachagua. Wanafunzi. 12. Nakuwaagiza. Waaneze injili duniani.kote ? Je. Kunasababu. Gani? Mungu. Kuleta. Sheria. Zingine kupitia .muhamadi? Zinazopingana. Na. Injili. Ya. Yesu? ? Je. Uharabuni. Kunahistoria. Yoyote. Ya mungu tangu. Agano. La .kale
@husseinharoub6972
2 жыл бұрын
ipo dada mfatilie vizuri utamuelewa
@dicksnlema2685
3 жыл бұрын
Ungelikuwa unasoma maandiko Kama yalivyo Kwa kukisoma kitabu chote ungejifunza mengi snaaaa hahahah
@fatmamucha4419
3 жыл бұрын
Ukweli ndio huo kutoka kwa Dr Sulle
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Asme nini nyinyi mwafata maandiko yauong uyo kakuzidi elimu anakuzidi kujua kua yesu si Mungu wewe ukiangalia vibaya utandoka ukijua yesu nj Mungu ndivyo aliyo kufunza pape
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Ico kitabo kimekusantika na utalamu washetani huwezi amini kua kimeja uongo na hasara
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Yesu mwenyewe kkaaca anatangaza kunawatu watadanganywa we njo hujaona jambo ilo ndani maneno yakweli ndani ya bibila nimacace mumewazingishia manabi mengi tu na mutakwenda kuulizwa yesu mwenyewe kasema patakuja kitabo ca shetani na paulo kasema mwenyewe peke yeye amefunilia yakwamba nimutume washetani ao hujana iyo maandiko haujafika ungali unatafuta tafuta kweli
@godfreymaebwa4657
3 жыл бұрын
Kwani ninyi mna korohan ngapi mbna zipo nyingi sana kwa hyo shetani kazi ake ni kupotosha biblia ni ile ya kitabu 66 tu acha kuleta mafundisho ya uongo ndo maana mnafundisha ety kuna majini wazur na wabaya majini ni malaika waliotenda dhambi sasa sijui kama kuna jini zuri na baya wakat wote wamelaaniwa na mungu chukueni biblia msome mpate maarifa
@benjaminlijongwa3715
3 жыл бұрын
MWAIPOPO AMESHATWAMBIA WEWE NI TAPELI MUONGO NA MWIZI TU. BIBLIA SIO NENO LA KISWAHILI MJINGA WEWE. UMEJIPA UDOCTA KUMBE TAPELI TU. UNAONGELEA CHRISTIAN THEOLOGY UMESOMA WAPI WEWE? ETI SEPTUGATIVATION ONGO SANA WEWE. TULIOSOMA CHRISTIAN THEOLOGY TUNAKUONA TAPELI UNAJITAFUNA TU MGANGA TAPELI WEWE
@godfreymaebwa4657
3 жыл бұрын
Acha kupotosha nyie hakuna mkijuacho nyie wenyewe kweny korohan yenu mnaambiwa muwaulize wayahudi wanacho kitabu je kitabu ni kipi si biblia. Ninyi mnapotosha someni biblia mpate maarifa
@amoschacha2885
3 жыл бұрын
Acha dawa iwaingia kama kanisani mnafichwa fichwa Mambo Leo kweupeee wape somo wataelewa tu
@rashidkassimjuma4320
3 жыл бұрын
Ipo siku mtaelewa usipanik sana
@godfreymaebwa4657
3 жыл бұрын
@@rashidkassimjuma4320 mnatumainia majini dini enu ya kufundisha majini uliona wapi
@charlesjoseph2092
3 жыл бұрын
Kutafuta uislam kwa Biblia nisawa na kutafuta Bikra ndadi hodi ya wazazi Uislam kaja nao muhamadi 61:9 hilo halipingiki ndii maana hata Muhamadi anakili mwenyewe anasema nimeamlishwa niwe wa kwanza kwa wanao silimu
@ramadhanilukambuzi9760
3 жыл бұрын
Amekuwa wa kwanza kwa wanaosilimu kwa sababu watu wengi waliacha dini ya uislamu ya aliyokuja nayo baba yetu Adamu wakawa makafiri kwahiyo alipo kuja Mohamed wakasilimu na kurudi ktk Uislamu!
@charlesjoseph2092
3 жыл бұрын
@@ramadhanilukambuzi9760 Acha uongo kaka toa andiko na sio maneno yako Shida waislam hua mnapinga na mambo yapo wazi Toa Aya kama kama watu walikua waislam muongozo wao nini?
@charlesjoseph2092
3 жыл бұрын
@@ramadhanilukambuzi9760 uislam ni dini mpya Haikuwapo Nyakati za za kale soma Vitabu Tatizo lenu nyie mmekalia kuswali na huku vitabu hamsomi
@ramadhanilukambuzi9760
3 жыл бұрын
@@charlesjoseph2092 Kitabu kipi cha kale kutoka kwa mwenyezi mungu kinazungumzia Uislamu haukuwepo?
@ramadhanilukambuzi9760
3 жыл бұрын
@@charlesjoseph2092 Tatizo nyie mnasoma vitabu vilivyoandikwa na watu waliokuwa na lengo la kuua Uislamu ulimwenguni ndiyo maana Sheikh Sulle kakwambia Biblia ni kitabu kisishokuwa mtume kwa maana hiyo kiliandikwa na watu!
@michaelthobias9967
3 жыл бұрын
Biblia haijawahi ongelea hizo mambo zenu acheni shobo na vitabu vya watu
@abrahamhassan351
3 жыл бұрын
Acha jazba kijana hali ndio hiyo Yesu si mungu zuga tu ilikuwa ya wanzungu hehehe imekuingia Boya wewe
@ayubumoha6313
3 жыл бұрын
Mashaallah
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@omaryhussen1025
3 жыл бұрын
Mashaallah
@zvpOnlineTv
3 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Пікірлер: 172