Hatunahaja ya vyombo vya habari dini imekamilika na watu wasio fahamu karibun watafahamu
@fizomc8811
7 ай бұрын
Aaaminaa
@scolasticakaduma5143
3 ай бұрын
Wengi wanaamini dini ya Kiislamu ni ya kigahidi kwa sababu ilipatikana kwa upanga na siyo kwa hiari.
@rayaali7551
Күн бұрын
DAAH. WALLAAHI. NNAKUONEA HURUMA NA KUJIONEA HURUMA NAFSI YANGU ILA NAMUOMBA MWENYEEZI MUNGU ATUONGOWE NA KUTUONGOZA KATIKA NJIA ILIYO NYOOKA YAARABY ATUJAALIE MWISHO MWEMA YAARABY WEWE UNAEJIITA IPM PAMOJA NA MIMI NA KWASOOTE YAARABY ATUSWAMEHE WAJA WAKE DAAH NDUGU IPM RUDII KWA MUUMBA WAKO RUDIII. UMUOMBE MSAMAHA RUDII BADO UHAI RUDIIIIII. WACHANA NA TAMAA ZA KISHETAANI TAMAA ZA KIDUNIAA. NAJUWA KUWA SHETAANI AMEKUZIDI NGUVU INSHAALLAAH. YAARABY AMLAANI SHEYTAANI HUYU AKUWACHIE URUDI KWA MOLA WAKO
@Erik-kj5no
7 ай бұрын
Hujajibu vizuri Wala so swala la maandiko
@ramadhanitwahili6837
10 ай бұрын
Aslam aleykum kutoka kwenda fisab lilah sio kua watu nikutoka kwenda kumtangaza mungu ila nikweli kunawatu wanalitumia vibaya kwa makusudi mungu amekataza kua watu nizambi kubwa sana,ila ikitokea kunazuruma mungu ameturusu kuipambania haki nasio kwenda kua watu wasio na hatia,upo sahii kabisa.kwasababu mungu amesema dini ya kislam imekamilika na kitabu kimekamilika.
@elizabethmwarjaset2468
8 ай бұрын
Nlvo kufklia kabla ya kukusklza nikajkuta nlkua nakuwazia vbaya bure Allah akujaalie uwe na mwisho mwema
@sabihaibrahim143
10 ай бұрын
kutoka kuipigania dini sio kwa upanga tu watu wanatoka na kupiga kambi mji mwengine kuitangaza hio dini kupigania ni kuilingania na watu wanatoka fiisabililah wanakaa sehemu miezi kuilingania dini wale wanaojiripua ni tofauti na walinganiaji
@andrewnyamwaro5174
4 ай бұрын
Wongo. Ugaidi ni kitendo cha jihad. Jihad ni mapambano ya imani.
@sabihaibrahim143
10 ай бұрын
ugaidi ni neno lililotengenezwa na makafiri na kulipachika katika uislamu ili kuichafua dini
@coolpara8192
9 ай бұрын
Aya hii unayo isema inafanya kazi hadi dunia itakwisha na wale wanaojivisha mabomu wala hawatumii aya za qur-an katika matendo yao
@sergiokibala5459
7 ай бұрын
Mwizi mkubwa. Umeniiba hela. Usipotubu na kuokoka, utatapika ulivyo iba. Dini ya kweli aiko kwenye dini bali ni kwa matendo ya haki na kweli katika kristo. Wewe ni mwongo sawa sawa na waislamu wenzako.
@jacksonkabaata6011
6 ай бұрын
Alikuibia nini ndugu
@sergiokibala5459
6 ай бұрын
Umuulize atakuambia mwenyewe
@sabihaibrahim143
10 ай бұрын
magaidi kuna watu wa kila aina tena hadi wazungu na sio waislamu wanafanya hayo ili waonekane waislamu tunawajua wazungu ndo wafadhili wakubwa wa hayo makundi
@allysalimu338
7 ай бұрын
Masha Allah,, jamaa yetu Allah akuomgoze siku moja uje katika haki
Пікірлер: 19