Nyumba nzuei lakin hutaki mawasiliano nakutafuta toka jana tumechat mwisho hujibu lolote na nimekuomba uje arusha unijengeeee
@HilaliusStephano
2 күн бұрын
Wewe una Jenga
@imanmohamed2215
3 ай бұрын
MashaAllah TabarakkahAllah
@fanni-ck6do
8 ай бұрын
gharama iko vizuri MashaALLAH
@jobnsemwa8082
8 ай бұрын
Mimi naiona ni nyumba nzuri sana hizo gharama ya ujenzi mpaka kupaua naona Nikama material haitatosha vile.
@nassercurtis9579
7 ай бұрын
Jaribu kuelewa tu hapo ni mpaka kupaua tu, bado finishing, ukijumlisha mpaka finishing nzuri inaweza kufika ml 12
@victormd5811
8 ай бұрын
Finishing yake (plasta, milango, grills, sakaf ya kawaida, RANGI) inagarim sh. Ngapi ?
@Mazoea
5 ай бұрын
Ni kweli Watu wanadhania kujenga wanatishana sana kuusu Kujenga
@SoomaSoma-t8x
Жыл бұрын
Nimeippenda kaka naomba unitafute jamani❤
@irenemsangya8949
2 ай бұрын
Mpo wapi?
@Oman-z7j
2 ай бұрын
Naomba Namba yako
@janesuma-is4wc
4 ай бұрын
Boss hii nyumba mpaka finishing ukiacha umeme na maji kuingia ila system yote mpaka rangi vigae vifaa vya chooni yaan kila kitu ina garimu shilingi ngapi naomba nijibu bos
@SalumMajorhood
Ай бұрын
Kk nikirudi nitakutafuta namba zako ninazo bro
@AshaIdrisa-y6r
Ай бұрын
Nice
@JoyceBenja-dw6et
Жыл бұрын
Upo vizuriiiiii
@AbubakariShomari-zp7ef
2 ай бұрын
Inavutia saana sie tuliokuwa hatujaanza wallah tunatoshwa saana katika kujenga
@Gilbert-w9e
3 ай бұрын
izi gharama za ujenzi unazungumzia maeneo ya wapi?
@AminaMgenzi
9 ай бұрын
Mtu akitaka mumjengee mkoani mnaeza?
@MwakibackBonge-xb4tr
8 ай бұрын
Kaká unapatikana wap nipe namba
@DenisOligi
Ай бұрын
Ramani pamoja na ujenzi nipo musoma mjini finishing ni pesa ngapi
@MatildaMakawia
5 ай бұрын
Asante sana
@agnesnnko8872
8 ай бұрын
Aisee hongeraaa ni kweli zinavujisha mvua?
@salehekisebengo8554
5 ай бұрын
Mimi nataka ramani isimple tu but isiyo ya hiden roof ,vyumba 3
@mantahamad3755
4 ай бұрын
Daah kilakitu kinawezekana🙏
@francomwacha2262
8 ай бұрын
Mhh! Aisee mbona garama nafuu sana!
@saumuabdallah198
Ай бұрын
we kaka hem jibu coment bac... penda kuckiliza watu pia so unapost post tu
@RehemaSaidi-z6f
10 ай бұрын
❤❤❤
@welcomeorange7357
Жыл бұрын
Mambo swafiii kwa kweli
@godfreyobadiah7892
7 ай бұрын
Bado hujasema, na bado utasema tu, hiyo finishing je , ya muonekano huo kwa hiyo ela ?
@ReginaMeitanavi
3 ай бұрын
Mpo wapi ila vp kuvuja
@ddfatma4281
7 ай бұрын
Apo kwenye kupauw bajenty ya bati mbona naumiya natamani
@AmosiMaroda
11 ай бұрын
Naweza kujuwa galama
@kamandashupavu206
8 ай бұрын
Nikikupa pesa hiyo unanipa nyumba?
@henryselemani
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@michaelbenedict8831
Жыл бұрын
Iyo 4m inavyumba vingap??
@Oliveria-ti6oo
3 ай бұрын
Nawza pata ramani ya hii nyumba
@everinrobert6539
5 ай бұрын
Kila nikilala lazma niicheki hii nyumba dahh ni nzuri eti
@nahumnkwama239
Ай бұрын
,njoo tujenge wote
@NickoMapikipik
Жыл бұрын
Mambo mazuri
@DanierKisumo
3 ай бұрын
nikweli
@gracemariki4841
6 ай бұрын
Mimi nataka finishing ya nyumba yangu nitafute
@loningoletayo8453
8 ай бұрын
Hiyo bati ni very quality geji 28 ni bati nziri
@dianamartin-rb9vj
Жыл бұрын
Upo wapi
@زيتونتنزانيا
Жыл бұрын
Lakini nyumba hiz zinavuja sana
@JanethMathias
Жыл бұрын
Hmmm sio kweli
@زيتونتنزانيا
Жыл бұрын
@@JanethMathias kila alie jenga analia invuja haya tuambie usha jenga kama hii huku uwarabuni nikama tawi la mti zinavuja balaa
@hellendaniel3809
Жыл бұрын
Sio kwelii khaaaaa.
@Mpakauseme
Жыл бұрын
@@زيتونتنزانيا Kuvuja kwa nyumba ya jinsi hiyo utegemea na fundi , so rekebisha sentence yako si kila nyumba ya aina hiyo inavuja
@tinapaskalPaskali
11 ай бұрын
3:23
@SarahShao-jw1up
8 ай бұрын
Hiv hizi ni gharama za kweli?
@Happy-tx7p
8 ай бұрын
Tatizo ujibu sms wsp
@getuswai8109
Жыл бұрын
Eneo la ukubwa ngani
@mwanahamisiabdul5067
5 ай бұрын
Nikitaka chumba kimojaa kikubwa na kipana naweza garamika matofali mangapi
@RUKIAKONDO-i1y
8 ай бұрын
Utusaidie tutakuunga mkono kwenye bando uwezo hatuna
@khadijahali4837
Жыл бұрын
Nataka unijengee km hy
@Marytony-rc4cp
Жыл бұрын
Niko Mwanza naomba unijengee
@AminaMgenzi
9 ай бұрын
Ata mm pia
@BrysonMsabila
3 ай бұрын
nataka nijenge 2026
@ndotokumalija
Жыл бұрын
Naomba nitumie michoro wake wa chn
@floridajoseph9787
3 ай бұрын
Nikitaka iwe na paaa la kuinuka
@nahumnkwama239
Ай бұрын
, Nilikuwa napitia comment 80% walio comment ni Wadada aisee 😅😅😅 kwani masela hatutaki nyumba au?
Пікірлер: 77