UJUE UNDANI wa HAMZA ALIYEJITOA MUHANGA KUWAPIGA RISASI ASKARI POLISI KISHA NAYE KUUAWA kwa RISASI..
Jina linalosomeka katika usajili wa simu yake ya mkononi alioufanya kwa alama za vidole, ni Hamza Hassan Mohammed na inaonesha kwamba alizaliwa Novemba 11, 1991.
Ni huyu ndiye aliyesababisha taharuki kubwa na umwagaji damu kwa askari watatu wa Jeshi la Polisi na mmoja wa Kampuni ya SGA huku wengine sita wakijeruhiwa.
Wakati bado tukio hilo lililotikisa kila kona ya nchi likiendelea kuwa gumzo kwenye vichwa vya wengi, Global TV imekuandalia wasifu mfupi wa Hamza, kulingana na jinsi watu mbalimbali walivyokuwa wanamjua, kabla hajatekeleza tukio hilo la kutisha, na huu ni undani wake ...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750 910), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Негізгі бет UJUE UNDANI wa HAMZA ALIYEJITOA MUHANGA KUWAPIGA RISASI ASKARI POLISI KISHA NAYE KUUAWA kwa RISASI..
Пікірлер: 736