sio topic simple ivoo kweny tor ni 1st ya darkweb tu kuna system kama whoinx na tails ambazo ndo middle darksites
@abubakarymwaimu2963
2 жыл бұрын
🔥
@SilkCracker
11 ай бұрын
bro darkweb sio kwamba huwezi ku hack unaweza ku access ila tofauti ya darkweb browser kwqnz browser ya dark like tor ina sifa yaku hide sessions token ambazo hacker hutumia tools kama burp na owas- to capture sessions so inselekeza traficc handshake kweny auto dynamic deleted .....
@cholozagaro1325
2 жыл бұрын
This is true #takeinswahili
@vannytz500
2 жыл бұрын
Napenda sauti na uwezo wako wakuongea
@patrickdenis6874
2 жыл бұрын
Thanks sanaa
@dinnoboy6232
2 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌
@sulejmandj7582
6 ай бұрын
Kazi nzuri kak
@mpembathedon6063
2 жыл бұрын
Kaka mbona mimi nipo kwenye dark wab halfu na chati na watu
@xmaramoja362
2 жыл бұрын
umeeleweka sana Mr kaka
@martinefredy2138
2 жыл бұрын
Blood, nataka jua tofauti ya horse power na cc, and , history ya horse power mpaka ikafika kwenye magari
@templerfx4212
2 жыл бұрын
me naenda kutafuta nikikamatwa nakutaja ww snash
@williammweta5539
2 жыл бұрын
Good presentation
@moyloy7252
Жыл бұрын
sizan kama watu wengi wameelewa ila kila kitu umeeka wazi ila umewazunguka atakae tumia sura ya pichaaa ataingia na atakamatwa chap tyuu
@labanmacheki1812
2 жыл бұрын
Hujui, umekariri bro, endelea kujifukiza tu
@todaysnews7603
2 жыл бұрын
Ona uyu.. 😂😂😂😂😂
@syresforex860
2 жыл бұрын
@@todaysnews7603 kama msenge eehh
@babaloisethan7010
2 жыл бұрын
Bangee
@mayallahamis1256
2 жыл бұрын
Punguza kidogo speed Kaka mengne NI yakujifunza taratibu jitahid angalau upunguze speed nibkali mno hiyo yako
@andrewmanaku
2 жыл бұрын
NAOMBA REVIEW YA RANGE ROVER 2022
@kibekran10
2 жыл бұрын
HUSHPAPPY
@ReyzDon
7 ай бұрын
Kuhack inawezekana sio kama haiwezeni ndio maana taarifa Kila siku zina vuja
@bennypeter3029
2 жыл бұрын
nakubal ndugu yetu nmekusoma
@bensonpeter4692
2 жыл бұрын
Wajina wajina
@bensonpeter4692
2 жыл бұрын
Wajina wajina
@abuu_tv
2 жыл бұрын
Good ila shallow sana..
@feisarzakaria308
2 жыл бұрын
Peugeout 3008gt Review plz
@dedetv4888
2 жыл бұрын
Dark wep It is not a dark network web is a well-known business network🐒
@bensonzabron5751
2 жыл бұрын
Kaka snash ee hvi movie Huwa una download aga wap bro nisaidie napata shda knoma yani
@rungumajohn8790
2 жыл бұрын
Na kwanini huvaa mask na gloves wanapokuwa wanatumia
@besttiktokvideos5448
2 жыл бұрын
Ili wasijulikane. Maana electronic devices nyingi zina camera ya mbele(selfie camera). FBI hutumia hio camera kwenye simu yako au laptop kukuchunguza.
@rungumajohn8790
2 жыл бұрын
@@besttiktokvideos5448 oooh kumbe thankx
@rungumajohn8790
2 жыл бұрын
@@besttiktokvideos5448 na gloves ni kwa ajili ya nn
@ahmadmpinzire5649
2 жыл бұрын
Glooves ni kwa ajil ya fingerprint kuzificha,
@rungumajohn8790
2 жыл бұрын
@@ahmadmpinzire5649emu usichoke kunijuza plz kwani kwenye pc kuna sehemu ya fingerprints
@emanuelmwaipaja2062
2 жыл бұрын
Kwa ambao hamjaona rudi kwenye video alafu pause kwenye dakika 3:01 pale kuna notification inatokea pale juu sijaielewa vile
@mrrobotitz
2 жыл бұрын
Ni mfano wa fbi kama wataona huenda unacho fanya kwenye hizo site notification ya kuonekana
@ot8396
Жыл бұрын
Fbi
@farhanixhaka2840
2 жыл бұрын
nd hivo mm simo ukidakwa imekula kwako
@sospeterpius6345
2 жыл бұрын
Naomba review movie ya captain marvel
@salhacker7728
2 жыл бұрын
Ip iyo
@janjazone7190
2 жыл бұрын
Saf sana ila hii umeiongelea kwa udogo sana mzee hii ni mambo ingine kabisa kuna zaid ya hayo ulosemaa sema kwa sababu ni dark web acha ibak dark web
@salhacker7728
2 жыл бұрын
Naomba maelezo ya kutosha
@G_M22
2 жыл бұрын
Tupe ww bas kama unajua
@realchendex
2 жыл бұрын
Oy unaijua vizur nipe maelezo ya kutosha
@peterpetter6964
2 жыл бұрын
As watakugunduaj kam unaitumia wakt ni websit za siri mbn bdo unatchangnya
@asotv8521
2 жыл бұрын
Mzeee FANYA utuleteee link za fixed matches
@meshacksamson1008
2 жыл бұрын
Tatizo lenu mmedanganywa sana
@bensonpeter4692
2 жыл бұрын
Hakunaga fixed matches washikaji...mtakua lini???
@Jb40_
Жыл бұрын
💻🖊️💎
@farhanixhaka2840
2 жыл бұрын
nilichungulia humo siku moja oya sio poa wahuni wakisoma saver tu umekwisha
@G_M22
2 жыл бұрын
Naomba link
@jayticle
2 жыл бұрын
Kizazi
@swahiliinspirations7953
2 жыл бұрын
Kidogo wewe umenielewesha sio wengine fujo nyingi
@davidernestemmanuel701
Жыл бұрын
Vip kaka kwani huo mtandao wa DRK WEB unamilikiwa na Google ama?
@ElishaMwashiuya-rz4dn
Жыл бұрын
Sio lahis kuingia, kama unavo zan wew LAZMA ujue paswed zake, nikama Mimi napotaka kutoa ela kwenye sm LAZMA nijue paswd, yan namba, yasl, bila namba Yao ya sli huwez fanya chochote bro, Huku ni hatal ukiingia Yan ata MB zako, utakazo tumia Kwa wiki ni sawa na pesa ulio tafuta maisha yako yote umli huo, mana video moja tu, million 23 ya kibongo, huko kunaamatukio yasiofaa hapa dunian
@danielumbu1898
2 жыл бұрын
Namn yak pata hiz key
@mrmeshack
2 жыл бұрын
We jamaaa mkariiiii
@paulamos3913
2 жыл бұрын
Hapo lazma nitambe kwa masela
@farhanixhaka2840
2 жыл бұрын
anaehitaj nitampa link staon kil kitu ila sio pow kidogo wahuni wengi ukiw mpya tu wanakuelewa km ni newcam
@saidomary647
2 жыл бұрын
Naomba link
@farhanixhaka2840
2 жыл бұрын
hio apo tayari ila usinitaje 😂😂😂😂😂 nend huko ukajionee ila kaz kwak ndugu
@mtabeagusti4553
2 жыл бұрын
nitumie
@mpembathedon6063
2 жыл бұрын
@@farhanixhaka2840 nyoooooooh mbon linki haipo
@yunyun799
2 жыл бұрын
@@mpembathedon6063 😂😂😂
@jumachanewstrends6899
2 жыл бұрын
Mimi bro nahitaji kupitiaa Darkweb nipateee njisi ya kununua Game za michezo ya kubetiii nawapatajeee brooo naomba huo mchongo
@leonardkambona3608
2 жыл бұрын
Vepe
@djjohn255tz9
9 ай бұрын
inbox lakn ni hatari sanaa zaid ya unavoomba link
@DanielAgustin-v6c
27 күн бұрын
niaje boss vp tunaweza kuchat kdg@@djjohn255tz9
@deondile8905
Жыл бұрын
Kama unahitaji links za dark web nnazo
@johnrobert4965
Жыл бұрын
Mimi nahitaji
@kelvincalvin1456
Жыл бұрын
kaka una link tup bas
@mustaphaiddy5809
Жыл бұрын
Nahitaj
@jumachanewstrends6899
2 жыл бұрын
NAOMBENI LINK YA DARKWEB YA WAUZAJI WA GAME ZA BETTING YAANI WAUZA MECHI MAANA NIMEINGIA LAKINI LINK YAKE SIIONIII
@johallay3978
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/uIFmqIaNnIWiqo4
@ediboutros5464
2 жыл бұрын
FBI LOOOOOLZ
@jimaxtrading9513
2 жыл бұрын
Kwaio ukiwa na tor unaweza kuangalia porn bila vpn?
@herikaniugu
2 жыл бұрын
Yap
@barakajoseph4815
2 жыл бұрын
Àta ukiw n lain ya airtel haihitaj vpn unaangalia tu
@barakajoseph4815
2 жыл бұрын
Àta ukiw n lain yà airtel unaangalia tu bila vpn
@Bullah_tz
2 жыл бұрын
*Sasa snash huu mtandao jamal professor wa wasafi tv amesha uelezea we ndo umeiga huko*
yaan snash mdogo sana huyu huwez mlinganisha na jamal
@Anitajoseph792
2 жыл бұрын
@@Bullah_tz fuatilia yule mpinga Kristu anaandikiwa huyu anaandika mwenyewe ....Yule anafanya kitu akiwa na upande wake na huwezi kuwa profesa kama badala ya kujifunza kuwa na free mind ww tyr una upande. Jamal mdogo sana kwa Snash hata na wewe kuwa na open mind
Пікірлер: 131