Mungu nimwema awatie nguvu familia yote Aminaaa 🙏🏻
@ikupangalla7716
2 жыл бұрын
Pole sana Askofu,Bwana wetu Yesu Kristo akufariji
@mwanyongamama4407
2 жыл бұрын
Mungu yupo Atawawezesha kupona mioyo Mtashangaa poleni sana Mtumishi wa Mungu Aliyehai.
@adriannebatakanwa6904
2 жыл бұрын
Pole sana Bishop Yona. Jicho lako limeondoka. Mungu Akutie nguvu. Mungu Aitie nguvu familia nzima, kanisa, Kanisa la Mungu kote ulikotembea ukitumika.
@lumuliasibwene886
9 ай бұрын
Pole baba Askofu , 33:28 Bwana Yesu awe faraja
@annaboniface7082
2 жыл бұрын
Pole Sana baba Mungu mwema akupe nguvu ya kusimama imara ktk kipindi hiki kigumu.
@hermenegildarwechungura707
2 жыл бұрын
Mungu awape faraja yake.,Apumzike kwa amani.
@victoriamaige2862
Жыл бұрын
Ubarikiwe mch kwa kujali ni wachungaji wachache sn wenye upendo wa kweli kwa wake zao
@user-pc7ld6ml9d
7 ай бұрын
Pole sana baba mungu aku fariji
@anamsangi2666
2 жыл бұрын
Pole bishop Tina,MUNGU AZIDI KUWAFARIJI na familia yako na kuwatia nguvu ameen
@mamashanitimetv5378
2 жыл бұрын
Bwana akutie nguvu Kaka yangu Bishop Yona pamoja na watoto na familia kwa ujumla.
@andulilembwile6271
2 жыл бұрын
Poleni saaaaana kwa Msiba mkubwa wa Mke wa mtumishi wa Mungu Mzee wetu mwana Injili Askofu Yona Suleiman Mungu awatienguvu awafariji saaaaana saaaaana 2 thesalonike 3 : 3, Lakini Bwana ni Mwaminifu, atakayewafanya Imara na kuwalinda na yule Mwovu.
@ndavadumayai4250
2 жыл бұрын
Pole sana Bishop Mungu akutie nguvu
@ahadimwakaniemba8401
2 жыл бұрын
Pole baba yetu, Mungu akutie nguvu tu.
@nsiamasawe4578
Жыл бұрын
Pole sana baba na watoto Mungu wa mbinguni awafariji.
@sophiamakani6133
2 жыл бұрын
Pole sana Bishop Mwenyezi Mungu akutie nguvu
@chestinakidenya8880
2 жыл бұрын
Pole sana Mungu awatie nguvu sana
@fausitinanyamtegera203
2 жыл бұрын
Mungu awape faraja kwa msiba huu mzito.
@jimmundakega9480
2 жыл бұрын
Pole Sana mchungaji!
@kimarioedifesta4161
2 жыл бұрын
Pole sana mtumishi
@marykiwoi7821
2 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu sana na upate faraja za kutosha
@steramdolo1216
2 жыл бұрын
pole sana
@franaelisumari5108
2 жыл бұрын
Mungu azidi kuwafariji wapendwa.
@kimarioedifesta4161
2 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu
@marymremi1051
2 жыл бұрын
Pole sana mchungaji wangu wewe ndiyo ulipanda wokovu ndani yangu na mpaka Leo Mungu amenisimamisha ktk Imani Mungu wa mbinguni akupe matumaini mapya na neema yake ikuwezeshe kusonga mbele tukijua mama yetu. Yuko mbinguni na sisi tunatarajia kufika huko .Mungu akutunze amen
@zachariajuma6634
2 жыл бұрын
Pole sana Bishop Bwana Yesu akutie nguvu na farxja
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Pole na Wewe pia
@agnesnangela2689
2 жыл бұрын
Pole sna mtumishi wa Mungu
@angelinamayombo5511
Жыл бұрын
Nigonge nisigonge,gongaaaa,niseme nisiseme semaaaaaa,pole Sana mtumishi
@cydrahope5251
2 жыл бұрын
Pole sana mtu wa Mungu
@dorkasjohn688
2 жыл бұрын
Nilichojifunza kutoka kwako mchungaji ni UPENDO wa hali ya juu sana.. yote hayo chanzo ni upendo 💕🤝
@dorkasjohn688
2 жыл бұрын
Ombi langu Kwa Mungu akukumbuke akumbuke moyo wako wa upendo,pia akutie nguvu ushuhuda wako umenifundisha kitu
@dativadaud4300
2 жыл бұрын
Pole sana
@jasirimjasirimedia7940
2 жыл бұрын
Yesu ifariji familia hii
@maswamills3161
2 жыл бұрын
Poleni sana.
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Jamani Kisukari kwa Watumishi ni kingi
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
Kisukari inasababishwa na nn
@nellymsigwa6997
2 жыл бұрын
MUNGU akutie nguvu mtumishi
@maryjohn5134
2 жыл бұрын
Mwendo ameumaliza,.imani ameilinda. ,ipo cku tutaonana tena tukifika mbinguni. ,.,
Пікірлер: 39