Assalam alaikum natumai muko wazima wa afya na alokuwa anaumwa mungu amjalie Shifaa.nimeachia kazi mpya ya kukemea uzalilishaji ili kusudi kukemea jambo ilo la uzalilishaji kwasababu linatuasiri sana ivo nimeona nitoe ujumbe kwa jamiii ili kukemea uzalilishaji sikiliza kwa makini maneno haya pia nakukumbusha usisahau subscribe ,like,share,comment ili kupata kaswida mpya kutoka kwa ukhty asha.
- Күн бұрын
ukhty asha aiyunga mkono serikali kukemea uzalilishaji sikiliza kwa makini maneno haya
- Рет қаралды 584
Пікірлер: 9