Thafadhali naomba uniambie hii mm nimeota pakq.wawili.wa.kijivu wamekuja na.kuqngukq singing kwangu na wakafa
@ptvtanzaniaonline6673
16 күн бұрын
Duuuh piga simu namba ipo hapo
@RukiaSuleiman-f3r
17 күн бұрын
Nimeota paka wawili wamekufa shigon kwangu
@user-gd2wf1sy8c
12 күн бұрын
Mm nimeota paka wa brown ywanifatulia kila mahali nikiruka juu ywaruka yaani hataki kuniacha na niliona msichana fulani akiwa na huyo paka..so sijui nia yao ilikua nn
@user-tv6ii7pc4z
Ай бұрын
Nimeota nimepambana na paka nimemupasuwa kati kati
@JacklinAyubu
10 күн бұрын
Bwana yesu asifiwe mm nimeota paka wakijivu ana tushambulia miguun nikawa na kemea kwajina la yesu paka anaongea kwasauti ya mwanamke eti ngoja niwaonyeshe hawa watu akawa anatupiga aka nikwarua ila sio sna nikamkemea nikashutuka nipo na kemea usiku 3 -35 usiku
@ptvtanzaniaonline6673
10 күн бұрын
Piga simu namba ipo hapo
@shakiraissa2517
2 ай бұрын
Nimeota napambana na paka mjamzito na huyo paka hua anapenda sana kuja kwenye maeneo yngu ya biashara nilimuota yupo chumban kwangu juu ya kabati nilianza kumtoa kwa mti kule juu ya kabati akachukia akanirukia alitaka kuniparua mkono nikamsukuma hakuwahi kuniparua nikaamka😢 nisaidie nn maana yake.
@ptvtanzaniaonline6673
2 ай бұрын
Piga simu namba ipo hapo
@shilongo944
4 ай бұрын
Na ni mara ya pili mara wa kwanza ni mweusi but hakunifikia alikuwa anataka kuniuma kidole
@rayansaldivar2796
Ай бұрын
Mimi niota paka mweusi akinishambulia nyuma ya mgongo.
@ptvtanzaniaonline6673
Ай бұрын
Piga simu namba ipo hapo
@ChristinaNyaisa
2 ай бұрын
Mi nliota nashambuliwa na paka mweusi mikononi nikaomba akapukutika hadi akapotea
@user-md2fr7vg2r
6 ай бұрын
Nafaa nifanye aje nisaidike juu nimeshambuliwa usiku.
@LelaSadiq-z8y
5 ай бұрын
Niliota napigana na paka mweupe😮
@user-kj7om3gi8q
5 ай бұрын
Niliota nimeona paka ameingia kwang kutokea darini akabeba hela mezani kwa mdomo nikawa namfukuza ila nikawa nashindwa maana nilifundwa fungwa na nguo had mikono nikawa namfukuza ila akawa anaondoka na hela kuelekea darin, nn maana yake
@hanancabdi6531
2 ай бұрын
Niliota paka wa kijani akininyonya damu
@hanancabdi6531
2 ай бұрын
Grey
@ptvtanzaniaonline6673
2 ай бұрын
Piga simu namba ipo hapo
@shilongo944
4 ай бұрын
Niliota nikishambuliwa na paka wa kijivu na aliniuma kwa mdomo maake ni nn tafadhali
@ptvtanzaniaonline6673
4 ай бұрын
Piga simu namba ipo hapo
@shilongo944
4 ай бұрын
@@ptvtanzaniaonline6673 Poa nitakupigia
@frankmchomvu3585
4 ай бұрын
Umeshambuliwa na Roho za mauti
@KihenguKihengu-jp6ef
Ай бұрын
Mm nimeota paka amenishambulia mkono wa kulia kwenye kiganja na kwenye paji la uso
Пікірлер: 24