Mwanaume ht ukimheshimu vp ndo anazidi kukunynyasa ht sijui huwa wanataka nn mmmm
@stevstephano950
5 жыл бұрын
Wenny Barny mmmmmh
@jacksonmathayo6510
5 жыл бұрын
Hamna kitu Kama icho wewe maybe tatizo ni wewe
@rosemassawe6101
5 жыл бұрын
Acha tuuuu
@martindeogratius6547
5 жыл бұрын
Inategemea ni mwanaume gani huyo Dada yangu .
@mallyajoyce1
5 жыл бұрын
This is wahooo
@merryn4891
5 жыл бұрын
❤💙❤ u tira
@rashidmtumwa7643
5 жыл бұрын
Sema ww tira una haribu kipnd bn m2 anaongea ww unachezea sim ndonn sas si dhalau izo
@elizabethmatanyanga46
5 жыл бұрын
kweli ni mwehu rita
@mayahhajih2636
5 жыл бұрын
No huyo tira alikuwa anasoma comments bhana Sio kuchezea sim bhana angalien vizur
@famitoissanawanda6295
5 жыл бұрын
Tira umejipanga vilivyo
@meddeck
5 жыл бұрын
I beg to differ on women being pragmatic lovers. Women are very emotional, definitely not pragmatic i.e. reasonal. Women want dream relationships, not practical at all. I am a woman so I know.
@jiwahassan
5 жыл бұрын
Upo Sahihi Dada. Womens are very emotional na huchunguza vitu kidogo kidogo kwa muda ili apende kweli. Vinginevyo huwenda akatamani MALI au Muonekano tu haraka. Ila ktk future plan huzingatia mengi kama kipaumbele. Utofauti wa kijinsia NI MKUBWA BAINA yetu hivyo ndio maana Tunaleta Hii elimu na sehemu A ya hiyo interview nimeelezea KWA UREFU hilo. Ila kama kuna Sehemu UNAHITAJI kuniuliza zaidi tuma meseji namba yangu ni 0713 807 734 Jiwa Hassan.
@nusaebahkeis6774
5 жыл бұрын
@@jiwahassan tukufate whata app
@imeldakadege2838
5 жыл бұрын
Aiseeee kabisaaa unakuta ww hujawahi kukipata
@sylviemutwale9527
5 жыл бұрын
Napenda sana iki kipindi
@martindeogratius6547
5 жыл бұрын
Pls Tira naomba uzifungue video tuwe tuna download kwa faida ya wengine pia walio vijijini pls fanya hivyo.
@thexoshowtira
5 жыл бұрын
Sawa naifanyia kazi then I will get back to u
@martindeogratius6547
5 жыл бұрын
Thanks my sister Tira may God be with u.
@caylakhamcbaby846
4 жыл бұрын
@@thexoshowtira kuna kipind cha leo plzz cha mwanasaikologia Jorge Boniface
@elizagreen8098
5 жыл бұрын
Mkinyenyekewa ndo mnazidishaga ujinga wenu, yaani mimi mdomo ndo siwezi acha kwa kweli.
@majvjbbvhv9499
4 жыл бұрын
Haaa haaaa
@امينهعلي-ض5ث
2 жыл бұрын
Umbali ndio unapunguza mpenzi mara nyingi. Sasa hizo nikusudi ili ukae nyumbani
@mariamsokoro7983
5 жыл бұрын
😘😘😘😘😘
@elizabethmatanyanga46
5 жыл бұрын
mependa haya maongezi
@p.kasongot979
5 жыл бұрын
Asante sana kaka ubarikiwe
@rosenaadolfu99
5 жыл бұрын
Huu sio mda wa kubembelezana hao wanaume ni pasua kichwa tu wakafie mbali huko kwanza wamekwisha laaniwa hao.
@alphasjoseph7542
5 жыл бұрын
Rosena Adolfu,Hao wanaume unaosema wamelaaniwa ndiyo unatarajia Siku moja uolewe nao na kuzaa nao,dah!!!
@kennyseleman4623
3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@bennycaleb5583
3 жыл бұрын
Duh umekosewa na yupi huyo jamani😥
@landrinebagalwa5919
5 жыл бұрын
Mungu nipe mume anaye akili na kujuwa mapenzi
@stevstephano950
5 жыл бұрын
Landrine Mukala utapata u kalibu kuja
@landrinebagalwa5919
5 жыл бұрын
Amina
@stevstephano950
5 жыл бұрын
Landrine Mukala yakupasa kuamin kwanza thn utampat but uwe mtulivu
@hajivuai3454
5 жыл бұрын
mimi nipo jamani
@hajivuai3454
5 жыл бұрын
nibip +971528093653
@annaupendo4768
5 жыл бұрын
Kwa vimoji sikweli anaweza kumtumia mama yake dada yake kaka yake rafiki yake hio sio njia sahihi yakuwaza anakuchiti sikubaliani na hiro.😳😳😳
@rachelobedy8512
5 жыл бұрын
Anna Upendo kabisa, wakati mwingine tuna vitu tunaona status au kuweka then unawekea hivyo vi emoj. nami sikubaliani naye🙉🙉🙉
@julkakbar2290
5 жыл бұрын
Real guys?
@francinekabwe1211
5 жыл бұрын
Sasa kaka hata kama una mfanyia mwenzawako vyote hivyo na yeye abadiriki mtu afanyeje sasa?
@joleenmasha
4 жыл бұрын
Kabwe hapo sasa umeongea kabisa
@yusrakamili6401
5 жыл бұрын
Nasikiliza kimyakimya mSomo mazir
@wennybarny168
5 жыл бұрын
Kaka mm binafsi sijawahi kukutana na mwanaume mwenye kauli nzuri. Kila mwanaume yuko very harsh yani daaaah hakunaga lugha laini ya upendo, never.
@stevstephano950
5 жыл бұрын
Wenny Barny poleeeee
@stevstephano950
5 жыл бұрын
Wenny Barny mwenye kaur nzur u njian
@amanimanase642
5 жыл бұрын
Wenny Barny karibu kwangu mtt mzr ntafte whatsap 0777033660
@hajivuai3454
4 жыл бұрын
pole sana ila tupo hujabahatika tu
@stellachikando207
5 жыл бұрын
Nimejifunza kitu hapo
@khdijaahmed8458
5 жыл бұрын
❤❤❤
@ruthnjuguna5476
5 жыл бұрын
Wow,
@zachariajorammwawaye1314
5 жыл бұрын
Duh
@lovemarianmnuria4097
3 жыл бұрын
Nikweli urafiki huyu wa 3 ni shida sana
@RickChazy
5 жыл бұрын
💣💣🙏
@kalistusauzebi5707
5 жыл бұрын
Sam taime wewe dada unabowa unamanagani sas kuiweka hiyo namba yako ukitafutwa unaliiiinga mtu anakwambi anashida na mkunga mndngeleko hata
@aishabakari6426
5 жыл бұрын
Nisaidie nmbr yako anty tira kma hutojali
@monnyselly2317
5 жыл бұрын
Mafundisho mazuri
@alicejoe450
5 жыл бұрын
Huyo dada kaniuzi sana mwenzie anaongea ye yuko bize na sim
@albinishirima6981
5 жыл бұрын
Asante kwa elimu na ushauri mzuri
@salomejacob4920
5 жыл бұрын
tunafanya yote mazuri kaka. ndo wanalala. nje
@خسنموس
5 жыл бұрын
Tira hassani umeolewa??
@catenzeki678
5 жыл бұрын
Kila la kheri dada Tira.Unaonekane mpole n mtulivu.Nina imani utakua mke na mama bora
@خسنموس
5 жыл бұрын
@@catenzeki678 Nampenda tira ni mpole Sana ana anafaa kuwa mke
@catenzeki678
5 жыл бұрын
@Mussa Hassan ndio ivo sasa kaka kakwambia ana mchumba labda urushe ndoano kwengine
@rashidmtumwa7643
5 жыл бұрын
Sema ww tira una haribu kipnd bn m2 anaongea ww unachezea sim ndonn sas si dhalau izo
@rashidmtumwa7643
5 жыл бұрын
Sawa lkn inakuwa syo pcha nzur Kwa sbb m2 anasimulia unamkata my dear sister mbaya iyo
@rashidmtumwa7643
5 жыл бұрын
Sis 2na kipend kipnd chak ujue
@violetjozey4425
5 жыл бұрын
She's not a good presenter,she has no manners...I can't even dare to touch my phone when someone is talking to me...
Пікірлер: 98