Sheikh, kutoka na hizi hadith za Mtume alehiswalatu wasalaam, tuna takiwa kuisoma sura yote au baadhi ya ayah za sura? Wakati gani ndio ina pendekezwa kusoma?
@maryamzdelights1352
10 ай бұрын
Ukiweza kusoma sura yote ni nzur zaid,
@mohamedikunchi7165
11 ай бұрын
Kwahiyo marehemu nimfanyie nini thawabu zimfikie?
@fauzproduction
11 ай бұрын
Swadaqatul jaariya kama kujenga msikiti
@maryamzdelights1352
10 ай бұрын
Mtolee sadaka kwa wingi n kithirisha kumuombea dua,ukiweza mfanyie sadaka yenye kuendelea,km kuchimba kisima o kujenga masjid au kuchangia chochote katika hayo
Пікірлер: 15