Inawezekana mwili wako haupo sawa nipigie nitakupa maelekezo ufanye mwenyewe,we upo wapi?
@user-hf4pb7wi1j
6 ай бұрын
Niko buja Bujumbura nimefarijika jazaka llahu haira
@HajrahRamadan
2 ай бұрын
Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,shehe jana nilifanya maombi kupitia salamu Kala mirabirahimu 818shehe nimepata mtihani baada ya kumaliza kitu kikanibana kwenye moyo kukatokea mgongoni ndani nusu saa nikajitahidi kuomba ndio kikaachia leo nitasoma 1479 inshaallah biidhini lahi,
@user-np1bf6me4u
Ай бұрын
Na pia nenda hospitali ndugu hiyo itakuwa ni ulcer ao tumia omeprazole 40 table kila siku asubuhi kabla ya kula chochote utanishukuru
Пікірлер: 34