ASKARI WA KVZ ALIYEDAIWA KUPOTEA AMEONEKANA AKIWA AMESHAFARIKI DUNIA
Askari wa Kikosi cha Valantia (KVZ) SGT HAJI MACHANO MOHAMED ambaye inasemekana alipotea akiwa katika Mafunzo ya Uongozi (Afisa Cadet) tokea Augost 8, 2024 ameonekana jana akiwa ameshafariki dunia.
Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP. DANIEL SHILLAH huko Tunguu Makao Makuu ya Polisi ya Mkoa huo amesema mwili wa Marehemu umeonekana Septemba 26,2024 majira ya saa 10.00 jioni katika msitu ulio karibu na kambi ya Chuo cha mafunzo ya Kijeshi huko Dunga katika Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
INSERT SACP. DANIEL SHILLAH KAMANDA WA POLISI MKOA WA KUSINI UNGUJA …………………………………
Kamanda SHILLAH amesema Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkemia Mkuu linaendelea kufanya uchunguzi wa Tukio hilo ili kubaini ababu ya kifo cha Askari huyo na hatimae kuendelea na hatua nyengine za kisheria.
INSERT SACP. DANIEL SHILLAH KAMANDA WA POLISI MKOA WA KUSINI UNGUJA ………………
Негізгі бет UKWELI WA KUSHTUSHA KUHUSU ASKARI AONEKANA AKIWA AMESHAFARIKI. ZANZIBAR
Пікірлер: 16