Na je,mtoto yatima ninwandani ya ndoa ama pia wa nje ya ndoa ni yatima anahaki kusadiwa kiisilamu
@aishaddddhh6272
4 жыл бұрын
Asalam aleikum shekhe nilikuwa naomba kuuliza hiv mkiwa unazungua na mpenz wako mambo ya muhimu ndan ya mwez wa Ramadhani haliyakuwa wote mmefunga inaswihi au haramu
@pamojaaccount522
4 жыл бұрын
ilhaam hio namba ulotuma niyashekhe ama vp
@allyselemani947
4 жыл бұрын
Sheikh nauliza kuhusu mtu ukiwa ndani ya swaumu ukichokonoa sikio kwa ajili ya kutoa uchafu kwa kutumia pamba au kitu kingine chochote tofauti na kidole swamu yangu itaswihi?
@francinensavyimana5601
4 жыл бұрын
Assalam alykum sheikh,mimi swali langu nauliza ukifunga ndoa kiisilamu waweza kwenda selekali kufunga ile ndoa ili eti ucunge ndoa yako?yafa ao ni haramu?
@hasheemcommotion5388
4 жыл бұрын
assalam alaykum nilkuw naomba namba ya watsapp pili naomba uliza ndoto nyevu ya mchana yaharibu funga??
@siriyangu4724
4 жыл бұрын
Mashaallah maswali na majibu mazury shukran sheikh wetu
@asiamohamede3952
4 жыл бұрын
Subhanallah ya sheikh, darasa.zako zinatufunza mengi ya sheik
@susanwere9931
Жыл бұрын
Dawa za kuzuia hedhi zinaweza sababisha cancer ya kizazi
@fatimahilal7405
4 жыл бұрын
As aleykum mimi naomba kuuliza kwamba ukiwa unatokwa na chochote kwenye utupu ya faa kufunga ramadhani na kuswali
@suleesulee3835
4 жыл бұрын
Fatma hio hairuhusiwee mpka umalize siku zakoo
@mwanaishahussein2635
4 жыл бұрын
Na je Msikiti ulioko sehemu kama hiyo waweza kutoa mchango kwa niaba ya Msikiti huo?
@faizabaishe5172
4 жыл бұрын
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh
@osmanmuhidin9182
4 жыл бұрын
Ustadh hii uliza ujibiwe ni saa gapi kila siku maana lazima tujuwe
@salmaalkyumi2270
4 жыл бұрын
2 pm
@omarjuma458
4 жыл бұрын
Asalamu. Alaykum. Mm. Nauliza. ikiwa. Mtu. Ameshika. Glas ya maji. ikomkononi. Lkn. Anaazakunywa. Anaskia. Azana. Yalemaja. Ayamalize. Au. Akatishe. Asinyw. Na. Saumu. Yake. Itakua. imesihi. Akifunga. Au. Haijasihi. Lazima. Ailipe
@sophiamohammed7532
4 жыл бұрын
asalam alaykum mtu anafanya kazi za ndani nje ya nchi yake vipi zakatulfitr
@fadyanassor6934
4 жыл бұрын
asalam alykum niko na swali lkini uko mteja
@ismailmustafamuhammad9141
4 жыл бұрын
Saala ya taraweh naweza nikasali raka chini ya izo nane tunazo sali kisha nikamaliziya na witr
@asswiddiqwatamaaman979
4 жыл бұрын
Mimi napenda kuuliza ayah ya mwisho Allah kuteremsha kwa mtume ilikuwa ni ayah gani hususani ilikuwa inaongelea nn hasa? Jaazakallahu khairan.
@faridabdalla4457
4 жыл бұрын
Nice
@omyguy3066
4 жыл бұрын
Alyauma akmaltu lakum diinakum..... aya inazungumzia kuhusu dini kukamilishwa.
@asswiddiqwatamaaman979
4 жыл бұрын
@@omyguy3066 baada ya hii kuna moja ya mwisho baada ya hii,leo nimekukamilishieni rehma yangu dini imekamilika,baada ya mtume alipowauliza je sijafikisha amana kwenu,wakajibu umefikisha ya rasulullah, baada ya hapo sasa ndipo Allah subhannahu wataalah akamshushia ayah ya mwisho ndio hiyo nilokuwa naulizia.
Asalam aleykum mm swali langu kwamfano umeolewa alafu mukosane nayule mume muwembalimbali kwa miaka kama mitano je huyu mke aweza olewa tena mana hayupo kwa mume napia hajapewa talaka itakuwaje hapa
@joharizahor6275
4 жыл бұрын
Asalam alaykum shekh naomba kujua hili Mimi ninatumia njia ya kuzuia uzazi sasa ikitokea nimefanya kazi nyingi nikachoka basi damu hutoka jee hii inakuaje kwenye swaum na swala zangu jee yahesabika ni hedhi au ugonjwa?maana hukaa wiki nikaiona lakini si ambayo inaweza kuharubu nguo.
@maulidali7603
4 жыл бұрын
Asalamualeikum naomba nambayako ya whatsapp nataka nikuulize mambo fulani
@biabumwaruwa3795
4 жыл бұрын
Asalaam alykum ustadh,swali Ni mamangu Ni marehemu na alishindwa kufunga ramadhan tatu nitawezaje kumlipia au Kuna njia gani nyengine yakumfanyia aondokane na adhabu
@IzudinAlwyDin
4 жыл бұрын
Utamtolea mchele kila ramadhani kilo 15 kwahio ramadhani 3 ni kilo 45 utawapa mskini
@biabumwaruwa3795
4 жыл бұрын
Insha Allah ,asante
@zahranalharras1543
4 жыл бұрын
Asalamu aleikum mimi sherkh nauliza mimi nimefanya tendo la ndoa usiku wa Ramadhani nikalala nikawa sijaoga janaba mpaka alfajiri jee nitakuwa na funga siku hiyo
@hamidamohd5091
4 жыл бұрын
A alaykum shekhe mi nauliza swali langu hili unaweeza omba dua kwenye sijda katoka sala ya faradh
@aminramadhan5189
4 жыл бұрын
Asalam aleikum mi swali langu ni ikiwa huswali na unafunga hukmu yake ni nini
@zuhurasaid3267
4 жыл бұрын
Asalam aleikum sheikh nauliza hivi, je mume agunduwe mke wake anamfanyia shirki je yafaa amuache ama aende kuishi naye
@sarahsinaida760
4 жыл бұрын
Assalam aleykum sheikh...langu swali ni kama twaweza kupata video za taraweeh ili tufatilie hasa kwa watu kama sisi tuliojiunga na dini na hatujui kuiswali taraweeh.
@aminamwinyi4427
4 жыл бұрын
Asalam alikum, jee kusoma qurani wa kuruka ruka , yani kama sura zingine hunijui uache
@TeamKRX
4 жыл бұрын
salamalykum shekhe sasa kama mi nataka zungumza na wee masala ya siri nifanye nn
@mohdnassor148
4 жыл бұрын
Sheikh mimi naomba kukuuliza kwa mfano mimi ni imamu inafaa kusalisha nikiwa nimevaa musk
@faridabdalla4457
4 жыл бұрын
Yes
@husseinshabhy6006
4 жыл бұрын
Asaalam Aleikum Sheikh wajibu wa wazazi kwenye ndoa ni ipi? Yafaa kukuelekeza mwanamke wa kuoa au wewe mwenyewe waweza amua maanake mimi nilislimu mwaka 2017 ihali wazazi wangu ni Wakristo naomba jbu kwa hlo...?
@omyguy3066
4 жыл бұрын
Salaam aleykum sheikh. Mimi nimezowea kiswali qiyamu llayl kila siku. Sasa nataka kuswali taraweh na witr kabisa, je itakua makosa kuswali qiyamu llayl baada nishaswali witr kwenye taraweh? Shukran jazakallahu kheir
@fadyanassor6934
4 жыл бұрын
asalam alykum ustadh mbona simu yako hupatikani
@ashuahmed8625
4 жыл бұрын
ASALAM ALEIKUM WARAHMATU LLAHI WABARAKATU..MIMI SHEIKH NAULIZA..MTU AMEFANYA UZINIFU..BAADA YA MWEZI MOJA NA WIKI 2..YULE BIBI ALIYEFANYA NAE UZINIFU ALIPATA MIMBA..BAADA YA KUJULIKANA KWA HIYO MIMBA..WALIKUBALIANA KUOWANA KWA KIPINDI HICHO..HATA MIEZI 2 HAIJA TIMIA NDIO WAKAFUNGA NDOA..SASA NAULIZA HUYU MTOTO ATAKUWA NI WA HALALI AMA WAHARAMU..
@faridabdalla4457
4 жыл бұрын
Mtoto Yuko nje ya ndoa
@ashuahmed8625
4 жыл бұрын
Asalam aleikum..shukran Farid Abdallah..lakin hili sual namuliza sheikh iIzudyn..nahitaji jawabu kutoka kwake..tafadhal
@reymfinanga8262
4 жыл бұрын
Assalamu alaykum Mimi naomba kujua naweza kuunganisha swala ya adhuhuri na laasiri kwa pamoja?
@ismailhassan5102
4 жыл бұрын
Asalam alyekum mm nahitaj kujua mm iv ukiwa unamchumba hlf ktk mfungo huu w ramadhan anawez kukusaidia angalia nikiw n xhida n nk mbal n wazz
@aishaseif2324
4 жыл бұрын
Asalam Alaykum shekh
@zuhuramwavyoni1988
4 жыл бұрын
Asalaam alaikum sheiik nauliza ,baada ya miaka 10 ya baba kutekeza wanae sasa nilazima yeye atoe idhini ya kuolewa
@hashimmhashim2663
4 жыл бұрын
Mtu haswali malanti wala ramadhani lakini hufunga j hukmu ya swaum yake ni vp
@zawadecharo619
4 жыл бұрын
Kama umesilimu halifu haujui kutawaza
@shaadenshaduni7755
4 жыл бұрын
Tafuta mwislam yuko karibu nawe mwambie akufundishe insha Allah
@faridabdalla4457
4 жыл бұрын
Jifunze
@khadeejsalem5631
4 жыл бұрын
KZitem pia iko jinsi ya kutawadha
@zawadecharo619
4 жыл бұрын
@@khadeejsalem5631o
@asswiddiqwatamaaman979
4 жыл бұрын
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatuh.
@shaadenshaduni7755
4 жыл бұрын
Sheikh nifanyeje ili niwe na imani niwe na Khofu kabisaaa ya kisawasaw ?
@barkerashid3096
4 жыл бұрын
Nana Nana Ata Mimi hapa Nina tatizo
@zawadecharo619
4 жыл бұрын
Assalamu aleikum mm nauliza kama una alsa waezakufuga
@zawadecharo619
4 жыл бұрын
Sawa
@mohamednasser8728
4 жыл бұрын
Asalam alaikum mm nauliza shekhe kama unahaki ya za watu unamatarajio ya kulipa lakini hujapata je yafaa kumpa mtu pesa ya futali
@ashuramuhamed7660
4 жыл бұрын
Asalm alkm
@ashuramuhamed7660
4 жыл бұрын
Mie nimempelekea pesa Kwa ajili ya kufuturisha mayatima lakini niliempelekea kanambia weshanunua futari lakini ataziwwka sikukuu he nitapata fashila apo
@dottomatata9315
4 жыл бұрын
Aslam alaykum, Mimi mtanzania nauliza kama mtu ameumia amefungwa hogo he atachukua vipi udhu?
Пікірлер: 80