Barikiwa mno mno neno Moja tu nimelitaka kwa BWANA nikae nyumbani mwake siku zote za maisha yangu ya ukikaa nyumbani mwake Kuna amani ya kudumu amen amen
@noahnyundo6268
7 ай бұрын
Nimebarikiwa sana na hz nyimbo Mungu aendelee kuikuza kwaya yetu na kuwatunza waimbaji wa kwaya hiii hakika nimebarikiwa sana
Пікірлер: 2