Yani nikiangalia haya maandamano napata hofu ya Mungu!! Wachungaji wetu msichoke kutuchunga na kutupa mafundisho ya kumjua kristo!! Mungu awatangulie
@raylaurent4389
4 жыл бұрын
Viva my Catholic Church.. Hakika hili n kanisa LA Kristo mwenyewee
@georgelutobola7422
3 жыл бұрын
Jamn mungu awasadie wote tusiwe km mtumixhi aliyepewa taranta 1 na tajir, naye akasafiri kwenda nchi ya mbali..... Math 25:14...
@theresiakawinzi739
4 жыл бұрын
Maaskofu wa tz tuokoeni kwa maombi.naona muna ushirikiano mwema.God bless tz.
@petroniamagera6866
4 жыл бұрын
Raha sana kuwa mkatoliki jaman,,,hakika ni kanisa moja la mitume💃💃💃
@marthauisso5803
3 жыл бұрын
Yaan raha hadi machozi yananitoka
@omoshspeakmouth4371
4 жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki wote wakatoliki wenzangu toka tz mimi mkatoliki damu Kenya
@martinmiston4403
4 жыл бұрын
Umetakaswa kweli safi sana kanisa katoliki najivunia kuwa kwenye kanisa la kweli la Kristo. Bwana wajalie wachungaji wako kuchunga kondoo wako.
@lennysalny3671
2 жыл бұрын
Tanzanian Catholic choirs always spiritually blessing us and bringing us in a prayer mood. May God bless all humanity through your angelic voices.
@Klein233
Жыл бұрын
I agree 👍
@josphatbayyo1926
3 жыл бұрын
Itoshe tu kusema, " Kanisa ni moja tu, Takatifu katoliki na la mitume" fullstop.
@aloycmassawe8613
3 жыл бұрын
Kabisa
@linahsemindu4261
3 жыл бұрын
@@aloycmassawe8613 🙏🙏
@gloryamasi6597
4 жыл бұрын
hakika kuna raha kumtumikia Mungu amewaweka jaman kwa ajili ya kazi yake mmezeeka na kazi ya mwenye Mbingu na nchi nafurah hakika kuwaona sichoki kuwaangalia
@julianabura4312
3 жыл бұрын
Umetakaswa ukonakundi chunga kondoo Ameeen
@shukuruantipas8712
4 жыл бұрын
Asante Mungu kwa zawadi hii ya kipekee
@candimroso5962
4 жыл бұрын
Mungu wajalie afya njema maaskofu wetu,mapadre wetu pia masista waweze kueneza utume wao Kama inavyopendeza pichan.
@adrienneake1297
3 жыл бұрын
Catholique pour la vie merci seigneur
@user-zy3sj6wu8h
4 жыл бұрын
Shalom, luar biasa kalau yang parade ini semua Imam (Pater).
@raymondmushi3310
4 жыл бұрын
Mungu awabariki na kuwalinda maaskofu wetu siku zote na kuwaimarisha ktk utume wao
@mylifeforchrist8446
4 жыл бұрын
Hamna kitu kitanifanya niache kumtumikia Mungu wangu,, Kuna raha kumbwa kwenye uu utumishi, hadi machozi ya raha
@patriciahkiio9692
3 жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@marymuthoni1551
4 жыл бұрын
Wao!!!! Mungu ni mwema kila wakati
@phyillicenyambura5543
3 жыл бұрын
Na kila wakati MUNGU ni mwema, Amin!!
@fedilesfediles2183
4 жыл бұрын
Ilike Catholics choir ever smart God bless my church 🙏🙏🙏🙏🙏
@irenekunzekweguta2694
3 жыл бұрын
Thanks & glory be to our Mighty Lord Jesus Christ for His church
@guillaumeoridjabho8928
3 жыл бұрын
Merci mes frères en christ de la république unie de la tanzanie pour cette mélodie.
@bijoukamwanga2010
3 жыл бұрын
Vive nous les Catholic soyons benis de la facon dont nous sommes Unies only God knows!! J s8 fiere de l etres!! 🙏🙏🙏
@christinapeter810
4 жыл бұрын
Mungu mweema.awabariki wote nalipenda Sanaa kanisa moja takatifu Catholic la mitume
@baltazarirosie9274
4 жыл бұрын
Umeonaee mm hadi nahisi utakatifu nikiwaona ivo
@neemataris3273
9 ай бұрын
Ilipendeza, Waimbaji🎉
@jamesgachau2566
Ай бұрын
God's greatness is with us
@josephmchani944
4 жыл бұрын
Jama kuna wimbo mmoja Wa kwaya ya mt donbosco tabata Ila sikumbuki unaimbwaje
@kristoa.5317
4 жыл бұрын
Kutumikia Mungu raha. Hata kanisa katoleki lipigwe aje, hakuna siku itawahi simama.
@vestinatiba8975
4 жыл бұрын
Hongera sana watumishiwa bwana kweli inapendeza sana
@gislainmastaki1022
4 жыл бұрын
Mungu abaongezee nguvu yakutimiza kaziyamungu .
@ParokiBundaMariaCirebon
3 жыл бұрын
the song is good and the choir is also very good ... 👍🏻👍🏻👍🏻 Greetings of peace and peace in the love of the Lord Jesus Christ With our prayers for our brothers and sisters in Tanzania from the Parish of Our Lady of Cirebon City, West Java Province, Indonesia  
@albertrolandserry4330
2 жыл бұрын
Am Roland from sierra Leone please pray for me l wanted to be priest of the Catholic church the song's are good
@dessystanley5586
4 жыл бұрын
Mungu awalinde
@EmanuelMakalla-wu1zu
Жыл бұрын
Nakupenda sanA kanisa langu katoliki mungu wape nguvu mababa zetu wa kiroho
@edwardongori7734
4 жыл бұрын
Mungu Atuonekanie Ulimwenguni
@meriammbamba8151
3 жыл бұрын
God bless catholic churches❤
@AnitaDeku-fx5dv
Жыл бұрын
Bwana amanituma
@nowelaraymond703
4 жыл бұрын
Ee Bwana tunaomba utupiganie tuzidi kukujua zaidi!
@beatricewanjohi568
4 жыл бұрын
My ⛪ luv it.
@NeemaUpendo
10 ай бұрын
Amina❤❤❤
@wjnfridakatengezya5063
4 жыл бұрын
Amina.... Kanisa takatifu Katoliki.. tujalie unyenyekevu Bwana
@VeronicaIsimalilo
Ай бұрын
Amina sana
@dorcussememba4251
3 жыл бұрын
Enjoying i wish I could come and see so that i ejoyng the songs i lick Kenyan songs gold bless you good night
@josephelias6066
4 жыл бұрын
Duuuu mapadre wengi jamani Kanisa moja katoliki la mitume
@edmondkalinde4251
4 жыл бұрын
Tuunganene wote pamoja na iyi muhandamano y'a ma padri na maaskofu ili tushinde corona. Aleluia
@anyirijustine5277
2 жыл бұрын
Universal and only apostolic church
@salvatorymogesi6476
4 жыл бұрын
Mungu wetu aendelee kulibariki Kanisa letu Katoliki
@rosemerysuzanne8022
3 жыл бұрын
Oh mon Dieu que c'est beau !
@EvanceKomu
Ай бұрын
Kweli
@user-yr5tx7vt5k
10 ай бұрын
Angalia mnavyopendeza lakini mkija uraiani mnakuwa mashetani
@consolathacyprian5665
3 жыл бұрын
Hakika mungu ni mwema kila wakati hapa sa ndo huwa najivunia kuwa mkatoliki kwelikweli mungu uwaongoze vyema watumishi wako uliowachagua wakutumikie sawasawa na mapenzi yako pia watuongoze vyema nasi katika njia ilio njema ya kukupendeza wewe kwa yesu ni raha tu
@yohanameney7025
4 жыл бұрын
So nice.ndani ya Kristo ni raha sana
@user-qi3wx3ug7c
2 ай бұрын
Aminaaaa
@JennyFelix-uk3ux
6 ай бұрын
Kwa kweri wakristu tuishi katika imani jamani inapendeza sana
@helenamhagama4020
4 жыл бұрын
Huwa nakuwa na furaha nikiwaona watumishi wa mungu hivi
@violethbosha8794
3 жыл бұрын
Balikiwe
@neemataris3273
Жыл бұрын
Ululululuiiii Inapendaza sana
@beatusassenger7872
4 жыл бұрын
Hadi raha jamn
@pasilisajerono7409
3 жыл бұрын
OGod strengthen all catholic believes.
@jamesgachau2566
Ай бұрын
Let us pray for all the CLERGY
@AlbertMaduhu
2 ай бұрын
Ukatoliki rahaa sana
@matswelopelemphela9676
4 жыл бұрын
Jamani aaaaa acha wanapendeza katika vazi lao
@carolinesalakana1090
4 жыл бұрын
Sana yani
@wazawagambochitv7200
3 жыл бұрын
Napenda kanisa langu
@ernestsogadji6784
4 жыл бұрын
Wonderfull !!!
@photunatamakelele6980
4 жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatoliki nimetaswa na kundi asante mungu
@theresiacostantine132
2 жыл бұрын
Najivunia kuwa Mkatoliki
@rosadanazary6079
4 жыл бұрын
Mungu awalinde na kuwatunza daima
@dorcussememba4251
3 жыл бұрын
Ilike there songs
@tebemasegwa1581
3 жыл бұрын
Nafatijika Sana kusikia hii nyimbo
@frankmaguire8258
4 жыл бұрын
Beautiful
@denisladislausbwoti954
Жыл бұрын
goood
@laurentsunta5169
4 жыл бұрын
Mpaka raha
@leonardmgaya3970
Жыл бұрын
proudly Catholic ♥️
@salhaheko3412
4 жыл бұрын
Mtuombee sana watumishiwetu
@user-tx9ml1ep9p
Жыл бұрын
Power full of God
@deusdeditphilipo4298
4 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@kamutua6376
4 жыл бұрын
aki mimi hufurahi sana kuona muungano kama huu. hawa maaskofu na mapadri wengi mno jmn. mtukumbuke ki maombi jmn hili janga la corona latetemesha nchi🙏🙏🙏
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC
4 жыл бұрын
Tahadhari zote zilizingatiwa
@dithepianomaxter...8897
3 жыл бұрын
@@KANISAKATOLIKITANZANIATEC kwa kweli najivunia Sana ukatoliki wangu hizi nyimbo nikizisikia napataga Amani Tena ya rohoni kabisa
@TEACHER.CLEOPHAS
3 жыл бұрын
Wonderful, keep it up!!!
@user-fy2hp5xy1k
4 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏👍👍
@adelaidademas7715
4 ай бұрын
🙏
@melesmacha5851
Жыл бұрын
Pamoja
@emanuelmwenda2040
4 жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristu wapendwa, napenda tu kujua haya ni maandamano ya lini, na ilikuwa ni tukio gani, mbona raha sana. Daima huwa napenda sana misa kama hizi
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC
4 жыл бұрын
Hapo ilikua moshi kusimikwa kwa askofu minde march 19
@emanuelmwenda2040
4 жыл бұрын
Ahsante sana T.E.C
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC
4 жыл бұрын
@@emanuelmwenda2040 karibu sana
@vickykamando5867
9 ай бұрын
❤
@johnkariuki2907
2 жыл бұрын
Kinanda kimeweza
@bhonatesha2390
3 жыл бұрын
Wimbo unanikumbusha Papa John Paul ll. Karibu baba Jimbo la Moshi. Pumzika kws amani
Пікірлер: 170