😀😀 nimekufa kiume, Joti best comedian wa muda wote
@ladyhappinessenock6902
4 жыл бұрын
😂😂
@razackhamis4375
4 жыл бұрын
Dahhh mwanetu una matangazo mengi kinoma saiv yan dahh
@missdija4959
4 жыл бұрын
As long as bado yanachekesha sio shida😂😂
@razackhamis4375
4 жыл бұрын
@@missdija4959 😄😄
@lailamohammed320
4 жыл бұрын
Joti na lukajunior😘😘😘 namuona alivyonyamaza ghafla baada ya kumuona baba and kavaa km dem🤣🤣🤣
@othmanmbarouk8499
4 жыл бұрын
😀😀😀joti kiboko yao .....marehem majuto alishasema baada ya yeye we ndo mfalme wa comedy
@daudandrew140
4 жыл бұрын
Uwezo @joti TV nawakubali sanaaaa
@dashuusaalim1943
4 жыл бұрын
Masskin ijumaa ya leo nlkuw vry bze na kharouc....had umetumia nmechlew kuiangalia jmn....nawatakia makhrouc woote maysh mema ya ndoa zao Allah awajaze upendo uvumilivu na fraah....ألف مبروك
@rahimmarions5712
4 жыл бұрын
Watu mnawahi alaf naona wenzangu mna like za kutosha,nipeni na mm bas
@salumally3128
4 жыл бұрын
Haya chukua hiyo like.....
@ramadhanboi6485
4 жыл бұрын
Sema dada walomchukua anajua sana ku act yan ana act natural
@darryllowd3996
4 жыл бұрын
joti has got that one talent that is indescribable....keep the same energy i really love yo vines
@nurupaul1845
4 жыл бұрын
Ahahahahahahahaaaaaaa noumaaaaaaaaaaaa, comedian number 1 in town
@lameckathanas3556
Жыл бұрын
😂😂😂 sehem zote nmecheka et nimeenda udenda mwingiiiiiiiii 😂😂😂
@freddieofficial5015
4 жыл бұрын
dah..hi kitu sio kunichekesha tu Bali imenipa funzo kubwa sana 👍🙌keep it up Joti
@frediricknandonde1690
4 жыл бұрын
Mimi kama joti tu nimejitahidi sana sana dk tano
@fatmafetty4117
4 жыл бұрын
Kaka nimekufa kiumeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@almaidmwendmwend9899
4 жыл бұрын
Umetisha jutiiii umekufa kiume
@kasi7
4 жыл бұрын
Honestly speaking sopa is super talented...
@kazikazini1042
4 жыл бұрын
Mwenyewe namkubali kinoma
@nuruhabarimapunda3271
4 жыл бұрын
Kama ushaangalia ukiwa kitandani gonga like
@linahsemindu9575
4 жыл бұрын
umejuaje mamyyy😂
@theblackbody6858
4 жыл бұрын
Eti chomeka chomoa 😀😀😀😀 njoo kwangu nitazama kwenye chunvia na utakojoa
@benclaude9910
4 жыл бұрын
Mwanaume wa dar chomeka chomoa😂😂🙆🏿♂️
@raphaelgadau2783
4 жыл бұрын
Munaombaga like mnatakaga mkafanyie biashara gani
@cipyen
4 жыл бұрын
Hahahaha... Joti uko vizuri
@idontgiveadamn4428
4 жыл бұрын
Umekufa patamu ndugu yangu, sasa unalia nini?😂😂😂😂😂😂
@kelvinmazanda
3 жыл бұрын
Mimi nmeipenda zaidi beat la tangazo la mwisho, anaejua ni beat la wimbo gani aniambie!
@alzubarapark3736
2 жыл бұрын
Kabisaa 👏👏👏👏👏👏
@zedekiannyagawa3521
4 жыл бұрын
ongeza ubunifu. Sio kila siku vichekesho na maigizo ya aina moja
@SHELYnaitakiasimbaushndipointB
3 жыл бұрын
Kaka nimekufa kiume sawa umekufia seemu yenye asali
Sasa likes ina husu nini ? Mbona usi comments, na kilicho jiri kwa video. Kuhusiana na vijana wengi kutumbukia kwa ujinga wa ukimwi, Sasa wewe kweli ipo Timamu, au Ata video labda huja tazama vizuri sana, ujinga wako ety nipe like idiot
@nancolower_8032
4 жыл бұрын
@@sheikhibrahimabdullahikeny1509 Asnt kwa kujiita idiot ila wanasema ukimnyooshea kidole kimoja mwenzio wewe vitatu vinakurudia,,,,,ila jua wewe ni mpumbavu nakuita kwa kiswahili,,,,,,kwa sababu umesoma comment moja wakati nina comment nyingine tena nmeiandika kitaalam zaidi,,,,,,alaf nimeshangaa wewe ni sheikh,,,,,,,, sheikh gan wewe au we ndo wale wako busy kutafuta pesa za sadaka,,,,,,,soma comments zote
@samoeikiruikipngenoh5621
4 жыл бұрын
Mzee utuambie mahali Jino uliweka pana
@helenamusa432
4 жыл бұрын
joti kweli video Kali mafunzo pia yapo
@mosipymoses836
4 жыл бұрын
Umekufa patamu dogo umekufa sehem nzuri ya asali sio mbaya😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@samoeikiruikipngenoh5621
4 жыл бұрын
Geuza ikue chungwa ...wee mzee uko na maneno
@zungustar314
4 жыл бұрын
Nimekufa kiume 🤣😂😂 joti
@hassanimussa5776
4 жыл бұрын
Wazee wa udenda mwingi tujuwane hapa
@shozylamparboom8393
4 жыл бұрын
Leo kama Video haijatulia hiiv masaut nengii shuuushuuushuuuu
@abdarahamaniabubakari4036
4 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣 dahh eti umekufa sehemu yenye asali..
@flinchclassic1726
4 жыл бұрын
Jamani mm hata like sipati
@venesteven2977
4 жыл бұрын
Unapeleka wapi hiyo like
@sheikhibrahimabdullahikeny1509
4 жыл бұрын
Sasa likes ina husu nini ? Mbona usi comments, na kilicho jiri kwa video. Kuhusiana na vijana wengi kutumbukia kwa ujinga wa ukimwi, Sasa wewe kweli ipo Timamu, au Ata video labda huja tazama vizuri sana, ujinga wako ety nipe like idiot
@gboy3138
4 жыл бұрын
Hizo like uzifanyie nn badala like ziende kwa video ya joti unataka zije kwako mxieeewwww
@noellucas3521
3 жыл бұрын
Uo ni umama mtot wa kiume kuomba like
@manyotaskipper5765
4 жыл бұрын
Kapiga kachokeka fasta Kakojoa hamna Noma hamna Michubuko hapo
@ngapicsonvilla362
4 жыл бұрын
Mzee baba hupoi
@nkubamashita6416
4 жыл бұрын
unaharibu your original content kwa matangazo
@benbranco3688
4 жыл бұрын
bila matangazo unadhan anaishije au unadhan anakuchekesha bure tuu
@mathiaszakaria7052
4 жыл бұрын
@@benbranco3688 jamaa ataka achekeshwe bure utadhani atamlipa kwa mwezi🤣😂
@harunimfaume6280
4 жыл бұрын
Nakubali kaz zenuu joto tokea uko na zee majuto miaka ileeeeew had leo hujawahi kosea
@Mbeyaconscious
4 жыл бұрын
😂😂😂😂 joti upimwe ubongo
@geofreyjackson6027
4 жыл бұрын
Joti ungenishtua nkupe Al kasus😂🤣😂🤣😂🤣
@johnmaina6081
4 жыл бұрын
Hahaha eti nimeweka udenda mwingiii. Fala sana joti
I guess that pikin was confused seeing his dad dressing like a woman😂😂😂😂
@dalilahirakoze2953
4 жыл бұрын
😃😃😃
@georgim433
4 жыл бұрын
Yes oh. E confuse am well well 😁
@eshialabonita7736
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@davidodehero8760
4 жыл бұрын
Kaka nimekufa kiume ahahaha Umekufa sehemu yenye asali ahsanteh Ahaha
@Mr_Highlights360
4 жыл бұрын
Huyo dada sijui kama watamtongoza hata mtaani kwao..hata kama kuigiza duuuh...
@vincentgeorge178
4 жыл бұрын
Ila tunatishiana maisha 😂😂😂😂
@VeronySiwale-hd2iq
Жыл бұрын
Joti nimecheka sana
@kingfocustzog
4 жыл бұрын
_chama la wanatupia like kwanza ndio tuwende sawa_
@binhunter2583
4 жыл бұрын
Hahaha baba hatokua tena mtu
@blacktiger0014
4 жыл бұрын
Wazee mkoo faster ila nimewai kidog like please
@James-y3j2v
4 жыл бұрын
Aje kwangu nimutombe
@allanhenry8095
3 жыл бұрын
Haaaa nakukubal kinoma
@Hamedjr_offcl
4 жыл бұрын
Dah Nouma sana kufa kiume tu
@petermaro9852
4 жыл бұрын
Nakukubali sana Sopa💪
@luperbukuku2659
2 жыл бұрын
Hilo tangazo kali
@mubarakamuba376
4 жыл бұрын
Kalibu kwnye chamaa😂😂😂😂😂😂😂
@saudahamad7481
3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁Used complete,,,,,,,,,.......
@rashidyramiji530
4 жыл бұрын
Amakweli watu mko faster 😂😂 na mm jamani Like Kama zote
@yusufmwangichannel6692
4 жыл бұрын
Comedy safi. Alafu uyo jamaa mrefu alikonda
@mathiaszakaria7052
4 жыл бұрын
😂😆nahisi kaumwa syo bure
@inothjackson9524
3 жыл бұрын
Duh hatareee
@kulwazabron6203
4 жыл бұрын
Kwakweli hapo tumejifunza kitu, tusipapalikie vitu japo Dada mzr lakin ukisha kanyaga haina namna
@vero57
4 жыл бұрын
Kweli lakini kuna watu WENGINE wanakula kavu kavu
@isackchanai897
4 жыл бұрын
Duu sasa umekua mama haswaa
@harrymakongwa1147
4 жыл бұрын
Joti mjinga sana..eti *used*
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
4 жыл бұрын
Umekufa sehemu yenye hasari 😀😀😀😂😂
@kelvinebens5239
4 жыл бұрын
Daaa ila iki kichwa asee🤣🤣🤣🙌🙌
@mklarazaa719
4 жыл бұрын
#joti kuanza kwa matangazo syo vema matangazo yakae mwisho
@mihangwamasingija3754
3 жыл бұрын
Dah, balaa na nusu😂😂
@g-abbastechnology1818
4 жыл бұрын
kila kitu iko poa hongera sana lakin usitengeneze fear kwa wale affected na HIV wakizani wamekufa maana hofu ni mbaya zaidi ya gonjwa lenyewe in magufuli"s voice
@kekiplus1andonly
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂hilo diaper sasa
@kekiplus1andonly
4 жыл бұрын
Joti all the way👏👏👏👏👏👏
@mahmoudaziz4717
4 жыл бұрын
Joti😆😆😆😆.umekufa kiume😄😄😄😃😃😃😀😀.
@Mr_loveness
4 жыл бұрын
Kama unamkubali Nishai gonga like hapa kisha gusa picha kushoot nipe Subscribe nikuzawadi bundle
@ag3044
4 жыл бұрын
Hamna Adabu
@ferouzmasoud4741
4 жыл бұрын
😂😂😂 Umekufa kiume
@athumanially7823
4 жыл бұрын
Nimekufa kiume kaka
@victorwilfred2686
4 жыл бұрын
Mchekeshaji bora wa muda wt jamaa unajuaaa kama wamkbali gonga like
@jennifermahenge8225
4 жыл бұрын
Nzurii
@mikamungaya1898
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu jot jamaa angu
@yacinsaid1516
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 kaka nimekufa kiume
@rogermazombo9744
4 жыл бұрын
Kaka nime kufa kiumeee @Joti you're the best
@nancolower_8032
4 жыл бұрын
Ukisex na mtu bila kinga ukahisi au akakwambia anatumia ARV unatakiwa uende hospitali ukapewe PEP kabla ya masaa 72 unatumia na unakua salama kabisa,,, yàaan hata manesi au madaktar wanaojichoma sindano au kurukiwa na damu yenye maambukizi wanafanya hivyo,,,,,,,,,wahi PEP haraka Nishai
@gloriousnp
4 жыл бұрын
Au hata kabla hujalala na mtu na tayari unajua ana maambukizi unatumia PREP(pre exposure prophylaxis)
@wilsonthomas9176
4 жыл бұрын
@@gloriousnp ndio ikoje hiyo
@joventjohansenmushwaimi1988
4 жыл бұрын
Hiyo gharama yake ikoje
@kingmystic94
4 жыл бұрын
PEP pia haiko uhakika wa kukukinga na maambukizi asilimia mia ,inategemeana na kiwango cha maambukiz yaliyoingia kwa mtu...muhimu ni kuwa na mtu mmoja mliepima na kuwa safe basi
@nancolower_8032
4 жыл бұрын
@@joventjohansenmushwaimi1988 haina gharama nenda kwenye kituo cha afya kitengo cha HIV kwa ushauri zaidi
Пікірлер: 387