Umraa yupo katika wakati mgumu na kuamua kufanya maamuzi ya kutaka kujiua, lakini kuna mtu anakuja kumsaidia na kwenda nae mjini, huko mjini anapata kazi kwenye familia ya kitajiri sana, kumlea kijana ambae ana matatizo ya akili, kwabahati mbaya wanajikuta wakivunja sharti ambalo Baba wa huo mji alimtaarifu Umraa mapema saana, kitendo hicho kikasababisha miradi yoote ya hiyo familia kuteketea ndani ya lisaa limoja... Je kwanini alipewa hilo shariti? na kwanini baada ya kulivunja hilo sharti miradi yoote ya familia ikateketea? adhabu gani atakayopewa Umraa??
Ni simuliz tamu sana na kusisimua... ungana nami LUCAS LUMBASI katika sehemu hii ya pili mpaka mwisho
Kama umependa simulizi zangu usisahau ku subscribe katika channel yangu kwa simulizi zitakazo kukuburudisha, kuelimisha. Pia Tembbelea kurasa zangu za mitandao kajamii
INSTAGRAM: / lucaslumbasi_tz
FACEBOOK: / mrlumbasi
TIKTOK: / lucaslumbasi
Негізгі бет UMRAA - PART 02
Пікірлер: 95