Nimekubali bado Mungu ana watu wake Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
@georgeexavier5921
5 ай бұрын
Amen
@NeemaKibwana-n6l
5 ай бұрын
Nipo tayari kupata Neno la Unabii Kayla jina la YESU 🙏🏼🙏🏼
@JacklineRoman
5 ай бұрын
Naomba Prof na mume wangu apate kazi
@NeemaKibwana-n6l
5 ай бұрын
Naomba uje Arusha Prophet, eneo la Ematasya
@esterlwanda
5 ай бұрын
Muwe makini sana siku za mwisho hizi
@BeniJohn-xd3cn
4 ай бұрын
Asante Sana kwa kweli dalili za Kuja kwa Yesu Kristo wa Nazareth
@frankmugomba3484
4 ай бұрын
Sir ur powerful sana
@VivianHaule
5 ай бұрын
Ameni nakuamini baba
@JosephLeonardMatemba
5 ай бұрын
Mkalimani God bless you unafika UK🇬🇧 vzr kbsaa
@oscanyakunga
5 ай бұрын
😂🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤝
@JOSHUAMWAKALAGO
5 ай бұрын
Powerful Sana
@JeanFesto-sy5uw
4 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@trinitycharles8024
5 ай бұрын
🙏
@AgnessHhary-lh9pm
5 ай бұрын
Naomba uje karatu
@MagrethMagie
Ай бұрын
Naombeni namba za huduma
@Laizerdrummer
2 ай бұрын
Unabii ni taarifa anayopewa mtu wa mungu haijalishi kuwa yeye ni prophet ama ni mtu wa kawaida na taarifa hio hupewa na roho mtakatifu kwa sababu wanadam hatuwez ongea na mungu isipo kua roho ndiyo huweza kusema hata ambayo mwanadam hushindwa kuongea mbele za mungu
@JacklineRoman
5 ай бұрын
Nipo tayari kupata neno la kinabii
@esterlwanda
2 ай бұрын
Watanzania tuwe makini na haya mambo ya kutabiriwa wakati huku mnamaisha ya dhambi, Yesu analililia kanisa hatari sana
@oscanyakunga
5 ай бұрын
Prophecy _ prophet
@edwinmbunda6709
4 ай бұрын
Ndugu kama unataka kufika mbali katika huduma yako mfuatilie sana Nabii TB Joshua. Mbwembwe zisiwe nyingi. Hawa jamaa wa Prophecy prophecy prophecy wanaharibu, wanaleta fujo.
@BeniJohn-xd3cn
4 ай бұрын
Manabii wote feki staili zao zotee zinz fanana 😂😂😂
@Laizerdrummer
2 ай бұрын
Kuna muda tunawaona waongo kwa sababu ya hao wanao piga piga kelele wakati wa kutoa unabidii
Пікірлер: 27