Hii si sawa kabisaa....sasa wewe ni mtumishi wa Mungu au Mungu mwenyewe
@mwambaebwatelogilbert6630
3 жыл бұрын
Nabii Mkuu nipo chini ya miguuni pako .Naomba muujiza kutoka kwako .Unifunguwe ni pate Mme wakuniowa .Nanipate kuzaa Watoto .. Naitwa Mawazo Mwamba Asante
@waytvtz2549
3 жыл бұрын
Kwanza badilisha jina hilo la mwanzo
@anjelinakasembe845
Жыл бұрын
Nabii GeorDavie Nashukuru Napoleon maomb yako🙏🙏🙏🙏🙏
@robertmaginga6132
4 жыл бұрын
Mungu awape mwanga nuru yake iwaongoze mnadanganyika sana.
@noelsanga6853
3 жыл бұрын
Michezo ya kitoto hiii
@kpetres2872
3 жыл бұрын
@@noelsanga6853 ya kikubwa ipoje🤔
@hassanrashid8182
2 жыл бұрын
@@kpetres2872 😃
@marcelinkamuntu
Жыл бұрын
Kabisa hii ni Ujinga
@coastermahenge8910
Жыл бұрын
fafanua tunadanganywa kivipi???
@anjelinakasembe845
Жыл бұрын
Aibu kweli GeorDavie anawasaidia Leo hii mnamtapeli kweli vibaya sana
@FadhilyChanay-ly4yi
11 ай бұрын
Tafadhali jaman tumweshim Mungu akuna BABA dunian zid ya Mungu ata wewe austail kujiinua mwombe sana Mungu akusamee
@YustoManco
7 ай бұрын
Pole munatakiwa kuhubiri watu ufalme wa Mungu ulio karibu kuja
@revenantyfoya911
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa bwana napokea uponyaji wako Amen
@elisakaimukilwa7691
3 жыл бұрын
Asante sana nabii mkuu kwa huduma yako nzuri nayakupendeza Mungu akuongezee maarifa
@victoriamarco7513
5 жыл бұрын
Asante Mungu kwa kutupa Nabii ni wakati wa kusonga mbele mwanafunzi wa chuo na Chekechea ni tofauti
@happylongino3913
4 жыл бұрын
Victoria Marco tatizo hela ya kumuona huyo nabii lakitatu changamoto
@mwlvicent5160
3 жыл бұрын
Hujielewi na wewe kumbe
@shushu8105
2 жыл бұрын
Subhan Allah nabii gani sasa nani kampa unabii ao kitabu gani katereshmiwa mnalana ninyi
@tazbernardmanda5176
5 ай бұрын
nabii wa mchongo
@LadislausyStanislausy
9 ай бұрын
Huyo ndiye geordavie
@EsterSharikieli
7 ай бұрын
Umechukua nafasi ya Mungu utahukumiwa sana. Wenzako wakiinuliwa wewe unachukia. Jehanam nndiko. Masksni Yako .Mungu Bado anakupenda kama tu utamsikilixa Roho MTAKATIFU. Ila wewe unaongozwa na nguvu za Giza ili kukitelia utukifu wa shetani. Tunakupenda tunakuomba Uyole hapo unapotumika ukamtumikie Mungu wa kweli.
@Godneverfailed
2 жыл бұрын
Yani Inasikitisha sana,Wakuabudiwa Ni Mungu na Yesu aliye hai pekee
@enizetv5196
3 жыл бұрын
Nawaza nafika mbari sana Asante sana Baba
@snayzzermusictz7128
4 жыл бұрын
Mungu wangu mtumishi we we ni mwisho ukwer nakupenda sana natamani siku nikushike ata kiatu chako tu mtumishi nakupenda
@grdcgv7ufdwdfghh633
2 жыл бұрын
🤣🤣
@estherkimani9974
4 жыл бұрын
Oh my God ,asante kwa kuwasamehea,Mungu akubariki..watakuridhi
@mkamimsoma7418
2 жыл бұрын
Mungu na Mimi nifunguwe nimechoka na vifungo hivi nitoe na Mimi ,Mungu nimechoka kutokujuwa vifungo vilivyonifunga nitolee roho hizi nipe nguvu Tena Mungu nisimame
@ritharitha1685
4 жыл бұрын
Mungu wangu niyapi haya mungu yuko wapi jamani mungu tuokoe
@adamseraphin2670
5 жыл бұрын
Amina sana Huyo aliyepakwa mafuta ni jirani yangu kabisa kule loliondo mtaa wa keptulu kwel alikuwa na maisha magumu sana ingawa ni mtumishi mpka kwenda jela kwa maswala mbalimbali.Asante Kristo Yesu sababu umemuonekania kwa mtumishi wako
@prezdjooh3081
3 жыл бұрын
Shetani hutumia matatizo uliyonayo ni bora angeendelea kuteseka hivyo dunian ili siku akiiaga dunia apate uzima wa milele..
@baudouinecikwanine4690
4 жыл бұрын
Pole sana baba. Pole kabisa wanadamu Tuko vile tunadanganyiwa sana Na muovu Shetani
@naumimwanjati2584
5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana geordive,NABII mkuu tanzania
@inesmataiyan3192
5 жыл бұрын
Mungu ibariki mikora ya manabii?
@marthasimon1004
2 жыл бұрын
Ooh! Baba nakupenda sana kwa hekima uliyo nayo, natamani cku nipate kibari na neema yakufika kwenye madhabahu hiyo kuu nifunguliwe. Amen
@josephakure6743
Жыл бұрын
Nabii mkuu,glory to almighty God in heaven.Amen.................................
@king-gtv2010
2 жыл бұрын
Nakupenda mtumishi wamungu ubalikiwe sana sana sanaaaaaaa 🙏🌹🔥🔥
@momfive8847
4 жыл бұрын
Willing to come and pray with you prophet of God,
@nuruhemedy7242
5 жыл бұрын
anatakiwa kukuomba rehema mungu ndipo wew umsameh jaman mpaka watu wanakusujudia jaman muogopen mungu😭😭
@prophetosmusa555
3 жыл бұрын
Ulitaka wasujudie mawe
@anitharoby6210
3 жыл бұрын
Ok
@athumanijuma2428
2 жыл бұрын
@@prophetosmusa555 Kuwa na busara mtumishi
@kyalankota7083
3 жыл бұрын
....siyajui mengi kuhusu Mungu aliyetuumba.......daaa
@georginnathornhill4052
4 жыл бұрын
Africa Africa Africa Africa mpaka lini ujinga utaiacha bara la Africa ..???? eti nabii mkuu...watu wanamlilia binadamu hichi ni kiwango cha juu cha ujinga....😧 Bwana Yesu wafungue watu wako macho..
@natashaagatha3540
3 жыл бұрын
Mungu tu ndio wakupigiwa magoti na kuombwa msamaha ,mungu wasamehe watu wako tunaishi nyakati za mwisho,mungu tufungue macho ya kiroho
@felistertsere2011
2 жыл бұрын
Kabisa dear kweli kabisa mungu atusaidie 😭😭😭
@rebeccambwambo8189
2 жыл бұрын
Yesu uje manabii uliosema wametuchosha ,,nabii mkuu n yesu tu🙏
@petermollel1471
5 жыл бұрын
A really prophet. Mungu muhifadhi
@allyabdallah4357
3 жыл бұрын
Msipo soma biblia wakristo mta danganywa sana kuwa muislam ni neema na nuru kubwa alhamdulillah
@janesuday4175
5 жыл бұрын
Yesu tuhurumie mwadamu amekuwa Mungu
@stevenboymunuo6091
3 жыл бұрын
Mwaka sege
@stevenboymunuo6091
3 жыл бұрын
Mh yan webaba tubu maana mungu ana kuona
@katherinesubira2724
4 жыл бұрын
Pasta na kupata vizuri unafanya kazi ya mungu barikiwa
@bashirimuriro436
Жыл бұрын
Unyenyekevu mbele yako au mbele ya YESU kristo aliyehai
@boniventuremarrirey6930
5 жыл бұрын
Duh hii level nimeiogopa
@floribertmukambwadun7173
2 жыл бұрын
Nakupenda Sana nabii mkuu.nihite nipate mafuta yako tu
@marymwambamba6653
3 жыл бұрын
Mbona huyu nabii namsikilizaga sana lakini anajitukuzaa sana kuliko MUNGU na kwa maombezi yake halitaji sana jina la MUNGU kwa nn,,Ila MUNGU atusaidie jamani 😭
@kendimutunga
2 жыл бұрын
God🙏🙏 have mercy on your son
@michaelwilliam7313
5 жыл бұрын
mombo ya mtu bonafsi huwezi kuyaweka wazi Mungu akusaidie mtumishi,unatakiwa kumhubiri Yesu na si shida za watu angalia sana.
@godfreykitambo6238
2 жыл бұрын
Nabii mkuu mungu Yuko ndani mwako
@pascalmwalyenga4295
3 жыл бұрын
Yesu simama kwa neno lako. Likawaponye na kuwatoa katika maangamizo yao. 1Yohana 4:1
@dawhiteschola8847
4 жыл бұрын
Mmmh! Zumarid part 2!!hivi yesu angeangalia makosa yet bas hakuna ambae angeish
@bahatigodelieve5796
4 жыл бұрын
Natick up a new baby Nautica anime keys to Gina need Sumo Asana America LaFerrari Sonic OC Kia Juan Acuna Miss Ada when you're big enough yeah yeah Rojo Yahoo no not been Latina on me. I'm not going to Aquatica Gonzalo hunam samoas Ana the Frye Seneca Pizza
@bahatigodelieve5796
4 жыл бұрын
Now you throw a Bocce godelieve Now You See Me Dayton Ohio Nautica uni uni on big Nico Nishida Danielle America nah would I stand up husa Kia number what what to windy who's who el mayor now I need to know what to do while weenie well we leave now or never tattoo Nanny Kona. Deca on Moon Bay a night with Gina Lackey, Dayton Ohio so
@venitarugemalila9290
Жыл бұрын
Sema kwa tamaa
@alibell5246
3 жыл бұрын
Inaailah wainaailaih rajiwun yaan mnamsujudia binaadam jaman muogopen mungu
@aminatabakari2741
4 жыл бұрын
Machozi ya Imani na furaha yananitoka eeh Mungu, ubarikiwe sana Nabii kwa kubariki waamini wa Mungu aliyetuumba🙏🙏🙏
@mathayopapiasi8872
5 жыл бұрын
Nabii mkuu ni Yesu tuu acheni kujipandisha mtashushwa hadi kuzimu
@zedianakangalawe4856
4 жыл бұрын
Umenena kweli
@andrewdiga5312
4 жыл бұрын
nikwl
@samwelmollel602
Жыл бұрын
Savi sana
@Estherachayo-xi4jk
6 ай бұрын
Amen
@annamwakibinga527
2 жыл бұрын
Amina
@alesiakayoka1203
4 жыл бұрын
Baba ni Mungu Tu
@justusomukuba9445
3 жыл бұрын
Tafadhali niombee naitwa Justus omukuba Niko Kenya niombee maisha yangu yafunguliwe
@ritharitha1685
4 жыл бұрын
Mungu atawahukumu wala sio sisi
@hidayaswai3119
2 жыл бұрын
I love you Prophet. You are very real
@maxlove2668
5 жыл бұрын
Amen,Nabii I feel to touch your hands prophet ,natamani sana niombee nabii nami nifike Arusha
@grdcgv7ufdwdfghh633
2 жыл бұрын
Nabii mkuu ni Mungu c mwanadamu ghai utamtamkiaje mwanadamu mwenzako akutumikie
@venitarugemalila9290
Жыл бұрын
Tobaaaaa mwanamke
@YustoManco
7 ай бұрын
Loh!!!! Mungu wangu
@mlenglewis1747
Жыл бұрын
Nitakutii siku zote za maisha yangu??dah mambo kweli
@agnessmalyeek9387
7 ай бұрын
Baba kwa kweli ubarikiwe wewe ni zawadi yetu
@jmwa
3 жыл бұрын
dah kazi ipo we achakuwapoteza wanadamu
@gm7045
4 жыл бұрын
Siku za mwisho 🔊🔊🔊
@danielrillo3796
4 жыл бұрын
Kosa sana kuabudu mungu mtu na hiyo laana wasipokua makini itakula wengi
@zeramtedzi4115
Жыл бұрын
Kwa kweli hapo ninashindwa kujua kwamba nabii anazalisha manabii na sio kupewa nguvu na Mungu wa mbinguni kwa kweli anaabudiwa Mtu na anatoa kibali. Mungu tusaidie hapa haieleweki duuuuh
@babaraka5133
5 жыл бұрын
Hongera NABII mkuu
@annakamasha5705
3 жыл бұрын
Baba mungu akubariki milele
@samweliisaya5537
4 жыл бұрын
Asante mungu
@marygaspary199
5 жыл бұрын
Samehe Dave, wapake mafuta, wakamtangaze Yesu, wachana na sadaka !
@chalesnguyaine9991
5 жыл бұрын
Ni ibada gani hyo isiyo na sadaka labda yakishetani
@ikhayerejoseph1184
5 жыл бұрын
@@chalesnguyaine9991 is true
@winnifridafrances9111
3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@agnessmalyeek9387
7 ай бұрын
We unayesema Lete sadaka,umeshindwa kuwa m waminifu unaandika nini?
@nasralema7400
2 жыл бұрын
Akulehem tena
@yudaskills6021
3 жыл бұрын
Mtumishi ubarikiwe Sana
@carrenchigulu5712
5 жыл бұрын
Jamani machozi yananitoka nikiona makuu ya Mungu yakitendeka barikiwa nabii mkuu
@rosehinju7818
5 жыл бұрын
Carren Chigulu nyakati zamwisho binadamu tuna msahau mungu anasema yeye anyenyekewe yeye ila siyo mungu
@R.Dickon
5 жыл бұрын
Ampokeaye nabii kwa kuwa ni nabii, atapata thawabu ya nabii; naye ampokeaye mwenye haki kwa kuwa ni mwenye haki, atapata thawabu ya mwenye haki. Mathayo 10:41
@graceeza9098
4 жыл бұрын
Naomba mwenye no za mtumoshi.
@ramakazina170
Жыл бұрын
Huu mchezo unahitaji wenye akili kubwa ila kama utakua na akili kidogo lazima uliwe
@francispatrick6737
5 жыл бұрын
"Lete sadaka inayostahili upate upako" Yesu kristo alikua anauza upako kama hawa manabii feki wa kizazi cha leo? Wakati Yesu alikua anambariki yeyote yule bila masharti yanayoegemea fedha, Ee bwana Yesu utusamehe kizazi hiki cha nyoka tunaowaza miujiza ya nguvu za giza namingine yakutengenezwa tukijua ndio kristo mwenyewe, Watu hawa wanaojiita manabii hauwasikii hata siku1 wakihubiri toba na kuacha dhambi bali wanahubiri ibada ya sadaka kila siku na kufariji watu kupata fedha na maisha mazuri ya kidunia.
@amraniissa530
5 жыл бұрын
Njema sana Mungu akutie nguvu kwa kuona haya yanayo endelea
@lizzyshoo8084
4 жыл бұрын
Ni shida sana kumwabudu mwanadamu 😬😬
@klystry1234
4 жыл бұрын
Hujaelewa
@elizabethngowi8404
2 жыл бұрын
Bro umezingumza kama vile wewe ni mkamilifu hakuna anaye weza ku judge mwengine kabla ya mungu mwenyewe tafuta kujuwa kweli usimsemee mtu (ubarikiwe)
@florianakhweso5749
2 жыл бұрын
Mwombe YESU akusamehe Kwa uovu wako kipofu na kiziwi
@stacymaimuna3260
4 жыл бұрын
Innalilah wainailih rajiun.. Msiba mzito huu wallah
@abdallaanton5210
4 жыл бұрын
ALL AWANUSULU INSHAALLA
@festonsikamanga9437
4 жыл бұрын
Feston j sikamanga. +260978861865
@festonsikamanga9437
4 жыл бұрын
Zambians +260978861865 Kamanga
@abiboseleman1649
2 жыл бұрын
Achaneni na mambo ya dini uislam Ukristo wote hakuna jambo lá mungu tafuta kujua ukweli
@elizabethbryton7088
3 жыл бұрын
Jaman mnapotea sana mtafuten yesu ndiyo mwenye majibu yamaisha yenu
@patrickkasembe2284
4 жыл бұрын
Aksanti Baba.
@dainesszuber1860
4 жыл бұрын
Saa mchunguji unachofanya si sawa kweli nimeamini mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyee
@rehemashaban6858
5 жыл бұрын
Barikiwa sana baba
@estherwambuies1782
4 жыл бұрын
Amen
@mercymweza3198
3 жыл бұрын
Naomba no ya nabii
@janethmosses9820
2 жыл бұрын
Mhhh unitakase tena duuuh
@winblessinggatwiri1865
3 жыл бұрын
Sijazaliwa kukumu Mungu ndiye mwenye kukumu'yule ni wa Mungu abaki kuwa wa Mungu yule ni wa shetani abaki kuwa wa shetani.
@subo2667
2 жыл бұрын
Dunia ina wapumbavu wengi sana,,,Ulaaniwe wewe Unaejitukuza bila kumtaja Mungu,,,yaani unapigiwa Magoti!!! ..Mungu muumbaji kama aiishivyo akupe pigo ambalo litawafundisha wengine namaanisha Mungu sio mungu
@chalesnguyaine9991
5 жыл бұрын
Waebrania 13:17nao inasema watiini wenye kuwaongoza na kuwanyenyekea kwa maana wao wanakesha kwajili ya roho zenu hivyo nabii uko vizuri sanaa nakuelewa lazima heshima uipate na naona kwa mambo makubwa unayoyafanya Watu wanazidi kuchanganyikiwa so piga kazi ya Mungu kwa maana hao wanaokoment ni wamechoka kiroho hawana nguvu ya Mungu ndo maana wao wanawaza mabaya tu waache waendelee kukoment maana inaonyesha ni jinsi gani wanavyokufuatlia so siku moja watakuelewa Mungu azidi kukujaza nguvu kubwa zaidi ya hii hata One day umfufue hata kiongozi mkubwa aliekufa kabisa ili baadae wasiseme maigizo kwako huwa ni live hakunaga maigizo
@chalesnguyaine9991
5 жыл бұрын
Waendelee kuumiza akili kwajili ako
@alisenipeter4307
4 жыл бұрын
Pamoja Sana huwezi kumzihaki.mtumishi wamungu walaniwe wote waliomtukana mtumishi
@eliarichard9218
5 жыл бұрын
ahsante yesu
@lucyhusein4043
3 жыл бұрын
.asnte nabiii nakupenda sn
@jacklinamani7519
5 жыл бұрын
Hapo ni kumsujudia binadam kuliko mungu.muombe mungu msamaha
@elizabethndasa3262
3 жыл бұрын
Mmhh!!!!!! Mazito haya, mie sitaki huu upuuzi
@mariamumariamutvsubscribe792
3 жыл бұрын
Eee!!
@adamlyambaofficial3812
Жыл бұрын
Mungu fungua ufahamu wa watoto wako wanaangamia
@hassangaya3173
5 жыл бұрын
Be blessed Mtumishi wa Mungu
@frederickhatungimana7088
4 жыл бұрын
Mungu anisamee nisije tamka zambi
@makenealengalenga8817
2 жыл бұрын
pia na mimi Mungu anisamehe nisije tamka zambi ila ninaviulizo vingi moyoni mwangu seilewi apa jamani Mungu tuokoe
@eliezambwambo6776
2 жыл бұрын
hivi msamaha katka dini unatozwa pesa kwali? tunnaelekea wapi wachunga na manabiii
@thepowerofsilentsoul2135
2 жыл бұрын
So sad from Kenya 😭😭😭
@نايفالشمري-ط3د
5 жыл бұрын
Wah Jesus have mercy here wah Have never see this in my life sure This is more than darkness
@stevek8318
5 жыл бұрын
Shida uliyoiona haha ni ipi?
@vailethtitus6462
5 жыл бұрын
Just believe in Jesus and everything will work out for you
@mcomuonobunde-omuono1132
3 жыл бұрын
Mimi hapa sina maoni kwa huduma. Lakini si huyo mtoto amejionea makuu jamaani. Baba anaguruma kama radi na kugaagaa huku, mama analia na kudhingiria huko. Maajabu' Aisee
@keziahamisi3896
2 жыл бұрын
what is happening hakika dunia inaisha this are the last days wenye macho waone wenye masikio wasikie .Mungu uturehemu watu warudi kwenye neno bibilia inasema my people will perish because of lack of knowledge
@hellenmollel6679
5 жыл бұрын
Dunia imeisha,,Mungu atusamehe sana
@veronicabuba8807
4 жыл бұрын
hapana hii siyo kweli ,,,shetani yupo kazini kweli hapanaaaa🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@neemamabeyo5619
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@stanstan5410
5 жыл бұрын
Wokovu u katika YESU KRISTO Pekee, tuwe makin shetan yupo kazin
@kidunudeo6597
5 жыл бұрын
Na bii ni mungu pekee sio yeye
@anitharoby6210
3 жыл бұрын
Ok
@geraldpaul9937
4 жыл бұрын
Jina lako sio la yesu utii sio wa yesu mzee baba umepigwa hela umejaa hewa
Пікірлер: 537