Band ya watu 7 lakini ilisheheni vipaji vya Mungu. Mungu awabariki sana. Naamini wengine sasa ni wazee. Ibrahim Kibambe ametangulia kwa Bwana lakini solo yake na keyboard ilikuwa moto sana
@AlexJoseck
2 жыл бұрын
Amen amen nawapendaga sana NLB mmenibariki tokea utotoni mwangu.
@silvamn7348
2 жыл бұрын
As I keep watching this precious and golden God's gift I pray that your final glory becomes even more brighter than before, Mungu awabari sana watumishi
@janetmaina3156
2 жыл бұрын
Huu wimbo ulinifanya niokoke na uliimbwa darasani nikwa form two na mwanafunzi mwenzangu ambae Kwa Sasa ametangulia m ale za haki ila Kwa kuimba Kwake alisababisha wengi tuujui wokovu na kuijua new life band Huwa nikiuimba ni kama ni mpya Kila siku kwangu since 1994 Mungu away ariki new Life band mlileta uamsho mkubwa wa praise and worship Arusha mbarikiwe sana Kwa kimheshimisha Mungu Kwa viwango vikubwa
@bartholomewmhema874
Жыл бұрын
Waimbaji wametuokoa wengi kupitia nyimbo
@emmanuelbageni4388
Жыл бұрын
Ashukuliwe bwana yesu aliyeniokoa.
@yudajohn886
Ай бұрын
Aisee ulifanya uamuzi sahihi
@milcahlekoko
2 жыл бұрын
Oooh ya kale ni dhahabu. What a voice
@kingmwaxoh6420
2 жыл бұрын
sure they are so fantastic
@AlexJoseck
2 жыл бұрын
Wow postini zote
@haningtonkabuta9387
3 ай бұрын
TEARS OF JOY...!
@tumainipeter458
26 күн бұрын
Old is Gold
@BarakaWaya
2 жыл бұрын
Mzee kibambe alikua mjanja ❤️❤️
@elibarikimushi3264
2 жыл бұрын
So beautiful. Iyo kanda tulikuwa tunai play na kugeuza na kugeuza ! ... "Sasa nimetambua ya kwamba kwa Yesu kuna raha!!" ...
@ngugikarani
Ай бұрын
That lead vocalist is exemplary!!!!!
@thobiaseunice3936
Жыл бұрын
Nabariwa sana ni hii pambio ya henzi hizo Mungu awabariki sana nawakumbuka hawa wadada Rebeka na Frida.
@elisantetarimo2886
Жыл бұрын
Kwa kweli nakumbuka Mimi mlikuja moshi mwaka1987natiro mkiwa na mwakasege akiwa mchungaji DA huko KIA nawapenda nawajua wore Nata Abednego nimlea Mton lulu
@elisantetarimo2886
Жыл бұрын
Mbarikiwe naomba wimbo unaosema nilipookoka ndugu walinikataa
@MANZESEDISPENSARY
3 ай бұрын
long time saaana jama pambio hili ; lkiimbwaa alooooo thanks lord
@allanaugustine303
2 жыл бұрын
Nakumbuka miaka ya 1990's mwanzoni walikuja shinyanga katika viwanja vya Commercial sasa ilipo shule ya uhuru SEC na mhubiri mmoja wa kizungu toka nje ya nchi, pamoja na mwimbaji mmoja wa injili toka Kenya, mkutano ule wa Injili ulishine sana kupitia nyimbo zao...hasa kuna wimbo mmoja ulikuwa unaitwa IENDE MBELE INJILI YA BWANA... Nilikuwa sijaanza hata darasa la kwanza..
@jacobmoses2175
2 жыл бұрын
Namkumbuka Ibrahim Kibambe na Hondo
@peterbayo4677
Жыл бұрын
Ibrahim ameenda kwa Bwana
@valencevincenttv7479
2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana.Sitasahau Camp yenu ya Munduli Arusha,niliokoka na kujazwa Roho Mtakatifu,nilisikia raha sana.Mpaka leo nikisiliza kanda yenu kuna hali ya uwepo wa Mungu.Asanteni sana.
@audaxmaganga7105
8 ай бұрын
Naomba contact
@dorothymungele9187
2 жыл бұрын
Nakumbuka mikutano mliyokuwa mnahudumu kijenge na kule moshono, national milling..kwa kweli ninazokibalo sana nyimbo zenu... mbarikiwe zaidi
@audaxmaganga7105
9 ай бұрын
Tupe mawasiliano
@RobertElly-e4g
7 ай бұрын
Aisee walikuja Msalaato giirls hawa jamaa,nawakumbuka sana
@isayakakusa5419
Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe wapendwa natafuta nyimbo zote za hii album naombeni msaada wa kuzipata
@puretv8742
2 жыл бұрын
Waimbaji wa sasa higeni mfano huu mzuri wa injili ya kweli.... nakumbuka miaka ya 80s
@tabithasizya
2 жыл бұрын
Kabisa Mungu atusaidie
@KibenaAfricaSafaris
Жыл бұрын
Síku za kukumbukwa sana
@upendo82
2 жыл бұрын
Yaani mnanipa raha jinsi mmedumu katika utumishi huu na mmelipa heshima Jina la Mwokozi wetu
@tabithalucas1831
7 ай бұрын
Makambi yenu yaliandaa sana kiroho kuwa mtumishi bora na mma bora.Mungu awatunze sana
@ikungasyamwakitalu6540
2 жыл бұрын
Daaa unanikumbusha mbali sanaa new life band,
@jimmycliff6977
Жыл бұрын
Pambio limenigusa
@legrandrenson2063
2 жыл бұрын
Life was so good these days ...miss these years..life changed....sad
@hoccyhilary6789
Жыл бұрын
Yaani life was amazing, dah
@indiwimana368
Жыл бұрын
Kitambo saana doh
@boscomfundo7953
9 ай бұрын
1996 ndio niliwaona kwa mara ya kwanza Diamond Jubilee. Ilikuwa ni moto
@piusdeusmtotowayesu7913
2 жыл бұрын
hongeren sana watumishi
@newlifeband-arusha3633
2 жыл бұрын
🙏
@babumrisha
Жыл бұрын
Miaka hio ndio naokoka 1991
@festozakaria1629
2 жыл бұрын
Those days jamani.
@danielnzali5609
Жыл бұрын
Wapendwa, hii album naitafuta sana... Nawezaje kuipata??
@audaxmaganga7105
9 ай бұрын
Hata mim naitafuta
@mboneamalaki5674
2 жыл бұрын
Mnagusa mioyo ya watu
@huldamichael4445
Ай бұрын
Oooh
@iamnormal8648
Жыл бұрын
Hili jina la New Life Band nalikumbuka niliwahi kulisikia miaka ya 1990 hadi 2000. Nakumbuka mlikuwa na nyimbo za kuvuma sana enzi hizo (ila nimeshazisahau majina). Naomba mziweke KZitem nyimbo zenu za enzi hizo wa enzi hizo tukumbuke kidogo enzi zetu.
@gospelman3720
2 жыл бұрын
Daaaaaaaaaah baba alikuwa na Audio Cassette yake miaka hiyo. Mwaka juzi nilienda Habari Maalum shop k/koo nikanunua Audio album kama tatu hivi. Bado naitafuta ile Album ya Umeniumba nikusifu ile Twakusifu Twakusifu eeeeeee
@audaxmaganga7105
9 ай бұрын
Naomba contact za radio habar maalum
@gospelman3720
9 ай бұрын
@@audaxmaganga7105 duuuuu sina aisee. Album zilizotengenezwa na Habari Maalum nadhani ni tatu nilizozikuta 1. Kwa Yesu kuna raha 2. Mungu wetu wa mbinguni 3. Ile ya tulimugati mwa Yesu.
@lightm2225
2 жыл бұрын
Mmenikumbusha mbali barikiweni sanaa
@silvamn7348
2 жыл бұрын
How sweet is that, keep going watumishi
@hancejonathan2961
2 жыл бұрын
Yaani tokea 90's mpka leo ninayo hyoo cassette naiplay tuu kweny gar yangu ndio imenfanya nisibadili radio ya gar langu sababu ya cassette ya Hawa watu.hakika utumishi wao ulkuwa umetukuka.nasisitiza sijawah choka kuiskiliza album Yao ya Kwa yesu Kuna Raha.
@demetrianangela7793
Жыл бұрын
Mungu awakumbuke na kuwakumbuka waimbaji wa nyakati hizo!!!!!!🙌🙌
@megoj5179
Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@bettymlaki2676
Жыл бұрын
NLB enzi zile, nimekumbuka mbali sana
@happinesstesha7061
2 жыл бұрын
Long time be blessed
@ronabel2340
2 жыл бұрын
Mungu anawatu...jamani tumtumikie Mungu kwa namna yoyote ile
@HumanBeing-pj4hm
2 жыл бұрын
Wimbo unanikumbusha radio cassette aina ya Sanyo 1996 kanda za NLB zilipigwa asubuhi ya jumapili wakati tukipambana na mama kujiandaa kwenda Sunday school
@newlifeband-arusha3633
2 жыл бұрын
Hata hizi video zilikuwa kwenye mikanda ya VHS hazikuwepo DVD
@silvamn7348
2 жыл бұрын
Omg, can't get enough of it, how lovely
@bennchristopher9134
2 жыл бұрын
Wooow what a great ministry
@demetrianangela7793
Жыл бұрын
Mungu awabariki waimbaji wa siku hizo!!!🤗🙌🙌
@allanlwambo9066
2 жыл бұрын
Balikiweni sana!!!!! mmenikumbusha zamani sana tumekuwa tukibalikiwa nahuu wimbo hasa wakat wa Easter conference (HUIMA)
@newlifeband-arusha3633
2 жыл бұрын
Amina
@bartholomewmhema874
2 жыл бұрын
Sololist upo vizuri,ameeeen
@gideons5265
2 жыл бұрын
Nikisikia heri Gideon aliye okoka basi nlikuwa nasikia raha sana nyie hamjui tuu yaani kila saa napiga hii kanda mwaka 1994/1995
Пікірлер: 71