Mungu aibariki kazi aliyokupa Fr. Kamugisha. Ni faraja sana kupata mafundisho yako. Umebena maono. Mungu awe nawe daima, Amina🙏
@fatumamaiga8496
3 жыл бұрын
Padre ni kweli baba kabisa maisha ni mtiani
@robertmoshi2113
2 жыл бұрын
Dar asante nakupenda sana Padre
@user-bd1wg6kh1l
2 жыл бұрын
AMINA ubalikiwe sana
@gilbertkatunzi7881
3 жыл бұрын
Ongera sana padre kamgisha Mungu hazidi kukupigania na kukutunza kwa kweli uwa unanibariki sana sana kwa kweli hata hivyo siku nikija bukoba nitafika hapo kanisani Mungu akubariki sana sana
@pasilisajerono7409
3 жыл бұрын
GOD strengthen faith of ft kamugisha to countiue in is mission.
@pasilisajerono7409
3 жыл бұрын
God strengthen faith of all catholic believes.
@hilgathjoshua8804
3 жыл бұрын
Amina
@cellyassenga2020
3 жыл бұрын
Asante baba
@deusedward1169
3 жыл бұрын
Through the law can't created or distroyed
@nicksonmtaya7936
3 жыл бұрын
sijambo. Amina
@festongonyani152
3 жыл бұрын
Asante Baba kwa mahubiri mazuri... Kweli yajayo ni Mtihani,utukufu ni mbele kwa mbele....yajayo ni mtihani.
@onlyyoujesus8232
3 жыл бұрын
Fanya mtihani ushinde mtihani
@tuliamakombe1623
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana baba naomba Sala zako kwangu maan naona mitihan kwangu imekuwa mingi
@allymwilamba1180
3 жыл бұрын
Maisha yanahitaji uvumilivu
@yohanamsabila9322
3 жыл бұрын
Nitapataje namba za Padre wetu jamani natamani kuzungumzanae
Пікірлер: 17