Mr Isaac this is hilarious, we are being blessed by your Melodies. Glory to our Lord and Saviour Yeshua 🎉
@christina40mwangosi97
9 ай бұрын
Hakika kwa Mungu Una Thamani. Mmetutafakarisha sana Wapendwa.
@EdwardWankyo
28 күн бұрын
Walimu kama wewe ni wachache sana mungu azidi kukupa uwezo wa kufikiria na maisha marefu mwalimu wangu
@monicakimario2910
Ай бұрын
Mwenyezi Mungu ni Baba yetu hata katika madhaifu yetu. Tu kweli wa thamani machoni pake
@EusilahRutto-h4q
7 ай бұрын
Congratulations a beautiful song, indeed we precious before God amen.
@monicakaranja268
Жыл бұрын
"Ingawa nanguka dhambini kwa Mungu ninadhamani" huu wimbo unaniongelesha❤
@FeliciaMbonabucha
10 ай бұрын
Nikisikia wimbo huu huwa nafarijika sana,pia unanifanya nijitabue kuwa nami kwa mungu ninathamani
@DariaJosephat
Ай бұрын
Nahisi mtunzi alipokuwa akitunga huu wimbo alikuwa ameshukiwa na roho Mtakatifu hakika unanipa amani ya moyo na najiona Nina nafasi nyingine kwa mungu
@evalyneachieng-os3uu
8 ай бұрын
Nimejazwa na roho mtakatifu baada yakusikiza wimbo huu hongera kwa mtunzi.
@DennisDara-i4i
Ай бұрын
Huu ndio wimbo unanipa nguvu kwa maana unamafundisho ya kutosha
@PendoMakyao
7 ай бұрын
Amina..wimbo unabariki sana
@monicakimario2910
Ай бұрын
Mungu akubariki mno Isack kwa hiki kipaji alichokupa
@mwitaisack9582
22 күн бұрын
Amina sana
@PeacefulDaisies-jk2xq
8 ай бұрын
Hakika kwa Mungu nina thamani
@carolineflueckiger7457
2 ай бұрын
Yesu nakupenda
@EinothMollel-vb1tc
9 ай бұрын
Ujumbe mzuri
@aikabernard
Жыл бұрын
Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake
@mwitaisack9582
Жыл бұрын
Barikiwa sana 🙏
@ashrafmohamed7966
10 ай бұрын
Nimeutafuta sana huu wimbo hatimaye nimeupata,,,,, wimbo mzuri sichoki kuusikiliza unanitia moyo na kujiona wa Thamani
@KMTKIONGERA
9 ай бұрын
Barikiwa zaidi na utunzi wa mwita isack hapa kzitem.info/news/bejne/u6Gny3dom5qrpqA
@duobledrittedeoritte2787
3 ай бұрын
Wimbo unanitiaga moyo sana jaman mbarikiwe sana waimbaji pamoja na mtunz
@erastorichard8290
17 күн бұрын
Hakika ndgu
@peterhaki3853
7 ай бұрын
Waimbaji wote hongoreni sana sauti pia Zina farijinsana
@ernesthaonga7640
9 ай бұрын
❤❤❤❤tumeupiga mwingi
@lucasshirima2880
Жыл бұрын
Usijishushe Dhamani yako kwa Mungu haiwezi kushushwa na Mwanadamu ...na wala hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...Asante sana kwa Zawadi ya Upendo.
@lucasshirima2880
Жыл бұрын
INADHAMANI.
@robertkyanzue9994
4 ай бұрын
kwa Mungu una thamani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@daudimhoha320
2 ай бұрын
Mungu.aliyetuumba.sote.niorijino
@daudimhoha320
2 ай бұрын
Hakika.mungu.ainuliwe.milele.yote
@martensnshimi3613
Ай бұрын
Ooh Mtukanji na waimbaji Yesu tunaejivunia awazidishie vipaji na si tuzidi kufarijiwa na nyimbo zakumtukuza Mungu
@estherwanjiru6001
8 ай бұрын
Wow ❤ I love your song
@gabrielsino231
8 ай бұрын
Keep it up
@ElvisNacham-eg8ep
3 ай бұрын
Huu wimbo mzuri wakati upo chini kabisa unahisi mungu yupo karibu. Asanteni kwa wale walioimba mungu awabariki mguze nyoyo za watu.
@janemwangi605
Ай бұрын
Kweri wanakwaya wetu kwa mungu wetu tunathamani. Mungu awambaliki kupita kwa HUO wimbo una badili watu wengi sana. ASANTENI.
@thobiasluanda-mg4qf
Жыл бұрын
Ni Mungu pekee aijuae thamani yako🙏🙏🙏
@raurentkanjemartha
Ай бұрын
Unahdamani
@anataliangalowoka3906
Жыл бұрын
Mbarikiwe sana. Kazi ni nzuri mno
@bobrobert3374
Жыл бұрын
Hongera kwa tunzo na sauti nzuri
@EmmanuelAndrew-e1p
8 ай бұрын
congratulate to a good song
@patricktuseko79
Жыл бұрын
Nauona uwepo wa Mungu kila Napo sikia Nyimbo hii. Hakika Mungu awabariki sana. Hio sauti ya tatu hapo mliniweza sanaaa. Be blessed
@jonaskweyamba9747
Жыл бұрын
Binafsi nawapenda kwa utume wenu mwema napenda pia utume wangu wa uimbaji.
@MathiasJohn-m6n
Жыл бұрын
Mungu akuzidishie kipawa mzee mwita ,,,Mimi na kwaya yangu tunakupenda bure❤❤❤❤
@mwitaisack9582
11 ай бұрын
Amina 🙏 sana
@despinae.mdende
Жыл бұрын
Asante Mungu Kwa wimbo huu mzuri. Unatukumbusha thamani yetu wanadamu.
@benardlameck7340
Жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎙️🥰
@norberttwamba8467
Жыл бұрын
Despina, hatuwaoni siku hizi, nini changamoto. Tumezimis kazi zenu takatifu
@kwayamalaikagabrielparokia506
Жыл бұрын
So Nice...Hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...
@lucasshirima2880
Жыл бұрын
Mungu anaijua dhamani yako.
@aidandidace8207
Жыл бұрын
Ujumbe mzuri unatia Sana Moyo, hata video nzuri, Kazi nzuri Sana🔥🔥🔥
@Musadaniel-l7y
3 ай бұрын
A very nice song, and it makes us feel God's endless mercy🙏
Wimbo ni bora kabisa unatuamsha hautukatishi tamaa
@HappyGoodluck-v3p
Ай бұрын
Mungu awalinde mwendelee kueneza injili ya mungu
@jamesmwita2995
Жыл бұрын
Moja Kati ya tungo bora uliotunga ni hii ,, hongera sana mtunzi na waimbaji pia mpiga kinanda ,mmefanya kazi nzuri sana
@stevennymichael4833
3 ай бұрын
huu wimbo jamani mbona ukitaka kudownload aupatikani
@timothychombo9489
Жыл бұрын
Kwa Kweli ukisikiliza vizuri wimbo huu, mambo 10 yanaweza kutokea: 1. Machozi 2. Tiba ya stress 3. Dawa ya anaekaribia kujinyonga. Atapona 4. Utaiona huruma ya Mungu 5. Utajuta dhambi 6. Utakusudia kuacha dhambi 7. Utaungama dhambi zako 8. Utaenda kanisani kila wakati 9. Utajiona mwenye thamani kubwa 10. Utarudia kuusikiliza.
@mwitaisack9582
Жыл бұрын
Barikiwa sana kaka
@geraldkishenyi5786
Жыл бұрын
@@mwitaisack9582 nimefulahia nikiwa zanzibar asante sana
@jacklinebarthazary6278
Жыл бұрын
Kwel kabisa nimejikuta nipenda no 9 najiona wa thaman Sana hasa nikiskiliza ubeti wa pili 🙏🙏
@annadominic2242
Жыл бұрын
Toka nimeufahamu nasikiliza kila siku
@Nekesapam2022
Жыл бұрын
Very true
@GasperTarimo-j2w
3 ай бұрын
Hii ndio zawadi pekee aliyonipa mungu kusikiliza nyimbo Kama hizi
@GasperTarimo-j2w
Ай бұрын
Samahani kwani ww ulianza kujifunza mwaka gani
@IGNASMBILINYI-tl3mp
Жыл бұрын
Kwa kweli hongera sana mtunzi nimebarikiwa sana na huu wimbo🙏🙏🙏
@mwitaisack9582
Жыл бұрын
Amina sifa na utukufu vimrudie aliyetupatia hizi talanta
@dianamseka1233
Ай бұрын
Nilianza kusikiliza wimbo huu mwka 2022 nilikuwa kwenye mateso makali sana ya kimaisha na watu wa watumishi wa kazini kwangu,kila siku nikitoka kazini nilikuwa nasikiliza huu wimbo hadi leo hii.Nilipata faraja kubwa kupitia huu wimbo huu.
@AndreaAbery
2 ай бұрын
Mungu abariki kazi ya mikono yenu
@AnethLebwanga
Жыл бұрын
Jamni mnaimba vizuri naomba kuimba pamoja nanyi
@LudvicNgugi-kx5xb
10 ай бұрын
Ahsanteni kwa wimbo huu wenye kutibu mioyo iliyovunjika.
@EmmanuelMarco-v1q
5 ай бұрын
Mungu ni mwema kila wakati kwa Mungu kila mtu ana thamani kwake
@MaryNdondu
10 ай бұрын
Hakika kwa mungu ninathamani kubwa ,hili tungo limenipa moyo sana
@logasiabaltazary9424
4 ай бұрын
Naona uwepo wa Mungu kwangu mpaka Sasa hivi.
@LeonardElias-n6s
3 ай бұрын
Ni mungu pekee,hakuna zaid mungu baba,,
@aquenthony6199
2 ай бұрын
mi nilikua wapi jmn😢
@janerosezanzibar5372
Жыл бұрын
Shukrani sana mwl nimekuelewa maana nilikuwa najua kama mchezo." Hakika unathamani"🙏🙏
@menancemhombwe2267
Жыл бұрын
Bonge moja la song. Mwita weee unajua aisee. Hizi ndio nyimbo sasa za kikatoliki
@tempochoir
9 ай бұрын
Blessings.
@dignakayombo74
10 ай бұрын
Hakika wimbo ni mzuri tena ubarikiwe sana mtunzi,kupitia wimbo huu nimefarijika sana kwa mapito ninayopitia
@josephmamuu4465
7 ай бұрын
Ujumbe mzito sana,, pongezini kwa kazi nzuri. Naomba number ya mmoja ya mwasaliano tafadhali
@nellyogwang6320
Жыл бұрын
Asante kwa wimbo huu ina nipa nguvu
@MHOZYAKILIGI
4 ай бұрын
Hakika kwa MUNGU Kuna thamani 🙏🙏🙏🙏
@mickeymabula8957
Жыл бұрын
Mmeupiga mwingi, hongera kwa mtunzi, tungo iko njema na waimbaji pia mmeutendea haki
@ephraimkashusha3987
Жыл бұрын
Kazi Safi sana #Hongera sana Kaka Mwita Kwa Utunzi Mzurii..
@janemusyoki5218
11 ай бұрын
Have been blessed. Kwa Mungu nina dhamani .Barikiweni sana . I love 😍 this song.
@lucasshirima2880
Жыл бұрын
Kamwe ulisilie na Usikate Tamaa..Mungu anaijua Dhamani yako..
@lucasshirima2880
Жыл бұрын
Tujinasua kuanguka dhambini
@monikapaulo3452
Жыл бұрын
Bless song much i love it
@christinetushemereirwe8468
Жыл бұрын
Daaah brother mmeupiga mwing all the Best kwa KAZI zingingine
@mwitaisack9582
Жыл бұрын
🙏
@NicholasMutuku-rh6fz
2 ай бұрын
Alleluia,"amina.
@geofreydawa4399
Жыл бұрын
Daaaaaaa hongera sana mtunzi pamoja na waimbaji
@sarikasluvanga7780
4 күн бұрын
Wimbo huu hunipa hisia nyingi zenye kugusa maisha yangu mbele za Mungu kupitia kwa matendo yatupasayo. Hongereni sana waimbaji na Mtunzi. Baraka ziwe nanyi.
@restyammo-df2um
Жыл бұрын
Asante kwa wimbo mzur,,, Zaid Sana ashukuriwe aliye juu kwa sabb pamoja na mapungufu yetu lakini bado tunathamani ni wimbo ambao unatupa faraja kwa mapito tunayopitia katika ulimwengu huu nasema Tena Asante Mungu kwa thamani uliyotupa sisi binadamu sifa na utukufu zikurudie
@augustinotanda6349
Жыл бұрын
Broo nimekuelewa ila hiyo nyimbo na ihitaji nakala yake kama hautajali
@josephmuthusi9055
8 күн бұрын
Una thamani. On endless auto-repeat this morning. I feel this is how music will be in heaven.
@SirJames065
Жыл бұрын
Kaka, wimbo nzuri sana na utunzi mahiri kweli..
@mwitaisack9582
Жыл бұрын
Asante sana mkuu
@REBECAMMUSA
Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana
@benomahema3011
Жыл бұрын
Kongole kwao kazi nzuri inatutia matumaini.
@raymondmvula5407
Жыл бұрын
Tafakari kubwa sana, Hongera mtunzi kwa utunzi bora! Nackiliza kutokea Parokia ya Mt. Benedicto Peramiho, kigango cha Nguvumoja! Jimbo kuu katoliki la SONGEA
@mwitaisack9582
Жыл бұрын
Amina 🙏
@EmmanuelMarco-v1q
5 ай бұрын
Nasikiliza kutoka kigango Cha Mt Petro ibulyu parokia ya Mt john Bariadi
@EmmanuelMarco-v1q
5 ай бұрын
Mtunzi hongera sana sana
@lilianwillium8381
Жыл бұрын
Kiukweli ubarikiwe mtunzi na waimbaji wote nimefarijika mno hongera sana
@pollejilala8903
Жыл бұрын
Safi sana wapendwa,wimbo mzuri na mmeutendea haki
@christinaraymond1928
Жыл бұрын
Asante kwa nyimbo nzuri zinautukufu mnoo barikiwa sana Mwl
@mwitaisack9582
11 ай бұрын
Amina 🙏
@edithamakanzo6023
Жыл бұрын
nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa hongereni kwa kazi njema
@waromokello
4 ай бұрын
The greatest hit from Mwita....the harmony is so sweet
@benardettemuthama6046
Жыл бұрын
Ninayo dhamani Kwa kweli mbele yako ewe mungu...hutachoka kuniongoza mungu wangu Kwa kuwa upendo wako hauna masharti.Amina
@peterhaki3853
Жыл бұрын
Hongera sana mwalimu
@shepherdhermas6763
Жыл бұрын
Beautiful song and voices🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@norbertsungu3922
10 ай бұрын
🙏
@KulabaStephen
20 күн бұрын
Huu wimbo ingekuwa utoaji wa tuzo for my deeply heart ungeongoza kuwa na tuzo kwanza inafundishwa,unaburudisha na unakufundisha kuwa mtu mwenye subira ambay hupaswi kukata tamaa amina sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@JohnMasondole-u9m
15 күн бұрын
Wimbo mzuri sana Hadi nimependa jaman eee hongereeeni sema sasa unapatikana KZitem pekee ake mediaa nyingine hapana
@PaulBulolo
Жыл бұрын
Hongereni sana waimbaji 👏👏👏
@michaelmaige9300
Жыл бұрын
Kazi nzuri Sana barikiwa kwa hilo
@AlphoncinaCharles
5 ай бұрын
Ongereni
@martinsherembi2586
Жыл бұрын
Dah, me Huwa ni mgumu sana kusifia kitu lakini hapa uzalendo umenishinda! Ndg hauimbwi sana Kwa watunzi lakin sijawahi ona kitu Cha bla bla Toka kwakotoka nianze kusikia nyimbo zako! Hii ni zawadi muhimu sana kwangu Kwa kipindi hiki Cha kuuaga mwaka 2022, hongereni sana Kwa kazi nzr, soprano mmeuaaaa, no comment
@mwitaisack9582
Жыл бұрын
Thanks broo na Mungu atukuzwe
@LucyNyeura-op6mg
Жыл бұрын
Mungu awabariki mno, kazi nzuri
@jacklinebarthazary6278
Жыл бұрын
Kiukwel mwimbo mtam Sana narudia kila Mara 🙏🙏🙏
@AnithaModest-b5t
11 ай бұрын
Kabisa!! kwa Mungu ndio kimbilio pekee
@AnithaModest-b5t
11 ай бұрын
Nisikiapo wimbo huku nafarijika sana.
@YungaYunga-gi5kt
4 ай бұрын
Nice song
@yesunimwema4497
Жыл бұрын
Pamoja na udhaifu wa kininadamu, kwa mungu unathani,ingawa wa angular dhambini kwa mungu unathamani❤my favorite song ❤❤
@paulinamgalla5348
Жыл бұрын
Mmeimba vizur Sana mbarikiwa Sana, Ila kwa video aliesolo kaimba vizur Sana Ila hafungui midomo
Пікірлер: 246