Hata kama una kisukari, hata kama una ugojwa wa shinikizo la juu la damu, ukifanya mazoezi unazuia usiende katika hatari kubwa ikiwemo kukatwa viungo kwa mfano miguu n.k.
FANYA KWELI, USIBAKI NYUMA
MTU NI AFYA
#mtuniafya #projectclear #wizarayaafya #fanyakweli #usibakinyuma
Негізгі бет Ungana na Waziri wa Afya Mh. Ummy Mwalimu kwa kufanya mazoezi ya viungo usije kubaki nyuma
Пікірлер