May 15, 2017 kwenye mitandao ya kijamii kulisambaa video iliyokuwa inamuonyesha Askari Polisi akijibizana kwa maneno na Naibu Waziri wa zamani wa Fedha Adam Malima kabla ya Askari huyo kufyatua risasi hewani.
Sasa leo May 16, 2017 Kamishna wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam Simon Sirro ameelezea kuhusu tukio zima na aliko mwanasiasa huyo kwa sasa.
Негізгі бет UPDATES: Sirro aongea kuhusu Askari aliyefyatua risasi mbele ya Waziri wa zamani
No video
Пікірлер: 316