Napenda nyimbo zake sana ,,,usifurahi juu yangu hee adui yngu......mungu akubariki sana
@naomikatharinaandrewmnkai6760
4 ай бұрын
Sio tu mashabirii hawapendi! MUNGU aliumba Kila kitu ni chema na kinapendeza! Iweje umkosoe! MUNGU 😢 Nakupenda dada upendo
@christineadam9341
5 жыл бұрын
Kenya we love you 😍
@josephgomalo41
7 жыл бұрын
Nyinyi ni wanawake bora duniani.. acheni mambo ya kutaka kuwa watu wengine.. sukeni tu nywele vizuri na muwe wasafi.. acheni nywele za wafu.. tunawapenda the way you are. kama mama zetu walivyokuwa.. have confidence and faith. You are beautiful the way you are..! Hold your heads UP.. ALWAYS!
@nikitumarthinne8909
7 жыл бұрын
Tunakupenda sana Mama Upendo. Asante sana kwa kutuambilisha ukweli maana wengine wakionywa kuhusu jambo hilo la kujichubuwa majibu yao yanakuwa yenye jazba! Mpaka washabiki tunashindwa hata kuelewa Kwakweli huwa tunavunjwa moyo sana nakitu hicho.Nyiye mnasema mnampenda Yesu nakumuamini na kumtumikia nasi mnatutia moyo sana kwa safali yetu ya okovu Tunashukulu Mungu Kwaajili yenu tunaipenda huduma yenu na kuisapoti.Sasa tunashangaa tunapoona mnaanza kuukosowa ule uumbaji wa ke'' NENO'' Si imeandikwa kwamba bila NENO hakukufanyika kitu.Nakile alicho kiumba Mungu akakiona Chema.Sasa inakuaje Mtumishi wake ndiye aanze kuona kasolo?Kumbe tunavyo fanana hivihivi kila mtu kivyake tunampendeza alietuumba.Mengine yanatoka kwa MUOVU! huyo ndiye aliye jifanya mkosowaji wa Mungu tangu Mwanzo.
@mercymutheu688
2 жыл бұрын
Aki wafurahisha..pamoja na nyimbo zakk naskiza Kila siku..barikiwa mtumishi
@gracemushi1283
7 жыл бұрын
nampenda sana huyo mama barikiwa mtumishi wa mungu
@janetwambua738
7 жыл бұрын
roho safi msema kweli Mungu akubariki mama.
@jonathantave848
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka sana mama ang.....nakupenda sana mama ang.
@neemaringo1230
6 жыл бұрын
I love Upendo Nkone. Mungu abariki kazi zako
@neemamoses9238
7 жыл бұрын
nakupenda sana Upendo, Ubarikiwe sana na kazi zako,!
@pilikalonge8534
6 жыл бұрын
neema moses
@mapendoimani2462
5 жыл бұрын
Upendo ur one of a kind maisha halisi nimekupenda bure. ur open unaishi maisha ya kawaida mno.unazungumzia hali ya kawaida katika maisha ya kila siku.nimekupenda sana Dada.kugombana kupo tusifanye maisha fake uko vizuri sana wengine tunapenda kudisplay perfection wakati maisha yapo na sis siyo malaika upo real I love u so much.wasanii wengine tuwe Real kama Dada upendo.Mungu akubariki akuinue na kuimarisha NDOA NA UTUMISHI WAKO.ur so real not fake in ua way of doing na saying things.
@christinemwavula5712
5 жыл бұрын
Acha kabisa mtumishi mungu anakupenda jinsi ulivyo...
@damariszuckschwert9489
7 жыл бұрын
😂😂😂😂yaani umenimaliza maana nilipoanza kuona mkorogo. Hata nyimbo zako niliacha kusikiliza, nilichukia kutoka rohoni maana nilikuwa nakupenda na kukubali ulivyo. Lakini umekiri sasa tuko pamoja.
@YekoniaLabani
2 ай бұрын
Tunakupenda
@ewansaluu7005
5 жыл бұрын
wow mum kwa Mkorogo uko sawa hukutaka kujipodowa. je? nywele nazo ni zako nachroll 😂😂😂😂😂😂lovely you mum 😘😘😘😘
@stellastanley630
5 жыл бұрын
Mimi shabiki wako namba moja I love you ❤️
@mariammwaipopo5561
6 жыл бұрын
kwakweli saivi uko vizuri. amini kwamba uumbaji wa Mungu uko perfect. you are beautiful naturally. nakupenda bureeee mama.
@jamtv4930
5 жыл бұрын
Upendo interview yako imenifurahisha sana.Mimi kama mume sitaki tena sitaki dharau.
@Renee-lh8nc
7 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 nmempenda huyu mama ana vituko
@fhmmbuji633
5 жыл бұрын
Hongera sana Upendo uko vzr Mungu Akuinue zaidi
@loycephaida5884
6 жыл бұрын
Yan wwe mama Jaman Nakupenda sana ulivyonautani yan
@mchmichaeltarabawanzagi1662
7 жыл бұрын
Uko vzr upendo mtumikie Mungu kwa uaminifu
@frankchrisant6322
5 жыл бұрын
Nakupenda sana Dada ang nyimbo zako nzuri
@mamapekupekupilipilimuwash9016
7 жыл бұрын
mama anaonekana anapenda story love u
@monicamlulu2413
7 жыл бұрын
nakupendaga sana dada na nyimbo
@julietykasaba769
7 жыл бұрын
nakupenda Sana my Dada uko Vizur Sana
@summanelson5523
6 жыл бұрын
Sasa hivi uko vizuri mama. Uko natural na unapendeza sana. Ulikuwa balaa ulivyokuwa unajichubua.
@geoffreycharo9585
17 күн бұрын
Yaani napenda utumishi wako mama ubarikiwe
@elizamasangula2935
7 жыл бұрын
nakupenda sana mamaangu
@christinedisii626
7 жыл бұрын
Hahaaah usishtue tena dada yangu
@bentaachieng4286
5 жыл бұрын
I love you mum napenda huduma wako
@zaudatmakula3454
7 жыл бұрын
hahahaaaaa nimecheka sanaa dada upendo
@jeryniyi3934
4 жыл бұрын
Barikiwa Upendo, mkorogo hauna maana yoyote
@rhinaregina5806
7 жыл бұрын
very nice mom I love you all time when you come here America I am in school. I wish to see you
@hellenampangile2504
5 жыл бұрын
Sijapenda hulka yako ya tena sjapenda kabisa unaposema eti hupendi kupika hata chakula cha mumeo ni kubwa tena ni mchungaji halafu kipikwe na house girl sio sifa nzr umechemka dada
@missagatha1756
7 жыл бұрын
Safi sana dada upendo
@missagatha1756
7 жыл бұрын
Nakupenda sana dada upendo pia napenda unavoongea
@shooonlinetv7746
5 жыл бұрын
Hahahaah...... I love you mama...... God bless you much
@elishaluchemba1071
5 жыл бұрын
Umependeza mama
@sankystories5552
5 жыл бұрын
Npenda nyimbo zako...
@xkingx8041
7 жыл бұрын
tuwekeeni full interview please! ! mbarikiwe saana
@dorcussyokau7118
6 жыл бұрын
it's good to be honest,,, God bless you
@sarahnjau3838
5 жыл бұрын
wewe ni nzuri umependeza sana usitumie tena
@deborahhatungimana5313
5 жыл бұрын
Nakupenda mama Upendo
@abcdefgger
6 жыл бұрын
Hahahahaha nakupenda saaaaana mama ❤️❤️❤️
@papafikiri
7 жыл бұрын
nakupenda mama
@crownpress5512
7 жыл бұрын
u ar comedian jaman kumbe tena
@winfridthomas1689
5 жыл бұрын
Jmn Upendo mama kipenz wetu na penda unavyo sema ukweli adi laa
@davidoyugi7310
5 жыл бұрын
The lady is full of wisdom.
@alextzmmary5121
6 жыл бұрын
Nimekupenda kwa kuwa mkweli umezidi.waimbaji wote tanzania
kweli kwanza kujichubua ni dhambi hata mawigi nayo mnamchukiza MUNGU kuweni na asili kama mlivyoumbwa
@florarhobi9482
5 жыл бұрын
unanibariki mtumishi
@edithayoram4601
6 жыл бұрын
mama nakupenda sana nataman siku moja tuimbe wote
@angelelarose7845
5 жыл бұрын
Mimi napenda nyimbo yake ya niongoze bado nakuitaji
@enesiacosmas8493
6 жыл бұрын
nakupenda Sana unanibariki
@ezesolo4861
3 жыл бұрын
Yeah ninewai kusikia huyu mama ni gesi
@casineobote9989
7 жыл бұрын
tuwe tunatuma mpesa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@janentale2255
6 жыл бұрын
dada upendo una vitukooo
@leahchallomachibya1791
6 жыл бұрын
Usitumie tena, sauti inatosha
@safikapufi3642
5 жыл бұрын
safi sana
@mammyali3424
7 жыл бұрын
ubarikiwe sana sana mum
@rosetoi5384
7 жыл бұрын
Ubarikiwe dada angu, nakupenda sana.
@rhinaregina5806
7 жыл бұрын
I love you mom and I wish to see here America
@anithamuttassa8981
5 жыл бұрын
love you Momy
@madirishasimon9692
6 жыл бұрын
Mungu awe nawe
@yvonneamekakaombeniwimbomu8312
5 жыл бұрын
mikono ina onesha kama una paka choko Upendo.
@samsonbomani8459
6 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆 Yeeeeeee rukundoo
@rosekageha2839
6 жыл бұрын
Mama mcheshi kweli.
@abdallahrenatus6677
7 жыл бұрын
applications
@priscapius7500
7 жыл бұрын
kweli mama. spending mkorogo ata kidogo na mm ni biti siwez kutumia mkorogo
@estherm5421
5 жыл бұрын
esther_your smile is so nice
@nurungangise9802
5 жыл бұрын
Baki hivohivo na rangi yako yani Rangi hadimu hio hivooo
@fediliaulomi4969
5 жыл бұрын
uwe ivyo ivyo
@timothmwakakusyu4563
6 жыл бұрын
Mimi siku zote nakukubali ila kweli mkoro- goooo achana naye
@barakajuma7287
6 жыл бұрын
marikia wa kigoma MUNGU, akubaliki mpaka washangaee
@mariammwaipopo5561
6 жыл бұрын
you are so funny dada.
@costanciamwita9513
5 жыл бұрын
ila anapenda kudeka
@costanciamwita9513
5 жыл бұрын
by the way she is cute
@costanciamwita9513
5 жыл бұрын
ila ana chekesha jamani ,amenifanya nisahau matatizo yangu kwq muda,
@mankajohn4616
5 жыл бұрын
Jomoni naomba uyo mama aniambie alitumia daw gn kutoa michiliz
@gracehenga9745
5 жыл бұрын
usijichubue weusi wako mzuri.
@fetilishazomar4799
7 жыл бұрын
😂😂😂😂love you sana
@tumainikassanga7659
7 жыл бұрын
hongera.
@mebolinsnjowoka8628
7 жыл бұрын
kujichubua ushamba jaman baki na rangi yako unajua fresh saaaana
@kuhanikajolotheworshiper3705
6 жыл бұрын
Ningependelea kupata number yako please
@sammafuye4831
7 жыл бұрын
Kutokana na nymbo zako camin kama mom ww n muongej kiac hk
@sankystories5552
5 жыл бұрын
Unavituko haha
@alihijiiddi8977
7 жыл бұрын
MNATAKA KUMFUATA MAIKO JAKASONI ULIKUWA
@allybhaimusaji4108
4 жыл бұрын
kwanini utumie mkorogo wakati upo black huoni kama utakuwa na rangi mbili dada? na kwanini umkosoe mungu wakati unasoma biblia kuhusu kumkosoa mungu kwa uumbaji wake?
Пікірлер: 105